Agnes Mkandya, DED Gairo ni nani?

Agnes Mkandya, DED Gairo ni nani?

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
57,996
Reaction score
134,178
Nilikutana na huyu dada wa Kisukuma mwaka juzi chuo flani akimalizia shule.Sikuwa karibu naye kivile lakini nikanotisi kuwa ni muhasibu wa Halmashauri huko Tabora.Japo kiumri alikuwa ameshatoka kwenye usichana lakini hakuonekana kama ni mtu mzito kimajukumu ya ofisi.

Hamad nakutana na jina Agnesi Mkandya kwenye list ya Wakurugenzi wapya wa Magufuli.

Sikujua kama ni yeye mpaka leo nilipoiona picha akiwa na Wazira Ummy Mwaalimu akitambulika kama DED Gairo. Mwenye data zake atupe tupate kumjua
 
Picha zaja
Ndiyo huyu ? AGNES MKANDYA.
1424352_116700148705207_8718429558640184933_n.jpg
1930782_116712625370626_763334514192175824_n.jpg
 
Back
Top Bottom