TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

Doh,kuna moja kapiga na mtoto wa ilala sikusei anaitwa sumarider nyimbo inambwa"you my lady njoo kwangu njoo udance na mi hooh," humu masogange bado mbishi kabisa,R.I.P Aggy.

Mbona Hapo Msambwanda alikuwa hana? Au Alikuwa hajayapimp na SILICON?
 
nawachukia sana wauza ngada wote ni vile tu sina mamlaka laiti kama ningekuwa mkubwa serikalini ningekula nao sahani moja nife mimi wafe wao..MUNGU amtendee masogange sawasawa na matendo yake!!
 
  • Thanks
Reactions: ovi
Kwa Mama Ngoma ni kidispensary?sio kweli mmewe kama sikosei ana kitendo kwenye masuala ya Kansa na ukiwa na pesa ukienda pale unahudumiwa vzr mpk Kansa wanapiga mionzi km sijakosea
Ngoma alistaafu toka Oceanroad. Ukweli ubaki ilivyo, hizi siyo hospitali ni dispensaries tu! Ziko nyingi ndani ya jiji la Dar. Unakuta Daktari mzima yuko kwenye kioski anakusanya elfu 10 za wagonjwa kumuona na anaamini anafanya tiba. Hii ni kuchezea maisha ya watu kwa urafi wa kutajilika. Muhimbili imefanywa ni sehemu ya kuwinda wagonjwa na kuwaelekeza kwenye vioski vyao.
 
If you know how quickly people forget the dead...you will stop living to impress people -Christopher Walken
 
Mungu awape faraja ndugu, jamaa na Marafiki wote wa Agness Masogange.

Kifo kinapotokea kinakuwa ni funzo kwetu ili kujiandaa kabla ya kufa.

Swali fikirishi huwa ni : Ukifa utaenda wapi?
hakuna chochote kinachotokea baada ya kifo..
jinsi ilivyokua kabla hujazaliwa ndivyo itakavyokuwa baada ya kifo
 
Mi mwenyew nawachukia wauza unga..mxiuuu.vijana wanateketea kwa madawa wao wanatajirika..wafe wote tu
 
Bahati nzuri marehemu ni mtu wa mbeya na wao wanataka wawahi kumpumzisha binti yao wakinukishe na hivyo hawalipendi hili li serikali.
 
Kwanini uchunguzi huru ufanyike?

Mhubiri 9:5 inahusika hapa. MUNGU awe mfariji kwa wanafamilia na watanzania wote. .....MUNGU atujulishe kuzihesabu siku zetu.... Zaburi 90:12.
Uchunguzi huru muhimu sana,Siku kama 5 zilizopita alikuwa safi tu,alilazwa kwa mama ngoma kwa siku nne,why alazwe siku nne? Kama kulikuwa na life-threatening kwa nini wasimpe rufaa kwenda hospital kubwa? Kuna Connection ya DAB au Snowmen na Masogange.
 
Mawazo ya kusadikika tu ka kila jambo na ndiyo yanayowapoteza wengi kila kitu ni kudhani tu.

Na ndiyo maana hata trillion 1.5 mnadhani tu na kuandika mitandaoni wakati ukweli anao aliyeandika ripoti na jana ametoa ukweli wake.

.

Unaweza kuonyesha kurasa na aya husika kwenye CAG report, inayoonyesha ikiripotiwa kwamba TZS 1.5T zimeibiwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom