Agony of investor as bank auctions Sh5 billion hotel

Kwa taarifa yako Magufuli hana mipango yoyote ya kiuchumi , fanya utafiti , haya mambo yanatokea kwa bahati mbaya tu , s kwa sababu kuna mipango yoyote ile.

Halafu kuwa mwangalifu sana unapoweka maandiko hapa , kudhani unafahamu kuliko wengine ni dalili ya kichaa , mimi ni mfanyabiashara wa Kimataifa , hata hivi vidola kidogo mnavyoingiza humu nchini ni kwa ajili yetu , hakuna Tajiri Mbumbumbu , na hasa mfanyabiashara wa juu kabisa wa kimataifa kama mimi .

NB : mimi si mnunua vitenge China , na export bidhaa ulaya .
Your response is ironic. Ku-export bidhaa kutoka nchini kwenda ulaya (assuming siyo unga) hakutofauyiani na kubeba mihogo kutoka Mtwara au Kipatimu kuleta soko la Buguruni. It is all about trade; buying of goods from a place to another for selling so as to get profit, period. Kwa hiyo hao wabeba vitenge kutoka Guanzhou kuleta soko la hapa ndani philosophically, ni sawa na wewe. Nyote ni wale wale. You may read again my prior comment. Unashika dola za kimarekani kwa kuwa ndio medium of exchenge inayotumika katika biashara zako. So there is nothing queer. Wakati unaangaika na cargo zako kichwani, usisahau kuwa kuna wengine huwa tunabeba vichwa tu, bila cargo. Na hiyo ndio kazi ya heshima. We fly around the world just to sell what we know. Hayo mambo ya kubeba cargo siyo ya kuleta humu JF.
 
Pasco umesahau SLIM AND FAT BOUTIQUE

Jamaa antia huruma lakini I also think this is partly of his own making

he should have sticked to construction SCANTANIP ingekuwa kubwa kuliko ESTIM
 
Lukuvi alishasema auction yoyote lazima iambatane na certificate of valuation inayotolewa na wizara yake kinyume cha hapo bank husika itakuchukuliwa hatua na kudaiwa refund ya fedha pungufu ya thamani ya property kwa mwenye nyumba
 
Before bor



Before you invest anywhere, you have to check the stability of the country and spending power of the people. Tanzania has been operating on false economy especially during Kikwete administration. Some investors were impressed by few people spending creating money circulation in the county, Most money spent by people during Kikwete administration was money stolen from the government in way of tenda or tax avoidance.

People were building hotels, expensive properties, and bank were giving loans without assessing the business and the economy. Property in Tanzania, especially in big cities they were overtaking western countries where spending power is several times better than that of Tanzania,
Saying that there is still a chance to invest in Tanzania and make a living. Low cost housing that is what ordinary Tanzanians wants, and not big hotels, luxtury housing expensive than their earning. Most of big hotels survivei' by used to accommodate unnesseary government.




I do agree with you to some extent on your points however before you criticise Kikwete administration on its economic performance. First you should know the difference between Economic growth and Economic development.

Economic development focuses on the recruitment of business operations to a region whilst Economic growth refers to the increase (or growth) of a specific measure such as real national income, gross domestic product, or per capita income.

Economic development can also be defined as efforts that seek to improve the economic well-being and quality of life for a community by creating and/or retaining jobs and supporting or growing incomes and the tax base. In a simple expression, you will not achieve the economic development once there is a restriction on money circulation in a society or community. And its not true to say that most money were in circulation during Kikwete administration was either been stolen or tax avoidance from Government. During the Kikwete administration most of public servants' salaries were paid through private banks. Also Government had fixed savings accounts in private banks which to some extent added value on money circulations.

It’s also not true that banks were offering loans and credits to borrowers without a proper assessment into a place. Expensive properties and hotels were not merely aimed to local people. Despite good signs of economic development into the societies, expatriates and tourists were the main targets for those expensive hotels and properties. I have never come across any country which aimed to developed its economy and at the same time allowing all government collections (taxes and bonds that are in a local currency) to be reserved in the central bank. By exercising that kind of policy the government starved the economic development and significantly reduced the money circulations into societies/communities.


Lastly, remember the specific project mentioned here was not a white elephant in the room. All contracts were signed between two countries and what remained was just an implementation. The president of China came here personally to bear witness to the exchange of contracts and other documentations for the two countries. Then this fellow countryman saw the opportunity and just dived in for it but the current government decided to stop the project which causes all this mess and chaos to local investors.

 
Kwahiyo huko Norway wanakopesha bila collateral? Yaani unaweza kopa mabilioni ya pesa ya kuja kujenga Hotel Norway bila ya kuwa na dhamana...

Alafu ukishakopa hayo mabilioni unapita nayo Airport na kurudi zako bongo kuwekeza bila ya hiyo benki uliyokopesha kujua au kukufatilia.. Yaani ametoka na mabilioni bila ya makubaliano yeyote na mkopeshaji wake..

Aisee katafute wajinga kwenye vijiwe vya kahawa pale Lumumba uwadanganye..
Mikopo midogo midogo kwa nchi za Ulaya unaweza kukopa bila collateral. Hii inategemea na credit rating yako. Mfano, inaweza kuwa na credit card moja yenye limit €15,000, ukiwa nazo nyingi, unalipa kila mwezi vizuri na kama umekuwa nazo kwa muda mrefu hii ina boost your credit rating na chance ya kupewa unsecured loans.

Sasa wale wazee wa kona, akihamua kuondoka nchi anakomba pesa zote kwenye credit cards, overdrafts, anachukuwa mikopo kila kona na magari ya mikopo halafu anakimbilia bongo au anahama address.
 
Unadhani biashara ngapi zimeshindwa tangu nchi hii ipate uhuru? Unadhani America, Engldand, France, Japan, Kenya, Uganda etc., hakuna majengo yanayouzwa kwa wenyewe kuhsindwa kulipa mikopo ya banks?

BAVICHA mna tabu sana!
UKIKOPA BENKI NI LAZIMA ULIPE, LAA SIVYO RECOVERY MEASURES ZINAFUATA. STORY NDEFU, USHABIKI WA KISIASA,HAUSAIDII CHOCHOTE.
 
I do agree with you to some extent on your points however before you criticise Kikwete administration on its economic performance. First you should know the difference between Economic growth and Economic development.

Economic development focuses on the recruitment of business operations to a region whilst Economic growth refers to the increase (or growth) of a specific measure such as real national income, gross domestic product, or per capita income.

Economic development can also be defined as efforts that seek to improve the economic well-being and quality of life for a community by creating and/or retaining jobs and supporting or growing incomes and the tax base. In a simple expression, you will not achieve the economic development once there is a restriction on money circulation in a society or community. And its not true to say that most money were in circulation during Kikwete administration was either been stolen or tax avoidance from Government. During the Kikwete administration most of public servants' salaries were paid through private banks. Also Government had fixed savings accounts in private banks which to some extent added value on money circulations.

It’s also not true that banks were offering loans and credits to borrowers without a proper assessment into a place. Expensive properties and hotels were not merely aimed to local people. Despite good signs of economic development into the societies, expatriates and tourists were the main targets for those expensive hotels and properties. I have never come across any country which aimed to developed its economy and at the same time allowing all government collections (taxes and bonds that are in a local currency) to be reserved in the central bank. By exercising that kind of policy the government starved the economic development and significantly reduced the money circulations into societies/communities.


Lastly, remember the specific project mentioned here was not a white elephant in the room. All contracts were signed between two countries and what remained was just an implementation. The president of China came here personally to bear witness to the exchange of contracts and other documentations for the two countries. Then this fellow countryman saw the opportunity and just dived in for it but the current government decided to stop the project which causes all this mess and chaos to local investors.

Very good explanations..

Lakini nina swali dogo tu, serikali ilitoa maelezo kwamba fedha walizokuwa wanaweka fixed kwenye mabenki ya biashara ndio fedha hizo hizo walikuwa wanakopeshwa na hayo mabenki kwa riba. Sasa Je, baada ya kuondoa hizo fedha na kuzirudisha hazina serikali haikopi kwenye hizo benki?
 
Very good explanations..

Lakini nina swali dogo tu, serikali ilitoa maelezo kwamba fedha walizokuwa wanaweka fixed kwenye mabenki ya biashara ndio fedha hizo hizo walikuwa wanakopeshwa na hayo mabenki kwa riba. Sasa Je, baada ya kuondoa hizo fedha na kuzirudisha hazina serikali haikopi kwenye hizo benki?


Sidhani Kwa sasa kama serikali inakopa kutoka private bank wakati kuna upungufu kwenye mzunguko wa pesa. Pia serkali ilikuwa inakusanya riba kwenye hizo fixed accounts ambalo ni pato la ziada. Sasa hivi nahisi serkali itakuwa inatoa bonds kupata feza za nyongeza lakini sina uhakika sana. Hata hao big investors sasa hivi wanakwenda bank za nje kukopa pesa na hiyo inategemea na network, reputation na project yako ina ukubwa gani.
 
Sidhani Kwa sasa kama serikali inakopa kutoka private bank wakati kuna upungufu kwenye mzunguko wa pesa. Pia serkali ilikuwa inakusanya riba kwenye hizo fixed accounts ambalo ni pato la ziada. Sasa hivi nahisi serkali itakuwa inatoa bonds kupata feza za nyongeza lakini sina uhakika sana. Hata hao big investors sasa hivi wanakwenda bank za nje kukopa pesa na hiyo inategemea na network, reputation na project yako ina ukubwa gani.
Last time I checked niliona DSE wameoffer Government Bonds.. Nataka sasa niulize kama wamebisha hodi kwenye mabenki ya biashara ili niwatoe akili kabisa.

Open this https://www.dse.co.tz/sites/default/files/dsefiles/Outstanding Government Bond.pdf
 
Last time I checked niliona DSE wameoffer Government Bonds.. Nataka sasa niulize kama wamebisha hodi kwenye mabenki ya biashara ili niwatoe akili kabisa.

Open this https://www.dse.co.tz/sites/default/files/dsefiles/Outstanding Government Bond.pdf

Hapo sijakuelewa, Ila bonds ni watu ndiyo wanaonunua na ina time ya maturity. Imekuwa ikisemwa ni "safe investment" lakini kuna risk kama Government/Company haiko stable; na hasara zake zinakuwa kwenye inflation, interest rate na credit ratings.
 
I tend to agree with Kimweri. Panicky and policy unpredictability are the most evil things in any economy. We have been talking this shit for number of times. Economics is not pure science, and will never be; economic policies as well. They're all about presumptives. They work well in a trial and error basis, unless you randomize them. If you ask me whats the biggest divergence between economists and politicians, I will tell you simply how we value and devalue our time. Politicians want their results just over the single night, thats not the case for economists! We need time and at least medium to a long term to see changes, to see good outcomes.

You may count how long these policies were documented, discussed, tested and now ready for implementation. Any ex ante policy analysis conducted to inform the ongoing policy implementation? Probably not!

Some of these policies could bring better results if implemented in a gradual basis rather than how they are being done. Then, where are we going? Because there is no clear indication to resolve the problems of panicky and unpredictability as mentioned above (deal makers), the revenue collection from tax will deteriorate. As a result, the government will not be able to finance the ongoing projects and programs. They have to rely on loans. Mind that our debt per GDP ratio now is above 40%! Don't buy what politicians and politicized technocrats sell for the public. This ratio is SO HUGE for a poor country like Tanzania.

The World Bank and IMF will chip in to restore the situation with a number of laundry list. A kinda "reforming the reforms". Just half of the Nyerere time.


The government must lower taxes and import duties to collect more taxes. Many business people import goods through Zanzibar to avoid Dar es salaam port. Allow foreigners to buy properties for investment to boost so many properties over build, which ordinary Tanzanians can not afford them. Too many restrictions attracts corruption. How about Tanzanian citizens living abroad, allowing them without condition of giving up their citizens to their host country like many Africans countries have done. These are Tanzanians, will bring new ideas and bring money in the country. For example Ghana, they have just reduced taxes, for business. Kenya allowed their citizens living abroad to hold dual citizenship, and these has contributed to the economy immensely. The world is like one big village too much restriction do not work, it holds the country back and encourage corruption. If a Chinese could buy a house in U.K. And the British could buy a house in China, why not allow other foreigners to own houses without too much hassle?
 
Hapo sijakuelewa, Ila bonds ni watu ndiyo wanaonunua na ina time ya maturity. Imekuwa ikisemwa ni "safe investment" lakini kuna risk kama Government/Company haiko stable; na hasara zake zinakuwa kwenye inflation, interest rate na credit ratings.
Mpaka kufikia Government bonds si ina maana huko hazina kumekauka. Tulidhani pesa walizozitoa kwenye commercial banks kuzirundika hazina hazitakwisha na serikali ina mapesa tele kama tulivyoaminishwa. Na hizi kodi wanazojidai kukusanya tulidhani hata kukopo kwenye hizo benki hawatakopa sababu wanakusanya matrillion kama wanavyosema.

Bonds zinauzwa ikiwa moja ni serikali kujipatia fedha kwa ajili ya matumizi yake lakini pia zinauzwa kama wanataka wapunguze money in circulation. Sasa pamoja na fedha kuwa chache kwenye mzunguko na bado wanaendelea kuzikamua si ni hatari hii..
 
Mpaka kufikia Government bonds si ina maana huko hazina kumekauka. Tulidhani pesa walizozitoa kwenye commercial banks kuzirundika hazina hazitakwisha na serikali ina mapesa tele kama tulivyoaminishwa. Na hizi kodi wanazojidai kukusanya tulidhani hata kukopo kwenye hizo benki hawatakopa sababu wanakusanya matrillion kama wanavyosema.

Bonds zinauzwa ikiwa moja ni serikali kujipatia fedha kwa ajili ya matumizi yake lakini pia zinauzwa kama wanataka wapunguze money in circulation. Sasa pamoja na fedha kuwa chache kwenye mzunguko na bado wanaendelea kuzikamua si ni hatari hii..



Matumizi ya serikali ni makubwa sana na ukiangalia misaada kwenye bajeti yetu imepungua hivyo hawana budi kukopa au kuuza bonds. Bonds ni certificates tu na mpaka ifike maturity ndiyo unapata pesa yako. Bahati mbaya sana raisi wetu ni mwanasayansi na si mchumi ila kibaya zaidi hachukui ushauri wa mtu. Pia kama pesa haiko kwenye mzunguko nani ana pesa za kununua bonds.
 
UKIKOPA BENKI NI LAZIMA ULIPE, LAA SIVYO RECOVERY MEASURES ZINAFUATA. STORY NDEFU, USHABIKI WA KISIASA,HAUSAIDII CHOCHOTE.
Vijana wa bavicha kila kitu wanailaumu serikali Utadhani miaka yote Hakukuwa na defaulters wa mikopo
 
Mpaka kufikia Government bonds si ina maana huko hazina kumekauka. Tulidhani pesa walizozitoa kwenye commercial banks kuzirundika hazina hazitakwisha na serikali ina mapesa tele kama tulivyoaminishwa. Na hizi kodi wanazojidai kukusanya tulidhani hata kukopo kwenye hizo benki hawatakopa sababu wanakusanya matrillion kama wanavyosema.

Bonds zinauzwa ikiwa moja ni serikali kujipatia fedha kwa ajili ya matumizi yake lakini pia zinauzwa kama wanataka wapunguze money in circulation. Sasa pamoja na fedha kuwa chache kwenye mzunguko na bado wanaendelea kuzikamua si ni hatari hii..
Likely huyu unayejadiliana naye hajajua msingi na point yako au kama anajua basi anakwepa hoja yako. Una point kubwa sana. Watu wanafikiri government borrowing ni kama sisi raia tunavyoenda kukopa CRDB au NMB. Una point kubwa sana mkuu. Kwa kifupi bado serikali inaendelea na itaendelea kukopa. Na dhana kwamba serikali ilikuwa inajikopesha hela zake haina mashiko yoyote.
 
Matumizi ya serikali ni makubwa sana na ukiangalia misaada kwenye bajeti yetu imepungua hivyo hawana budi kukopa au kuuza bonds. Bonds ni certificates tu na mpaka ifike maturity ndiyo unapata pesa yako. Bahati mbaya sana raisi wetu ni mwanasayansi na si mchumi ila kibaya zaidi hachukui ushauri wa mtu. Pia kama pesa haiko kwenye mzunguko nani ana pesa za kununua bonds.
Na ndio sijui hata kama hizo bond zimenunuliwa.. Pia hata wale wenye akiba kidogo ataona kuliko afanye any physical investment kwa hali ya soko ilivyo mbaya ni bora anunue hizo bonds.. Hapo ndio ile multiplier effect inapomezwa kabisa maana hata hiyo pesa ikienda serikalini serikali inafanya biashara yenyewe kwa yenyewe.. Tender wanapewa NHC, JKT n.k

Sijui hata kama MF Dr. Mpango anashauri vitu kama hivi tunavyoviona sasa..
 
Likely huyu unayejadiliana naye hajajua msingi na point yako au kama anajua basi anakwepa hoja yako. Una point kubwa sana. Watu wanafikiri government borrowing ni kama sisi raia tunavyoenda kukopa CRDB au NMB. Una point kubwa sana mkuu. Kwa kifupi bado serikali inaendelea na itaendelea kukopa. Na dhana kwamba serikali ilikuwa inajikopesha hela zake haina mashiko yoyote.
Mkuu asante sana kwa kuuona msingi wa hoja yangu..
 
UKwa maelezo hayahaya uliyotoa kukosoa uwekezaji wa huko Bagamoyo hebu linganisha na uwekezaji wa kuhamia Dodoma. Makosa si yaleyale yanayo jirudia

Huwezi kufananisha sababu za kuhamia Dodoma na ujenzi wa bandari ya Bagamoyo iliyo karibu sana na bandari ya Dar!! Kumbuka kuwa wanaohamia Dodoma ni serikali hivyo Dar itabakia kuwa commercial capital while Dodoma itakuwa makao makuu ya serikali. Sababu kubwa ya kuhamia Dodoma ni centrality ya mahala penyewe ili serikali kuu iweze kuwa karibu na sehemu nyingi za nchi katika kusukuma maendeleo!!
 
Back
Top Bottom