Agizo la Rais halina mjadala wala marekebisho

Agizo la Rais halina mjadala wala marekebisho

TumainiEl

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
7,275
Reaction score
14,315
Nimeamua kuandika hii mada usiku wa manane baada yakutafakari sana juu ya kile CHADEMA wanataka kukifanya na madhara yatakayotokea kwa viongoz wa chama, vijana pamoja na chama. Ni bora kuandika haya ili kwa wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili kukemea nakuzuia jambo la kijinga CHADEMA wanataka kufanya.

Ni bora kila mtu ajue kile Mh Rais alisema hajaribiwi nikweli alimanisha kutoka moyoni sio kwa kukurupuka ila ni baada yakukaa na kamati za ulinzi na usalama wa taifa na kushauri na mwisho kumpa neno la kusema. Kwahiyo tusipoteze muda eti kudhani kuna muujiza rais atabadili maneno kutoka uchungu kuwa matamu ilo nawapa poleni.

Nilazima sote tujue kauli ya Rais ni amri isiyotenguliwa na mtu awaye yeyote au kupingwa kabla haijatekelezwa. Hapo inamanisha nini? Yani kama rais ameshatoa amri nilazima kwanza itekelezwe na ndipo uijadili. Ina maana Rais ameshasema hakuna maandamano na wewe ukaandamana ukipigwa risasi ukafa hatutokujadili kwa nini umekufa bali tutakuhesabu kama mvunja sheria au muhalifu mwingine na kwakuwa amri ya rais ni halili kufuatana na mamlaka yake basi alie uwa anakuwa huru. Watu wananukuu katiba vibaya nakukariri vibaya, ukienda kwenye madaraka na kinga ya rais unaweza kujua kile namanisha kwa vizuri zaidi. Tuache kusoma upande mmoja wa karatasi wa katiba na tusome pande zote mbili za Karatasi ili wananchi wapate kujua kile upinzani wanasema maana kile kinafanyika sasa nikuwahadaa wananchi na kuleta shida mbeleni. Ndio maana Rais wetu mpendwa akasema viongozi wa UKUTA wakae mbele na wasiwahadae masikini kukaa mbele wakati wakijua sheria itawaumiza.

Nilazima tujue kunavimelea vya uasi ndani ya taifa hili na vimelea hivi vikiachwa vitajeuka kuwa sugu visivyo sikia dawa wala kinga jambo litazaa taifa lenye uasi mkubwa huko mbeleni. Uasi huzaa watoto waasi mpaka vitukuu viasi mbegu kama hizi sio za kuziruhusu katika taifa letu la Tz.

Mtu muasi sio wa kucheka naye wala kushikana mkono naye au hata kula nae, saa yeyote atakugeuka, ni vema kufahamu taifa hili linatutegemea sisi vijana. Yale yanatokea sasa sio siasa safi na wala hakuna kiongozi yeyote mwenye mapenzi mema na taifa lake atakubali mchwa huyu kula mazao yake hizi ni siasa za mataifa kama burundi, sudani kusini au kongo. Sisi sio taifa lakusikia watu wanambeza Rais nakuwasifia au mtu anamuita rais aliyechaguliwa kwa mujibu wa sheria na katiba yetu eti dikteta na anapewa air time.

Baba wa uasi ndani ya taifa hili tunamjua walimtukana Mh Kikwete hana maamuzi magumu yeye alicheka ila mwisho walilia wao. Mnyika alimuita Mh Kikwete dhaifu nadhani hajawahi sema nini kilimkuta ila siri yake.

Rais wa sasa haangalii makunyanzi wala hana chai na juice ikulu kwa ajili ya waasi yeye hapa kazi sasa mmegeuka kumuita dikteta. Nadhani CHADEMA wanafikiri ili taifa wao tu ndio wanajuwa sana siri za nchi. Kwangu mimi ni tarehe 1.09.2016 ndio mtajua rais ni dikteta uchwara au vipi na ndio maana vijana mnashauriwa kwa upendo msijiusishe nao.
Kauli ya rais haina kurudi nyuma itatekelezwa na mtasaidia watu kupanda vyeo kiulaini.

Shime Rais wangu Magufuli walizoea sana.
 
Yeye ni binadamu tu kama sisi , kila mtu atakufa , Ni bora nikafa kifo chenye kumbukumbu kama soweto inavyo kumbukwa , kuliko nikawa na mtawala anaye tumia kila jambo amri , Tanzania ni nchi huru , na kama siyo huru basi tuutafute uhuru , mimi nitakuwa mstari wa mbele September 1 ,ili niwe wa kwanza kufa , kwa ajili ya kupinga Umungu mtu
 
Hizo risasi unazosema ghaddafi alikuwa nazo nyingi lakini hazikumsaidia. Akizitumia zitaongeza chuki ya wananchi kwa ccm na serikali yake. Na ICC itahusika.
Kutokana Na Neno Lako Inaonekana Wewe Sio Mzalendo Wa Taifa Hili.

Gadafi Hazikumsaida, Ok Baada Ya Gadaf Kufa Libya Wananufaika Na Nini Sasa?!. Kufia Baharini Wakienda Uhamishoni Kupitia Mediteranian Sea?!.
 
Acha kuonyesha ujuha wako hadharani. Magufuli kuwa Rais hakumpi haki ya kutoiheshimu katiba ya nchi kwa namna yoyote ile na kuja na vipengele vyake vya dikteta uchwara "hakuna siasa mpaka 2020"

Fungua akili yako acha kutetea udikteta wa aina yoyote ile nchini. D anaogopa nini kutangaza hali ya hatari nchini ili aweze kufanya vizuri!? Maana akishatangaza hali ya hatari katiba ya nchi haina nguvu tena hivyo ataweza kuitawala nchi kijeshi kupitia polisiccm na jeshi.

Nimeamua kuandika hii mada usiku wa manane baada yakutafakari sana juu yakile chadema wanataka kukifanya na madhara yatakayo tokea kwa viongoz wa chama,vijana pamoja na chama. Nibora kuandika haya ili kwa wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili kukemea nakuzuwia jambo lakijinga chadema wanataka kufanya.

Nibora kila mtu ajuwe kile Mh Rais alisema hajaribiwi nikweli alimanisha kutoka moyoni sio kwa kukurupuka ila ni baada yakukaa na kamati za ulinzi na usalama wa taifa nakushauri na mwisho kumpa neno lakusema. Kwahiyo tusipoteze muda eti kudhani kuna muujiza rais atabadili maneno kutoka uchungu kuwa matam ilo nawapa poleni.

Nilazima sote tujuwe kauli ya Rais ni amri isiyotenguliwa na mtu awaye yeyote au kupingwa kabla haijatekelezwa. Hapo inamanisha nini? Yani kama rais ameshatoa amri nilazima kwanza itekelezwe na ndipo uijadili. Ina maana Ras amesha sema hakuna maandamano na wewe uka andamana ukipigwa risasi ukafa hatutokujadili kwa nini umekufa bali tutakuhesabu kama mvunja sheria au muhalifu mwingine na kwakuwa amri ya rais ni halili kufuwatana na mamlaka yake basi alie uwa anakuwa huru.

Nilazima tujuwe kunavimelea vya uwasi ndani ya taifa na vimelea hivi vikiachwa vitajeuka kuwa sugu visivyo sikia dawa jambo litazaa taifa lenye uwasi. Mtu muwasi sio wakucheka nae wala lushikana mkono. Yale yanatokea sasa sio siasa safi ni siasa za mataifa kama burundi, sudani kusini au kongo. Sisi sio taifa lakusikia watu wanambeza Rais nakuwasifia. Baba wa uwasi ndani ya taifa hili tunamjuwa walimtukana Mh Kikwete hana maamuzi magumu yeye alicheka ila mwisho walilia wao. Mnyika alimuita Mh Kikwete dhaifu nadhani hajawahi sema nini kilimkuta ila siri yake.

Rais wa sasa haangalii makunyanzi wala hana chai na juice ikulu kwa ajili ya waasi yeye hapa kazi sasa mmejeuka kumuita dikteta. Nadhani chadema wanafikiri ili yaifa wao tu ndio wanajuwa sana siri za nchi. Kwangu mim ni tarehe 1.09.2016 ndio mtajuwa rais ni dkteta uchwara au vipi na ndio maana vijana mnashauriwa kwa upendo msijiusishe nao.
Kauli ya rais haina kurudi nyuma itatekelezwa na mtasaidia watu kupanda vyeo kiulaini.

Shime Rais wangu Magufuli walizowea sana.
 
Mbona maagizo yake mengi yashajadiliwa na kulegezwa kama si kubatilishwa kabisa!!!????, tuanze na agizo la kuzuia sukari kutoka nje........ na tuangalie utekelezwaji wake... . . Labda mfano huo utakufungua.
 
Nimeamua kuandika hii mada usiku wa manane baada yakutafakari sana juu yakile chadema wanataka kukifanya na madhara yatakayo tokea kwa viongoz wa chama,vijana pamoja na chama. Nibora kuandika haya ili kwa wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili kukemea nakuzuwia jambo lakijinga chadema wanataka kufanya.

Nibora kila mtu ajuwe kile Mh Rais alisema hajaribiwi nikweli alimanisha kutoka moyoni sio kwa kukurupuka ila ni baada yakukaa na kamati za ulinzi na usalama wa taifa nakushauri na mwisho kumpa neno lakusema. Kwahiyo tusipoteze muda eti kudhani kuna muujiza rais atabadili maneno kutoka uchungu kuwa matam ilo nawapa poleni.

Nilazima sote tujuwe kauli ya Rais ni amri isiyotenguliwa na mtu awaye yeyote au kupingwa kabla haijatekelezwa. Hapo inamanisha nini? Yani kama rais ameshatoa amri nilazima kwanza itekelezwe na ndipo uijadili. Ina maana Ras amesha sema hakuna maandamano na wewe uka andamana ukipigwa risasi ukafa hatutokujadili kwa nini umekufa bali tutakuhesabu kama mvunja sheria au muhalifu mwingine na kwakuwa amri ya rais ni halili kufuwatana na mamlaka yake basi alie uwa anakuwa huru.

Nilazima tujuwe kunavimelea vya uwasi ndani ya taifa na vimelea hivi vikiachwa vitajeuka kuwa sugu visivyo sikia dawa jambo litazaa taifa lenye uwasi. Mtu muwasi sio wakucheka nae wala lushikana mkono. Yale yanatokea sasa sio siasa safi ni siasa za mataifa kama burundi, sudani kusini au kongo. Sisi sio taifa lakusikia watu wanambeza Rais nakuwasifia. Baba wa uwasi ndani ya taifa hili tunamjuwa walimtukana Mh Kikwete hana maamuzi magumu yeye alicheka ila mwisho walilia wao. Mnyika alimuita Mh io sheriaKikwete dhaifu nadhani hajawahi sema nini kilimkuta ila siri yake.

Rais wa sasa haangalii makunyanzi wala hana chai na juice ikulu kwa ajili ya waasi yeye hapa kazi sasa mmejeuka kumuita dikteta. Nadhani chadema wanafikiri ili yaifa wao tu ndio wanajuwa sana siri za nchi. Kwangu mim ni tarehe 1.09.2016 ndio mtajuwa rais ni dkteta uchwara au vipi na ndio maana vijana mnashauriwa kwa upendo msijiusishe nao.
Kauli ya rais haina kurudi nyuma itatekelezwa na mtasaidia watu kupanda vyeo kiulaini.

Shime Rais wangu Magufuli walizowea sana.
kwani amri ya rais ndio sheria ?, Sasa kama hivyo sharia zimewekwa za nn ?
 
Sisi wote ni wa Mungu.Elewa unapofanya kazi ya uongozi wa nchi unamsaidia Mungu katika kusimamia watu.Hivyo ukiongoza kwa kufurahisha waliokuweka ujue utamkosea Mungu. Tunasoma katika vitabu vya historia Pilato alipo mhukumu Yesu Kristo ili awafurahishe Waisraeli hakuweza kuendelea na kazi yake bali alikuwa kichaa hadi kufa.Viongozi wa Serikali baada ya uchaguzi huapishwa kwa kushika vitabu vitakatifu maana yake ni kua kuanzia siku ya kuapa utaongoza watu kwa misingi Mungu anavyotaka kutouana na kitabu kitakatifu cha MUNGU.Hivyo unapo ongoza kwa kufuata matakwa yako Mungu anakuacha ili ufanye yaufurahishao mwili wako.Ndio maana katika vitabu vitakatifu vinaeleza tusiape kwa kutaja jina la Mungu.Kwani katika kiapo kuna hukumu.Je yanayotendeka sasa katika nchi kuna haja ya kumshirikisha Mungu?Mungu ni mtakatifu hachanganywi na uchafu.
 
Twende tu hivyo hivyo tutafika..!! Hii nchi inatakiwa twende kijeshi jeshi kidogo.
 
Walizoea kubembelezwa na kuitwa ikulu kunywa juisi,zamu hii ni kijeshi tu.Pigeni kelele JF ila mkijitokeza mnapigwa buti za kutosha,halafu mrudi humu na bandeji za kutosha mkichechemea muendeleze propaganda mnazotumwa na wakuu mtueleze yaliyowakuta.
 
Nimeamua kuandika hii mada usiku wa manane baada yakutafakari sana juu yakile chadema wanataka kukifanya na madhara yatakayo tokea kwa viongoz wa chama,vijana pamoja na chama. Nibora kuandika haya ili kwa wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili kukemea nakuzuwia jambo lakijinga chadema wanataka kufanya.

Nibora kila mtu ajuwe kile Mh Rais alisema hajaribiwi nikweli alimanisha kutoka moyoni sio kwa kukurupuka ila ni baada yakukaa na kamati za ulinzi na usalama wa taifa nakushauri na mwisho kumpa neno lakusema. Kwahiyo tusipoteze muda eti kudhani kuna muujiza rais atabadili maneno kutoka uchungu kuwa matam ilo nawapa poleni.

Nilazima sote tujuwe kauli ya Rais ni amri isiyotenguliwa na mtu awaye yeyote au kupingwa kabla haijatekelezwa. Hapo inamanisha nini? Yani kama rais ameshatoa amri nilazima kwanza itekelezwe na ndipo uijadili. Ina maana Ras amesha sema hakuna maandamano na wewe uka andamana ukipigwa risasi ukafa hatutokujadili kwa nini umekufa bali tutakuhesabu kama mvunja sheria au muhalifu mwingine na kwakuwa amri ya rais ni halili kufuwatana na mamlaka yake basi alie uwa anakuwa huru.

Nilazima tujuwe kunavimelea vya uwasi ndani ya taifa na vimelea hivi vikiachwa vitajeuka kuwa sugu visivyo sikia dawa jambo litazaa taifa lenye uwasi. Mtu muwasi sio wakucheka nae wala lushikana mkono. Yale yanatokea sasa sio siasa safi ni siasa za mataifa kama burundi, sudani kusini au kongo. Sisi sio taifa lakusikia watu wanambeza Rais nakuwasifia. Baba wa uwasi ndani ya taifa hili tunamjuwa walimtukana Mh Kikwete hana maamuzi magumu yeye alicheka ila mwisho walilia wao. Mnyika alimuita Mh Kikwete dhaifu nadhani hajawahi sema nini kilimkuta ila siri yake.

Rais wa sasa haangalii makunyanzi wala hana chai na juice ikulu kwa ajili ya waasi yeye hapa kazi sasa mmejeuka kumuita dikteta. Nadhani chadema wanafikiri ili yaifa wao tu ndio wanajuwa sana siri za nchi. Kwangu mim ni tarehe 1.09.2016 ndio mtajuwa rais ni dkteta uchwara au vipi na ndio maana vijana mnashauriwa kwa upendo msijiusishe nao.
Kauli ya rais haina kurudi nyuma itatekelezwa na mtasaidia watu kupanda vyeo kiulaini.

Shime Rais wangu Magufuli walizowea sana.
kama hajaribiwi kweli mwambie sikuiyo na yeye awepo pamoja aungane na polisi kupiga watu virungu kuzuia hayo maandamano
 
Nimeamua kuandika hii mada usiku wa manane baada yakutafakari sana juu yakile chadema wanataka kukifanya na madhara yatakayo tokea kwa viongoz wa chama,vijana pamoja na chama. Nibora kuandika haya ili kwa wale wote wenye mapenzi mema na taifa hili kukemea nakuzuwia jambo lakijinga chadema wanataka kufanya.

Nibora kila mtu ajuwe kile Mh Rais alisema hajaribiwi nikweli alimanisha kutoka moyoni sio kwa kukurupuka ila ni baada yakukaa na kamati za ulinzi na usalama wa taifa nakushauri na mwisho kumpa neno lakusema. Kwahiyo tusipoteze muda eti kudhani kuna muujiza rais atabadili maneno kutoka uchungu kuwa matam ilo nawapa poleni.

Nilazima sote tujuwe kauli ya Rais ni amri isiyotenguliwa na mtu awaye yeyote au kupingwa kabla haijatekelezwa. Hapo inamanisha nini? Yani kama rais ameshatoa amri nilazima kwanza itekelezwe na ndipo uijadili. Ina maana Ras amesha sema hakuna maandamano na wewe uka andamana ukipigwa risasi ukafa hatutokujadili kwa nini umekufa bali tutakuhesabu kama mvunja sheria au muhalifu mwingine na kwakuwa amri ya rais ni halili kufuwatana na mamlaka yake basi alie uwa anakuwa huru.

Nilazima tujuwe kunavimelea vya uwasi ndani ya taifa na vimelea hivi vikiachwa vitajeuka kuwa sugu visivyo sikia dawa jambo litazaa taifa lenye uwasi. Mtu muwasi sio wakucheka nae wala lushikana mkono. Yale yanatokea sasa sio siasa safi ni siasa za mataifa kama burundi, sudani kusini au kongo. Sisi sio taifa lakusikia watu wanambeza Rais nakuwasifia. Baba wa uwasi ndani ya taifa hili tunamjuwa walimtukana Mh Kikwete hana maamuzi magumu yeye alicheka ila mwisho walilia wao. Mnyika alimuita Mh Kikwete dhaifu nadhani hajawahi sema nini kilimkuta ila siri yake.

Rais wa sasa haangalii makunyanzi wala hana chai na juice ikulu kwa ajili ya waasi yeye hapa kazi sasa mmejeuka kumuita dikteta. Nadhani chadema wanafikiri ili yaifa wao tu ndio wanajuwa sana siri za nchi. Kwangu mim ni tarehe 1.09.2016 ndio mtajuwa rais ni dkteta uchwara au vipi na ndio maana vijana mnashauriwa kwa upendo msijiusishe nao.
Kauli ya rais haina kurudi nyuma itatekelezwa na mtasaidia watu kupanda vyeo kiulaini.

Shime Rais wangu Magufuli walizowea sana.
Je wakati wa utawala wa JK uliwahi kutetea utawala wake kwa kuandika hoja kama hii ukiwa mtetezi wa Jamhuri au ni swala la unafiki tu uliotukuka.....je siasa unazoziona TZ vipi hazifanani na zile za Uganda na Rwanda pia. Nakukumbusha JPM si mnafiki na hapendi wanafiki ktk serikali aslani[emoji120] [emoji120] .
 
Huyu mleta mada ni aina ya MACOMBI na ni product ya elimu yetu dini.
1. Anamuona Rais kama Mungu fulani asiyeweza kukosea kibinadamu. U Rais ni cheo cha kutumia hekima zaidi ya vitisho. Na wale maraisi wote waliogeuka vitisho kwa watu wao hakuna hata moja duniani aliemaliza vizuri HAKUNA.

2. Pili mtoa mada uelewa wake mdogo wa kuwaona wapinzani sawa na waasi. Uasi hauko kikatiba lakini upinzani upo kikatiba. Na ni Katiba hiyo hiyo iliyotumika kumuapisha Rais ndiyo iliyoainisha majukumu ya wapinzani ki Taifa.
Na upinzani ni afya kitaifa ili tuongozane vizuri siyo zidumu fikra za mtu fulani.

Mleta mada kutumia jeshi lolote (Polisi, Jw, Tiss, Jkt etc) dhidi ya raia ndio itakayosababisha huo uasi. Haya majeshi yatulinde dhidi ya Adui hasa wa nje na yatakuwa ya kujivunia lakini yasitumike dhidi ya raia wazalendo wa nchi hii kisa tu si wafuasi wa CCM.

4. Mleta mada ungekuwa fair kumshauri mkuu akawaacha wapinzani wakafanya kazi zao za kikatiba kuanzia bungeni mpaka uraiani. Si kunyamazisha watu.

5. Mwisho usiiangalie upinzani kwa maana ya Lowassa, Mbowe na Seif !!! HEBU ANGALIA KURA ZILIZOIKATAA CCM NI NGAPI NDIYO UJUE WAPINZANI NI WATZ WENYEWE. tuheshimiane na tuongozane vizuri tu
 
Back
Top Bottom