cha tabora
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 424
- 208
Aliyekuibia siyo huyo ni watendaji wa serikali yenu, ilikuaje waidhinishe malipo yasiolingana na kiwango cha kazi? Jiulize mwenyewe utapata jibu.hao watu wanatuibia halafu tunakuja kuwatetea hizo pesa ni kodi zetu mwachieni mhusika aje atoe maelezo tumsikie ndio tuone kama rais alikuwa sahihi kiasi gani