Agony of investor as bank auctions Sh5 billion hotel

Hotel imekuwa auctioned 2 times aijapata mnunuzi halafu bado mtu kwenye kichwa chake anadhani it is worth 5bn under the current market environment.

Katika vitu ambavyo Magufuli kapatia it is this one kuondoa artificial circulation of money na kuacha actual market forces zifanye kazi based on the real purchasing power.

Sio hotel yake tu ndio imedoda viwanja vinashuka bei, rent zinapungua au wapangaji wanaama waliokuwa wamejiweka kwenye majengo kushinda kipato chao.

Somo ni wengi walikuwa awaishi na hela halali matekeo yake bei za bidhaa na huduma zilikuwa zinapanda ovyo, investment ambazo azifanyi tathmini etc. Uwezi kujenga uchumi stable katika mazingira hayo ufisadi ulikuwa ni bubble lazima lipasuliwe kurekebisha uchumi na kujua tulipo. Hakuna tofauti na kuanguka kwa uchumi wa housing sector marekani benki ilikuwa inatoa pesa kirahisi sana bila ya watu kuwa na uwezo wa kulipa nyumba zikapanda bei lilipolipuka watu wakajikuta value za nyumba zao zinashuka, tofauti hapa hela badala ya kutoka benki ilikuwa ya ufisadi ina fund huu uchumi usio sahihi.

Safi sana Magu tatizo lako Dr. Mpango tu jamaa ni jipu.
Bro Uko vizuri sana na nakubali sana ur views maana unajua unachosema. Tatizo hii issue hapa wengi wanaichukulia kama nafasi ya kumvaa Raisi na serikali yake. Hawaangalii tatizo hasa liko wapi. Huyu mtu, I suspect, alifanya investment kwa kujiaminisha kwamba ujinga wa awamu ya4 utaendelea. Hakufanya proper feasibility. Sasa anakuja na valuation ya kichaa. 5b Bagamoyo? Yaani natamani kucheka mpaka basi. Exim bank ni losers, kupata mtu wa kununua hizo sijui watamtoa wapi na akikaa na kufanya analysis ya return on investment, lazima akimbie. Asante sana Raisi kwa kuintervene kurekebisha hii ishu.
 
Watanzania kwa kulaumu serikari aijazuia chochote sanasana ni kudhibiti matumizi ya pesa zake the impact is just simple economic za demand and supply on what the invisible hand can achieve in correcting the market. From what we are learning some asking prices were out of touch with the actual number of takers na kuna watu wengi sana waliwekeza kwenye wateja aina hii bila ya kujali uhalisia wa mapato yao na kama hiyo hali itabaki milele au kuna sustainable business.

Sasa tena kulaumu serikari ata katika mambo mema sijui tunataka nini; hili ndio tatizo lililokuwa la wengi kuna bei za ajabu ambazo aziendani na uhalisia wa mapato ya watu; mtu anarekebisha ili watanzania wenye mapato yakawaida hela yao iende mbali na wao bado tena mnalaumu sasa mpewe nini watanzania ndio mridhike.

Huyo Slim alitakiwa ajue biashara sio conundrum ya kuku na yai; unajenga hotel kwa kutegemea uwekezaji unaokuja wakati masham masham yenyewe hamna isitoshe kama mfanyabiashara lazima awe na mbimu za kuvutia wateja kwa mazingira aliyonayo provided bei zake ni za uhalisia; everything is entirely his own making asilaumu mtu.
Kaka, nakubaliana na kila herufi katika sentensi zako. Sina cha kuongeza. Kama hawajakuelewa hawataelewa tena.
 
Mkuu haya mavitu unayoyasema ni too complex kwa sisi ma layman kuelewa, labda nyie wachumi.

Could this be just your point of view but not economical point of view?, because we have lots of economists, and economic advising institutions to advise the president, so how could he be so wrong and everybody keeps silent?!.

Paskali
Hashauriki
 
Dar es Salaam — The Minister of Industry, Trade and Investment, Mr Charles Mwijage, has directed the owner of Green Park Village, Mr Slim Slim, who is about to lose his property for failing to repay a loan from Exim Bank, to meet him in his office.

The minister's directive comes just a day after The Citizen reported that Mr Slim's property would be auctioned next Monday for failing to repay the Sh900 million loan he owed the bank.

Mr Slim isn't the only investor, who is likely to lose his property for failing to repay his loan. There are others. Yesterday the bank was also expected to auction Penisula Apartments located in Msasani for the $5.2 million (Sh11.4 billion) loan its owner failed to repay.

However, Mr Mwijage said he hadn't received any complaints from the hotel owner. "It will be better if the owner of the hotel comes to my office and discuss the issue with me to know what is the way forward... I know the hotel because I had once been there," said the minister.

On Tuesday Mr Slim, who was born in Bagamoyo 50 years ago, said he owed the bank Sh920 million. The the hotel is located in Old Bagamoyo Town.

He said he borrowed $400,000 at an interest rate of 10 per cent from the bank three years ago, but failed to repay it on the due date last year.

"The money that I owe the bank is not that huge... it's only 20 per cent of the value of my property," noted Mr Slim.

As of 2015, according to the bank's valuation records, the value of Mr Slim's property stood at Sh4.6 billion.

Meanwhile, the bank failed to auction Penisula Apartment yesterday as there were no potential buyers to meet the price offer, which stood at $5.2 million. According to our sources, more than 20 potential buyers turned up, but no one met the price offer. In order to be able to buy the property, the potential buyer was supposed to pay up front 25 per cent of the price offer and complete payments of the remaining amount within the next 13 days. A new date for the auction will be announced later, according to our sources.

Additional report by Alex Malanga
 
Wednesday, April 19, 2017
Agony of investor as bank auctions Sh5 billion hotel...

Mr Slim is, however, not alone as several such investments in the hospitality and real estate are currently going through a rough patch in the wake of a financial crunch in the market. ...


Mr BAK: What a pitying story you have posted today!

Is your intetion to foster the sympathy of JF member for Mr Slim's predicament!

With the Government's effort to curb evils in society, especially easy money, one would expect what you have stated to happen i.e. in the wake of a financial crunch. But, Mr Slim and other investors know very well the ABC's of an investment decision.

Me for one, I have this to tell Mr Slim and others that Two mantras to succeed in life. One, believe in no one but yourself. And two, once you make up your mind never look back.
 
Kwa taarifa yako Magufuli hana mipango yoyote ya kiuchumi , fanya utafiti , haya mambo yanatokea kwa bahati mbaya tu , s kwa sababu kuna mipango yoyote ile.

Halafu kuwa mwangalifu sana unapoweka maandiko hapa , kudhani unafahamu kuliko wengine ni dalili ya kichaa , mimi ni mfanyabiashara wa Kimataifa , hata hivi vidola kidogo mnavyoingiza humu nchini ni kwa ajili yetu , hakuna Tajiri Mbumbumbu , na hasa mfanyabiashara wa juu kabisa wa kimataifa kama mimi .

NB : mimi si mnunua vitenge China , na export bidhaa ulaya .
Matajiri nawaona nawaonaa,mnatunishiana tu msuli
Your response is ironic. Ku-export bidhaa kutoka nchini kwenda ulaya (assuming siyo unga) hakutofauyiani na kubeba mihogo kutoka Mtwara au Kipatimu kuleta soko la Buguruni. It is all about trade; buying of goods from a place to another for selling so as to get profit, period. Kwa hiyo hao wabeba vitenge kutoka Guanzhou kuleta soko la hapa ndani philosophically, ni sawa na wewe. Nyote ni wale wale. You may read again my prior comment. Unashika dola za kimarekani kwa kuwa ndio medium of exchenge inayotumika katika biashara zako. So there is nothing queer. Wakati unaangaika na cargo zako kichwani, usisahau kuwa kuna wengine huwa tunabeba vichwa tu, bila cargo. Na hiyo ndio kazi ya heshima. We fly around the world just to sell what we know. Hayo mambo ya kubeba cargo siyo ya kuleta humu JF.
 
Sasa unadhibiti matumizi ya umma kwa kuduplicate majengo ya umma? Kumwenzi mwl Nyerere!!! wakati wote tulisikia akiongelea kuhusu taifa kutikiswa na nyufa zilizojitokeza. Nyufa ya serikali kutohamia Dodoma sikuwahi kumsikia akiongelea labda kuna walio msikia. Na ya wezekana hili ni kati ya yale makosa ambayo alikiri waliyafanya katika uongozi wake maana hawa kuwa malaika.

Watu hapa wanazungumzia kuhusu fedha sasa ina heshima. Heshima iko wapi kama kilo ya dona ina kimbilia :shilingi 2000. Kuna mahala tuna kosea tujisahihishe. Kukubali makosa na ukuyarekebisha ni kitendo cha kujiamini na kishujaa.

Na washawasha!



Watanzania kwa kulaumu serikari aijazuia chochote sanasana ni kudhibiti matumizi ya pesa zake the impact is just simple economic za demand and supply on what the invisible hand can achieve in correcting the market. From what we are learning some asking prices were out of touch with the actual number of takers na kuna watu wengi sana waliwekeza kwenye wateja aina hii bila ya kujali uhalisia wa mapato yao na kama hiyo hali itabaki milele au kuna sustainable business.

Sasa tena kulaumu serikari ata katika mambo mema sijui tunataka nini; hili ndio tatizo lililokuwa la wengi kuna bei za ajabu ambazo aziendani na uhalisia wa mapato ya watu; mtu anarekebisha ili watanzania wenye mapato yakawaida hela yao iende mbali na wao bado tena mnalaumu sasa mpewe nini watanzania ndio mridhike.

Huyo Slim alitakiwa ajue biashara sio conundrum ya kuku na yai; unajenga hotel kwa kutegemea uwekezaji unaokuja wakati masham masham yenyewe hamna isitoshe kama mfanyabiashara lazima awe na mbimu za kuvutia wateja kwa mazingira aliyonayo provided bei zake ni za uhalisia; everything is entirely his own making asilaumu mtu.
 
My apologies if it sounded like I attacked u personally. I never intended on doing that and it wasn't an attack. My apologies.

Back to your point, well the "roho mbaya" attitude is there, I can attest to that but it shouldn't crowd our judgement to analyse JPM's efforts so far. He is doing what any leader should do when there is a problem. Among the 10key principles of economics is that at times gvt intervention can make things right, case being when there is a market failure. You queried that why didn't people sell apartments below the inflated prices to make a killing, my question to u, what type of businessperson will do that? It will defeat the purpose of making enough money from his/her business. My biggest issue with JK administration is that it failed to control corruption, there were so many rent seekers and all sort of shady people looking to skim the gvt off money. Do u know where most of it went? Real estate. This because it was easy to dispose the black money there. All of a sudden a bubble came, then it was up to the races, even with the likes of Mr Slim. Just imagine NSSF spent over 165b in Kigamboni hoping to create a so-called modern village, this is separate from dege apartments and the like. Now back to ur argument that rich people are getting bankrupted. Correct me if am wrong but JPM isn't targeting them, far from it. He is simply closing the loopholes which, sad to say, most of these rich folks used to enjoy. While they might face financial shock, it is by no means that they will go broke. Those who willgo broke are those who failed to see what is coming, who relied on gvt spoonfeeding them with lofty tenders they got through under the table negotiations. I can go on and on.
One thing I can tell u, Mr Slim made a bad investment and he is paying for it. Instead of whinning and blaming the gvt, he should have done his homework and see economy in a big picture. And final word - we need less of such investors.
Policies change and they have nothing to do with Mr Slim. Our exonomies will never grow if they dont stabilise. The USD has been able to achieve its mighty status because of stability not lack of it thereof. Which is why China owns $1tr in USD debts and keeps buying US debts. STABILITY.

Kila investor anayekuja Tanzania anajumlisha lack of stability kama danger and guess what wengi huishia njiani, na wachache huamua kufanya kama kamari. Hii ni hatari sana kwa uchumi wetu kwa sababu political and policies instability reflects kwenye investment costs and in the end mlaki.,bei zinakuwa juu uchumi unakuwa kama mwanariadha anayekimbia huku kabebeshwa viroba vya smenti.

Sekta nzima ya hotels inawakati mgumu sana kwa sababu inflows za watalii wa ndani na wa nje zimepungua., mdororo umepunguza pia disposable income za watu wa kawaida na mwisho kabisa amri ya idara zote za serikali kufanyia semina maofisini ndio zikazizika kabisa.

Sasa kuna watakaomsifu raisi kwa kubana matumizi mimi sio mmoja wao kwa sababu sijaona kilichobanwa, ila matumizi yamebadilishwa vipaumbele., waste bado kubwa sana na mipango ya hovyo. Hili naomba tusibishane kwa kuwa kila kitu kiko wazi kwenye ripoti ya CAG. Magu is No SAINT.

JPM kwa kukataa serikali kufanya biashara na sekta binafsi obviously anatarget wamiliki wa hizo biashara unfairly. Hawezi kukwepa hizo lawama. Asichojua serijali inaajiri watu nusu milioni na sekya binafsi inaajiri mamilioni(rasmi zaidi ya 3M na sio rasmi zaidi ya 10M).
Kiongozi mwenye busara angefanya kila awezavyo hawa mabwana waendeee kuzalisha ajira na waendelee kuiletea kodi zaidi serikali.

Ila kwa kuwa mh ana kilema cha uelewa wa uchumi unavyokwenda basi tusitegemee makubwa hadi atakapopatikana wa kumwelewesha na Akaelewa madhara ya ujinga unaofanyika.
 
Sasa unadhibiti matumizi ya umma kwa kuduplicate majengo ya umma? Kumwenzi mwl Nyerere!!! wakati wote tulisikia akiongelea kuhusu taifa kutikiswa na nyufa zilizojitokeza. Nyufa ya serikali kutohamia Dodoma sikuwahi kumsikia akiongelea labda kuna walio msikia. Na ya wezekana hili ni kati ya yale makosa ambayo alikiri waliyafanya katika uongozi wake maana hawa kuwa malaika.

Watu hapa wanazungumzia kuhusu fedha sasa ina heshima. Heshima iko wapi kama kilo ya dona ina kimbilia :shilingi 2000. Kuna mahala tuna kosea tujisahihishe. Kukubali makosa na ukuyarekebisha ni kitendo cha kujiamini na kishujaa.

Na washawasha!
Unaongelea vitu vitatu kwa wakati mmoja na sidhani kama ni interconnected kwa hoja iliyo mbele.

Moja

Kuhamia Dodoma ilikuwa ni plan ya muda mrefu ya serikari aijawai kubadilika na CCM wanadai katika ilani ya uchaguzi ilikuwepo kama vitu wanavyotaka kutekeleza kwenye kipindi hiki. Binafsi sijawai kuwa against that idea lakini kuna thread kadhaa nimekuwa nikipinga hilo swala alitowezekana hoja zipo zaidi hawakuwa na project management inayofahamika ya kuamia Dodoma wala sidhani kama wana funds za kuamia matekeo yake tumeyaona waliishiwa kuwa na ahadi hewa kila siku; that was before waziri mkuu kuona umuhimu wa kuunda timu ya ufundi itakayofanya hiyo kazi ya project management na hatimae wameenda lakini kwa kulazimisha.

In short it is an entirely different debate ni namna gani sahihi ya kuamia dodoma na mipango gani ingesaidia zoezi kufanyika efficiently i.e kuanzia kwenye kuandaa budget, matayarisho ya infrastructure, majengo yao na mtiririko unaofahamika kitaalamu kwenye zoezi zima la kuhama. Mwisho wa siku uwezi ku pin point kama hili zoezi limekula hela nyingi kiasi kwamba kuwa na impact sehemu zingine wao wenyewe wameishia kuchukua majengo ya chuo kulazimisha ili mradi.

Pili

Maamuzi yaserikari kudhibiti matumizi mabaya ya pesa zake na kuleta ukata, was it necessary? yes; chumi auwezi kuendeshwa na hela nyingi ambazo hazina vyanzo halali binafsi sikatai watu walikuwa wanawekeza wanapojua, wananunua majumba, hela inaingia kwenye circulation na ina support other industries zinazotoa ajira chanzo cha yote hayo ni ufisadi na matumizi mabaya ya pesa za umma. Madhara yake ni kwamba watu wachache wenye pesa nyingi wanaleta demand pull inflation mtu anafika sehemu ananunua kiwanja kwa millioni miambili, nyumba sijui millioni 300, anapangisha rent millioni tatu kwa pesa ya mchezo. Matokeo yake madalali sehemu nzima viwanja wanataka kuuza kwa bei hizo kwenye ilo eneo, rent zinapanda kwenye ilo eneo na thamani ya nyumba zinapanda, mwishowe watanzania wanaoishi kwa kipato halali wanajikuta wapo priced out au wanalazimishwa na wao kuwa wezi kumudu maisha.

Kwa hivyo kulikuwa na kila sababu ya kuitoa hiyo hela kusudi watu warudi kwenye halisi za bidhaa zao na huduma zao wanazotoa kutokana na cost halisi wanazotumia, demand halisi ya mapato ya watu na kuzalisha iwe kujenga hotel kwa kuzingatia uwezo wa soko na demand ya hizo services. Sio unajenga hoteli unasubiri semina za kifisadi na wala huna muda wa kufanya environmental scanning.

Tatu

Poor policies, hayo yote yalijulikana yatafuata kilichotakiwa kufanywa na wataalamu ni ku anticipate the other loss which will be incurred kutokana na ajira zilizokuwa zinatokana na hela za ufisadi. Ndio maana mimi sikuwahi kuwa mshabiki wa ndege na wala serikari kukimbia jukumu la uzalishaji wa viwanda katika awamu hizi za mwazo kutokana na mazingira ya nchi. Wao walitakiwa kuja na social investment zinazorudisha hela kwenye jamii moja kwa moja na kuwa makini kwenye kodi kuna biashara zingine kidogo walitakiwa wawe lenient nazo ata kama huko nyuma zilifanya dhambi kulinda uchumi kwa mfano utaratibu wa TRA sio sahihi kabisa wanavyodai kodi na kuua ajira kuna namna nyingine za kudaina just being responsbile na ajira, kuna kodi zingine zifikiriwe za uzalishaji kama zinaenda impact mlaji wa mwisho watu kama walikuwa awalipi kodi sasa wanalipa gharama atapewa mlaji again causing inflation ya vitu kama vyakula. It is a long story inayotaka kuwa na economic model na right policies ambazo hakuna ndio maana wengine tunasema Dr. Mpango ni tatizo kwa dhamira za Magu na tulishatabiri baada raisi atatengeneza maamudi huu ukata ukifika kwa wananchi maandishi hayo yapo kabla ata atujafika hapa.
 
Katika upuuzi utakaokuja kufeli vibaya ni huu wa serikali kujifanya inaweza kufanya kila kitu yenyewe kwa bei chee.

This will go on for sometime then when taxes dry up and more no Money for Theatrics are available is when we will see massive debts and cries from state owned enterprises.

Hauondoi umaskini kwa kupunguza ceiling ya kipato. Umaskini unaondoka kwa kuongeza ceiling(growth).

Pesa zilikuwa hazipo tangu zamani. Watanzania hatuzalishi, hatuuzi mazao nnje. Pesa zilizokuwa zikizunguka ni za wizi. Pesa za kujenga mabalabala, hospitali, mashule, kwa ujumla huduma kwa wananchi zikitumiwa na watu wachache bila ya control, zikitumiwa na watu waliokuwa na madaraka na waliokuwa karibu na Viongozi kwa wakati huo, ikiwa pamoja na Viongozi wetu. Sasa kuna control, bei ya nyumba ambazo zilikuwa sawa na za Marekani, ingawaje Watanzania hawajiwezi sasa zimeshuka na zitaendelea kushuka kwa bei ya Watanzania na sio za wapiga dili. Benki Sasa lazima zifikilie kabla ya kutowa mikopo, simu kutoka state house ama offisi yoyote ya mkubwa bwana mpe huyo mkopo, akijuwa mtu huyo hawezi kulipa hana mapato ya kuumudu mkopo, hakuna tena, lazima security, iende na mikopo, sio nyumba ya milioni 50, Inapewa thamani ya dili milioni 500, unapewa mkopo wa million 300, ukishindwa kulipa benki inatakiwa kuuza security iweze kurudisha pesa za watu, walioweks hakiba, ikiwa pamoja na pesa za serikali zikiwekwa kwenye mabenki. Kwa kuwa security, ni jipu, thamani haiendi na mkopo benki inashindwa kuuza kurudisha mkopo, , nchi ilikuwa ikiongozwa vibaya, ilikuwa kama Meli bila captain. Tulikuwa tunaelekea kuzama, uchumi gani huo tuliokuwanawo, bomu lilikuwa likingoja kulipuka.
 
Eric Cartman bandiko [HASHTAG]#210[/HASHTAG]
Umeongea hoja tatu nipitie mbili nikiunganisha na mada

Kwanza, kuhamia Dodoma kama ulivyosema sikuwahi kupinga.
Ninapinga uhamiaji usioratibiwa. Tunawezaje kujenga hosteli 20 kwa Bilioni 10 tushindwe kujenga majengo ya wizara 16. Hili tu linaonyesha hakukuwa na mipango

Kama ulivyosema infrastructure hazikuandaliwa, ni suala la muda tu kutakuwa na crisis katika huduma za jamii kama afya, elimu makazi , maji , usafiri n.k.

Pili, mada hii inahusu Slim na rasilimali zake. Hili si jambo la Slim, ni jambo linalowagusa wawekezaji. Ni tatizo la Developing countries na investors wanalijua ndiyo maana DFI inasuasua sana

Nchi zinazoendelea ni unstable kijamii, uchumi na usalama.

Kwa mfano, mradi wa Bagamoyo ulikuwa knee jerk reactions ya CoW ya EAC.
Haikuwa sera ya CC wala kujadiliwa na Bunge au wananchi.kikundi kiliamua tu

Ndivyo ilivyokuwa kwa katiba na ndivyo ilivyo sasa.

Mfano wa pili ni uhamiaji Dodoma, kwamba ni suala la amri na si mipango.
Yes lilikuwepo miaka mingi, yes! lilihitaji mshukumo lakini si kusukuma tu bali kusukuma kwa maarifa

Mfano wa Tatu, reli ya std gauge. Nayo kwa sehemu kubwa ilichagizwa na EAC.
Kabla ya hapo hakuna aliyejali hadi reli ikaota nyasi na Wahindi wakabeba vyuma.

Kwasababu za kutokuwa na plan na policy , ukiuliza kwanini reli zingine hazishughulikiwi, hakuna jibu

Mfano wa nne, katika miaka 10 tumekuwa na mawaziri wa elimu wakibadili sera kwa kila anayeingia
Asubuhi moja unasikia GPA, asubuhi nyingine Division. Hakuna ajuaye kesho italeta nini

Mfano wa tano. Yupo anayedhani anaweza kuja kushiriki shughuli za siasa nchini
Kinachomsukuma ni uwepo wa demokrasia. Atakapofika JNIA ataambiwa siasa hadi 2020!

Kwa mifano hiyo, uwekezaji wa Slim haukuzingatia risk za investment katika dev. countries kama Tz

Si kwamba alifanya makosa, bali hakuangalia stability ,sera na umadhubuti wa serikali za nchi masikini

Katika kuonyesha hilo, awamu ya tano ilifuta mradi wa Bagamoyo kabla ya kusema uendelee
Hii maana yake ni kuwa mradi haukuwa katika mipango ya nchi bali mipango ya watu

Kinachomtokea Slim si kigeni kwa nchi kama zetu, lakini pia ni funzo wakati wa kusikiliza wanasiasa
 
Eric Cartman bandiko [HASHTAG]#210[/HASHTAG]
Umeongea hoja tatu nipitie mbili nikiunganisha na mada

Kwanza, kuhamia Dodoma kama ulivyosema sikuwahi kupinga.
Ninapinga uhamiaji usioratibiwa. Tunawezaje kujenga hosteli 20 kwa Bilioni 10 tushindwe kujenga majengo ya wizara 16. Hili tu linaonyesha hakukuwa na mipango

Kama ulivyosema infrastructure hazikuandaliwa, ni suala la muda tu kutakuwa na crisis katika huduma za jamii kama afya, elimu makazi , maji , usafiri n.k.

Pili, mada hii inahusu Slim na rasilimali zake. Hili si jambo la Slim, ni jambo linalowagusa wawekezaji. Ni tatizo la Developing countries na investors wanalijua ndiyo maana DFI inasuasua sana

Nchi zinazoendelea ni unstable kijamii, uchumi na usalama.

Kwa mfano, mradi wa Bagamoyo ulikuwa knee jerk reactions ya CoW ya EAC.
Haikuwa sera ya CC wala kujadiliwa na Bunge au wananchi.kikundi kiliamua tu

Ndivyo ilivyokuwa kwa katiba na ndivyo ilivyo sasa.

Mfano wa pili ni uhamiaji Dodoma, kwamba ni suala la amri na si mipango.
Yes lilikuwepo miaka mingi, yes! lilihitaji mshukumo lakini si kusukuma tu bali kusukuma kwa maarifa

Mfano wa Tatu, reli ya std gauge. Nayo kwa sehemu kubwa ilichagizwa na EAC.
Kabla ya hapo hakuna aliyejali hadi reli ikaota nyasi na Wahindi wakabeba vyuma.

Kwasababu za kutokuwa na plan na policy , ukiuliza kwanini reli zingine hazishughulikiwi, hakuna jibu

Mfano wa nne, katika miaka 10 tumekuwa na mawaziri wa elimu wakibadili sera kwa kila anayeingia
Asubuhi moja unasikia GPA, asubuhi nyingine Division. Hakuna ajuaye kesho italeta nini

Mfano wa tano. Yupo anayedhani anaweza kuja kushiriki shughuli za siasa nchini
Kinachomsukuma ni uwepo wa demokrasia. Atakapofika JNIA ataambiwa siasa hadi 2020!

Kwa mifano hiyo, uwekezaji wa Slim haukuzingatia risk za investment katika dev. countries kama Tz

Si kwamba alifanya makosa, bali hakuangalia stability ,sera na umadhubuti wa serikali za nchi masikini

Katika kuonyesha hilo, awamu ya tano ilifuta mradi wa Bagamoyo kabla ya kusema uendelee
Hii maana yake ni kuwa mradi haukuwa katika mipango ya nchi bali mipango ya watu

Kinachomtokea Slim si kigeni kwa nchi kama zetu, lakini pia ni funzo wakati wa kusikiliza wanasiasa

I agree strategic planning remains a major issue lakini wapo watanzania wenzetu ambao awapewi nafasi wenye maono tofauti. Kwa mfano niliwai kumsikiliza Professor wa elimu kutoka mlimani jamaa alivyokuwa anatoa ushauri wa mitaala na mipango ya serikari inakosea wapi kwa mahitaji ya sasa na mazingira ya uchumi wetu na nini kifanyike jinsi tunavyopiga hatua za maendeleo kuandaa skills za wafanyakazi baadae mpaka unajiuliza kwanini huyu bwana sio katibu mkuu wizara ya elimu au ana nafasi ya ushauri serikarini kwenye maswala ya elimu.

Kuhusu unstable policies za third world hilo nalo ni tatizo lakini wenzetu wanafikiria zaidi interms actual rules of engagement. Mfano leo umesema watu waje wawekeze washakuja mara unaamka lazima wauze share zao kwa watanzania bila ya hiari zao.

Au mwekezaji kaja kafanya exploration kapoteza mamia ya mamillioni kwenye seismic studies and well appraisal hela ambazo wewe serikari ukuwa tayari ku risk kwa uoga ukikuta gesi aina ukubwa wa biashara. Baada ya kuona kuna faida unabilisha mazingira bila ya kumpa muda na yeye keshatupa pesa nyingi sana kama angejua rules zako ndio hizo asingekuja. Ndio kama walivyotaka kufanya kwa Dangote kulazimisha anunue makaa ya mawe bila ya kujali business strategy iyake naweza kuwa impacted kwa namna gani.

Sasa hawa dizaini ya kina Slim sidhani kama wanakutana na misuko suko hiyo wao hawana sustainable business plan form the beginning ndio maana wanalalamikia ahadi za serikari badala ya ku adapt; siku chache baada ya serikari kutoa hela zake CRDB walisema wanabadili strategy ya mikopo kutokana na mazingira na bado wametengeneza faida katika mazingira mapya si ajabu ukienda ukisoma financial statement za mabenki utakuta faida kubwa imetokana na mikopo ya wafanyakazi kwa mazingira ya sasa hakuna hela za ufisadi. Hawa akina Slim mambo yamebadilika badala na wao wabadili mbinu wanalalama na mazingira sasa ndio wafanya biashara gani.
 
paschal nakuelewa ila kuna walakini. mimi taaluma yangu ni Real Estate Investment. tatizo la awamu iliyopita ushauri wa kitaalamu ulidharaulika sana. nakumbuka 2012 nilifanya presentation ya project appraisal ya shirika moja la mafao lililowekeza majengo kubwa ya biashara Moshi na arusha. payback period ya Moshi ilikuwa 89 years na Arusha moja 68 na jingine 62. nikareccomend waachane nazo. walinichukia wakakasirika na sikufanya nao kazi tena. repoti ya juzi ya CAG ameyataja majengo hayo kuwa non performing investments. wawekezaji wengi waliwekeza hivyo kiujanja ujanja. we must come to equilibrium.
Payback period Ya 89Yrs daaah na shirika lina BoD...CFO ....Mbona tunaminyanaaaa jamaaan
 
Eric Cartman, post: 20789289, member: 41318"]I agree strategic planning remains a major issue lakini wapo watanzania wenzetu ambao awapewi nafasi wenye maono tofauti.

Kwa mfano niliwai kumsikiliza Professor wa elimu anatoa ushauri wa mitaala na mipango ya serikari inakosea wapi na nini kifanyike jinsi tunavyopiga hatua za maendeleo kuandaa skills za wafanyakazi baadae mpaka unajiuliza kwanini huyu bwana sio katibu mkuu wizara ya elimu au ana nafasi ya ushauri serikarini kwenye maswala ya elimu.
Ni tatizo linalotokana na siasa kuwa mbele badala ya utaalamu.

Ni tatizo la viongozi kufikiria madaraka siku za mbeleni badala ya nini wanafanyia Taifa

Nikupe mfano wa kiongozi anayejivunia wingi wa vyuo vikuu bila kufikiria ubora na hatma ya elimu ya vijana hao kwa vizazi vijavyo.

Katika strategic planning nchi za wenzetu zina sera za Taifa zisizobadilika
Halafu kuna sera zinazo weza kuwa 'tweaked' kutokana na sera za chama husika

Kwetu sera za Taifa ni zao la mawazo ya kikundi cha watu na si umma.
Ndiyo maana mengi yanataka kufanywa bila kamera, wananchi hawatakiwi kujua au kuhoji

Tunalalamikaje mchanga wa dhahabu unaondoka wakati mchanga huo umechimbwa miaka 16

Tulikuwa na sera za madini? Kama hakuna tuliingiaje mikataba?

Habari hazitakiwi kujadiliwa tunatakiwa kuamini mchanga unaibiwa.
Zote hizo ni politics tukigoma kujadili ni chanzo cha tatizo na ni akina nani
Kuhusu unstable policies za third world hilo nalo ni tatizo lakini wenzetu wanafikiria zaidi interms actual rules of engagement. Ndio kama walivyotaka kufanya kwa Dangote kulazimisha anunue makaa ya mawe bila ya kujali business strategy iyake naweza kuwa impacted kwa namna gani.
Mfano wa Dangote ni mzuri kueleza maana ya 'unstable'.

Utaona viongozi walivyopishana kauli kana kwamba wanatoka nchi tofauti.
Sidhani kama kuna Dangote mwingine, anaweza ku risk kwa handling tuliyoiona

Watu kama Dangote wanakwenda kwa 'terms' wanazokubaliana na serikali husika.
Inapotokea tuliyoona sijui kuna mwenye hamu. Ndio maana Direct foreign investment inasuasua
Sasa hawa dizaini ya kina Slim sidhani kama wanakutana na misuko suko hiyo wao hawana sustainable business plan form the beginning ndio maana wanalalamikia ahadi za serikari badala ya ku adapt; Hawa akina Slim mambo yamebadilika badala na wao wabadili mbinu wanalalama na mazingira sasa ndio wafanya biashara gani.
Naweza kusema akina Slim wameishi katika nchi ambazo kauli ina matter.

Walitambua kinachosemwa ndicho kinachotokea.

Hawakuweza kuishi katika mazingira ya kubabaisha. Hili ni kwa Watz wengi walioishi nje muda

Wanakuwa na utamaduni wa kufanya na kupata matokeo kwa hesabu na si kwa ujanja ujanja.

Ku adapt ni jambo tata sana kwao

Slim alitambua kutakuwa na 'booming' ya business Bagamoyo. Hesabu zake zililenga eneo fulani

Ku adapt ni jambo gumu sana kwasababu wamezoea kuishi katika 'straight line' na si ujanja ujanja

Kama utakumbuka JK alikuwa mstari wa mbele kushawishi diaspora kuwekeza nyumbani
Membe akiwa waziri alishika jambo hilo bango.

Niliwahi kuzungumza na Diaspora mmoja nikamwambi suala si nini kasema JK au Membe, bali uwepo wa sera kisheria zitakazohakikisha zinalinda masilahi yao kwanza kabla ya kufikiri kuwekeza nchini

Katika majadiliano tulikumbusha vema hii ni developing country ni unstable
Kesho anaweza kutokea kiongozi mwingine, kama hakuna sera kisheria itakuwa tatizo

Ndivyo waziri wa Ardhi alivyotoa tangazo likiwatambua diaspora kama investors wengine
Hakukuwa na marejeo ya nini alisema Membe nini alisema JK siku za nyuma

Kuna diaspora walinunua viwanja na plot kwa investment, wanalia maana giza nene mbele

Kwa mtazamo wangu tunahitaji watu watakaofikiri tofauti, ''recycling ni insanity' tu
 
Policies change and they have nothing to do with Mr Slim. Our exonomies will never grow if they dont stabilise. The USD has been able to achieve its mighty status because of stability not lack of it thereof. Which is why China owns $1tr in USD debts and keeps buying US debts. STABILITY.

Kila investor anayekuja Tanzania anajumlisha lack of stability kama danger and guess what wengi huishia njiani, na wachache huamua kufanya kama kamari. Hii ni hatari sana kwa uchumi wetu kwa sababu political and policies instability reflects kwenye investment costs and in the end mlaki.,bei zinakuwa juu uchumi unakuwa kama mwanariadha anayekimbia huku kabebeshwa viroba vya smenti.

Sekta nzima ya hotels inawakati mgumu sana kwa sababu inflows za watalii wa ndani na wa nje zimepungua., mdororo umepunguza pia disposable income za watu wa kawaida na mwisho kabisa amri ya idara zote za serikali kufanyia semina maofisini ndio zikazizika kabisa.

Sasa kuna watakaomsifu raisi kwa kubana matumizi mimi sio mmoja wao kwa sababu sijaona kilichobanwa, ila matumizi yamebadilishwa vipaumbele., waste bado kubwa sana na mipango ya hovyo. Hili naomba tusibishane kwa kuwa kila kitu kiko wazi kwenye ripoti ya CAG. Magu is No SAINT.

JPM kwa kukataa serikali kufanya biashara na sekta binafsi obviously anatarget wamiliki wa hizo biashara unfairly. Hawezi kukwepa hizo lawama. Asichojua serijali inaajiri watu nusu milioni na sekya binafsi inaajiri mamilioni(rasmi zaidi ya 3M na sio rasmi zaidi ya 10M).
Kiongozi mwenye busara angefanya kila awezavyo hawa mabwana waendeee kuzalisha ajira na waendelee kuiletea kodi zaidi serikali.

Ila kwa kuwa mh ana kilema cha uelewa wa uchumi unavyokwenda basi tusitegemee makubwa hadi atakapopatikana wa kumwelewesha na Akaelewa madhara ya ujinga unaofanyika.
He is no saint sawa ila kwenye kuzuia mkutano hotels private ni la kumpongeza maana unajua kabisa hotels nyingi zilikaa kutegemea serikali tu, hawakuhangaika na wadau wengine kama familia. Sisemi ni wote ila baadhi ya hotels. Sasa hivi inabidi wajiongeze na kuelewa kwamba wakati umebadilika so they have to market themselves na kuja na packages za kuvutia private sector. Kuhusu ripoti ya CAG, madudu mengi yamefanyika kabla hajaingia, kumbuka ni mwaka 2015/16, kuanzia July 2015 hadi December 2015 mengi yalijiri.
 
He is no saint sawa ila kwenye kuzuia mkutano hotels private ni la kumpongeza maana unajua kabisa hotels nyingi zilikaa kutegemea serikali tu, hawakuhangaika na wadau wengine kama familia. Sisemi ni wote ila baadhi ya hotels. Sasa hivi inabidi wajiongeze na kuelewa kwamba wakati umebadilika so they have to market themselves na kuja na packages za kuvutia private sector. Kuhusu ripoti ya CAG, madudu mengi yamefanyika kabla hajaingia, kumbuka ni mwaka 2015/16, kuanzia July 2015 hadi December 2015 mengi yalijiri.

Unamtetea jamaa kupita uhalisia. Kwenye matumizi sahihi ya fedha kwa kufuata kanunu ni MBOVU kupindukia. Funds diversion ni tatizo kubwa mno kwenye awamu ya huyu bwana. Mara akikutana na marketing manager wa shirinka la kuunda ndege aagize na kulipia ndege in advance bila kuwepo kwa bajeti iliyotengwa, mara aajiri watu 200 na bila kutazama kama kulikuwa na bajeti, pesa za huku apeleke kule, yeye ndio kila kitu., huyu bwana Ripoti zake za CAG are not getting better. They are getting worse.

Namsifu kwenye ukali na userious kwenye usimamizi wa mambo mbalimbali. Thats it. Kwengine sina unafki wa kumsifia.

Kuhusu private hotels lobbying haikosekani, dunia yote,kuhusu wao kuanza kuvutia provate sector do not assume hawafanyi hivyo., kikubwa ni kuwa moja ua revenues sources imebanwa. Na kikubwa zaidi ni multiplier effect kwani hata huko private nje ya hoteli nao wamebanwa kwa njia nyengine.

Mabenki yamenyang'anywa pesa, wakandarasi wa ndani wamewekwa pembeni TBA kageuka mkandarasi mkuu you name it!
 
Mkuu Paskali, labda tu nikutoe mashaka. Pengine? Mengi aliyosema Kimweri ni sahihi japo kuna marekebisho ya hapa na pale, kwa maoni yangu. Ndiyo maana nimetanguliza "pengine".

Mosi, suala la wageni kuishi nchini bila vibali na kudorora kwa soko la nyumba japo ni kweli lakini haliwezi, na lisingepaswa kuwa suala la msingi katika kupanga ukuaji wa uchumi wa nchi. Raisi ni kiongozi wa mambo yote, uchumi ni moja ya mambo hayo, lakini pia kuna masuala ya usalama wa nchi, amani na hata muelekeo wa nchi. Mathalani, kama wageni hao walikuwa majambazi au magaidi au wenye-kujishughulisha na biashara haram, tulipaswa kuwaacha tu maadamu wamepanga majumba Masaki na Mikocheni na hivyo kuwaondoa nchini uchumi utadorora! Ninarudia: sina maana wageni wote walioishi nchini bila vibali walikuwa magaidi au wafanya biashara haramu, ila kimsingi hili ni moja ya masuala ambayo raisi na wasaidizi wake, pamoja na wasaidizi wa uchumi, walipaswa kuangalia -na waliliangalia, na kuona kwamba kiusalama hatuwezi kuishi na watu ambao hawakuwana vibali vya kuishi nchini. Hata huo uchumi ili ukue unahitaji usalama na amani nchini. Sidhani kama kuna nchi uchumi unakuwa katika mazingira ambayo watu wameishi tu bila kujua nani anafanya nini wapi na kwa shughuli gani.

Ukirejea mada-asili ya yule "mwekezaji wa Bagamoyo", hayo ndiyo baadhi ya matokeo yake, kwani walikuja wajanja-wajanja na kwa kutumia uhuni-uhuni kwenye mabenki wakachukua mikopo wakitarajia kwamba wataendelea kunyonya-nyonya kwa sababu hatukuwa na mipango au usimamizi thabiti wa sheria za uwekezaji, sheria za uhamiaji na usimamizi wa raslimali za nchi. Hivi fikiria tu, ingekuwaje tuchukue mikopo kama nchi kujenga bandari Bagamoyo ilhali hii ya Dar-Es-salaam imetushinda kuiendesha! Sababu zipi za kimsingi, kwa sababu tu Kiongozi mshkaji-wetu ametoka Bagamoyo? Huu ni uchumi ambao, sina neno la Kiswahili, wanauita Potemkin Economies. Uchumi, aidha uwekezaji, wa majukwaani kuonyesha show kama ya Gombesugu. Bagamoyo pazuri sana na kuna historia kubwa, ya Utumwa, lakini Bagamoyo kwa sasa hivi kama bandari haikuwa na hadhi ya nchi kuchukua mabilioni ya dollar kujenga bandari nyingine na hivyo kutuletea wawekezaji kama huyo Slim Slim! Ule ulikuwa ni uhuni na, nimeishiwa tena maneno ya Kiswahili, speculation. Hivyo, haya sasa ndiyo matokeo yake, na dawa ya mkopo lipa deni!

Pili, masuala yote mengine aliyoongea Kimweri ni sahihi japo kinadharia zaidi. Laiti kama ingekuwa rahisi kama Kimweri anavyodurusi, basi ninadhani nchi zote zingekuwa zinanunua hizo "formula" madukani ili kutanzua matatizo yao ya kiuchumi. Kwa kifupi: kununua ndege na kuwekeza kwenye reli ($1B alizozungumzia Kimweri) sidhani kama ilikuwa sahihi, hapa ninakubaliana na Kimweri, mosi, kwa sababu serikali haijatatua matatizo yaliyopelekea kufa kwa ndege za awali tulizokuwanazo au reli ambazo ama tujirithi kwa wakoloni au tuliyozawadiwa na Mwenyekiti Mao Tse-Tung. Matatizo ambayo hayakutokana na ukosefu wa reli au ndege, kwani tulikuwanavyo vyote (ironically) bali uongozi mbovu na usimamizi mbaya ikiwamo wizi, rushwa na ubadhirifu mambo ambayo uongozi huu unajaribu kuyarekebisha (more ironies!). Vipaumbele, kwa maoni yangu -na ndiyo maana nimetanguliza kuunga mkono hoja ya Kimweri, siyo kutumia pesa ambazo hatuna na aidha kuzitoa katika mzunguko (hizo $1B), kwa kuwekeza kwenye sekta ambazo uwezo wa kuzisimamia hatuna! Uamuzi wa Awamu hii kufanya hili ulikuwa wa kisiasa zaidi kuliko kiuchumi. Serikali haina uwezo au utaalamu wa kuendesha biashara ya ndege au reli. Tulishindwa huko nyuma na nina hakika tutashindwa tena mbele ya safari. Biashara siyo fani ya serikali hata siku moja.

Tatu, mdororo wa uchumi tunaopitia sasa hivi ni matokeo ya mipango hafifu na uhuni-uhuni uliotangua katika Awamu ya Nne, iliyopita. Japo kwa kiasi fulani, kama nilivyoaarifu hapo juu, kuna makosa ya kiufundi na vipaumbele, katika Awamu hii. Shurti ningepewa maoni kuchagua, ninadhani sasa hivi, japo tunaumia, tupo mahala pazuri zaidi kuliko awali. Uchumi sio kama chumvi ukiweka inakolea hapo hapo, ni masuala magumu na ya kimsingi ambayo yanahitaji kujiangalia kiundani na kupanga kwa kutazama uwezo, usalama, raslimali na manufaa ya nchi, majirani zetu na dunia kwa ujumla. Awali ilikuwa ni ahadi ahadi kwa wadau na washkaji njooni -watu wa diaspora! -tuwekeze mahoteli ya kufanyia warsha na makongamano! Hivi kweli, tena kwa haraka-haraka, kama kila hoteli iliyojengwa Bagamoyo ingekuwa na kumbi saba kama alivyojinasibu "muwekezaji" Slim Silim (conference facilities!), warsha na kongamano ngapi zingehitajika kumpatia faida na kulipa mikopo ya benki aliyochukua? Hapa tunazungumzia hoteli moja tu Bagamoyo, zidisha mara tano au sita hivi hapo-hapo Bagamoyo, kabla ya kwenda miji na mikoa mingine. Huo haukuwa uchumi, ulikuwa ni uchumi hewa na uwekezaji hewa. Potemkin Economies, apropos.

Mwisho, ninakubaliana nawe kwamba Raisi anahitaji washauri thabiti, wasiokuwa waoga kumwambia haya. Ninadhani nia njema na dhamira njema pia isipokuwa kukurupuka-rupuka ndiyo kunaharibu Awamu hii.
Nakubaliana Na wewe kwa kiasi kikubwa lakini hili la kuona kununua ndege Na kujenga reli kwamba tutafeli nachelea kulikubali sababu kushindwa kwetu huko nyuma kulitokana na uzembe Na kuwa short sighted kwamba tunapenda kufurahi raja Za Muda mfupi bila kuangalia adhaa Za muda mrefu.
Secondly ni kwamba kwa kuwa Na bandari Na nchi kadhaa ambapo no land lock mahitaji ya reli ni obvious sasa Kama sio serekali kuwekeza ni nani at a fanya hivyo ??? Ili kutake advantage ya fursa ya kusafirisha hiyo Mizigo kwa ufanisi . Na kutokuwa na ndege Wakati tunafursa Za kiutalii etc nani ata stimulate hiyo biashara ya utalii Na usafiri kwa Jumla Kama sio sisi wenyewe? Iweje Ethiopia wameweza sisi tushindwe? Kama huko Nyumba tulishindwa kwa ajili ya mapungufu Fulani , hivyo Cha msingi ni kutorudia hayo makosa. Na nina Imani elimu Na experience tulipopata huko nyuma hatutoirudia kuleteleza failure ya reli Na ndege etc
 
The government must lower taxes and import duties to collect more taxes. Many business people import goods through Zanzibar to avoid Dar es salaam port. Allow foreigners to buy properties for investment to boost so many properties over build, which ordinary Tanzanians can not afford them. Too many restrictions attracts corruption. How about Tanzanian citizens living abroad, allowing them without condition of giving up their citizens to their host country like many Africans countries have done. These are Tanzanians, will bring new ideas and bring money in the country. For example Ghana, they have just reduced taxes, for business. Kenya allowed their citizens living abroad to hold dual citizenship, and these has contributed to the economy immensely. The world is like one big village too much restriction do not work, it holds the country back and encourage corruption. If a Chinese could buy a house in U.K. And the British could buy a house in China, why not allow other foreigners to own houses without too much hassle?
Hili la foreigners ku own bldgs bongo kwa sasa lingekuwa kwenye strategic bldgd like hotels , commercial properties like supermarkets ambapo serikali itakusanya kodi kwa urahisi zaidi kwa matumizi ya efd, tofauti Na maduka mengi ya Mitaani ambavyo haina proper records Na efd, Nyumba Za makazi turn dele kuwaachia locals Na nhc . Tukiruhusu foreigners kuwekeza kwenye residential properties bus ni Na uhakika in 20 years 50% ya nchi itakuwa foreign owned
 
Hili la foreigners ku own bldgs bongo kwa sasa lingekuwa kwenye strategic bldgd like hotels , commercial properties like supermarkets ambapo serikali itakusanya kodi kwa urahisi zaidi kwa matumizi ya efd, tofauti Na maduka mengi ya Mitaani ambavyo haina proper records Na efd, Nyumba Za makazi turn dele kuwaachia locals Na nhc . Tukiruhusu foreigners kuwekeza kwenye residential properties bus ni Na uhakika in 20 years 50% ya nchi itakuwa foreign owned

Ninazungumza kuhusu holiday apartment, kuna watalii wengi haswa WAZEE wangependa kuwa na second home, wanakuja kuota jua na kwenda zao. Hata hivyo kutakuwa na visa ya kuingia. Hii itasaidia kuingiza pesa za KIGENI. Wasiruhusiwe kufanya biashara ama kuajiliwa hata kazi isiyokuwa na malipo. Hayo ni Maoni yangu tu.
 
Back
Top Bottom