Agiza filamu uletewe hadi nyumbani

Agiza filamu uletewe hadi nyumbani

luswaguty

Member
Joined
Oct 13, 2017
Posts
86
Reaction score
29
DMD

Agiza movies nikuletee mpaka katika makaz yako
BEI HIZI PAMOJA NA USAFIRI
Nahusika na movies za KIBONGO ORIGINAL. @ 6000/=
" " KIZUNGU ORIGINAL @4500/=
 
Mmm hata uniletee bure siwezi angalia bongo movie. Izo za kizungu zimejaaa kwenye torrent bundle la buku jelo nadownload movie zangu mbili.

Tafta fursa nyingine mkuu
 
4500? Bando LA 1500 Si na download mamovies kibao acha utani wewe angalia mwenyewe au peleka mlimani city ila Wa geto hatutakagi kwa Hiyo bei
 
DMD

Agiza movies nikuletee mpaka katika makaz yako
BEI HIZI PAMOJA NA USAFIRI
Nahusika na movies za KIBONGO ORIGINAL. @ 6000/=
" " KIZUNGU ORIGINAL @4500/=
Utani huu mkuu, yaani movie ya kibongo ninunue kwa 6000 wakati ya kizungu 4500?? Maigizo yanathamani kubwa kuliko zile za ukweli??
Hapana mkuu vinginevyo labda kama unajoke....
 
The last man standing at Lang mei....naitAfta sana
 
Mmm hata uniletee bure siwezi angalia bongo movie. Izo za kizungu zimejaaa kwenye torrent bundle la buku jelo nadownload movie zangu mbili.

Tafta fursa nyingine mkuu
umempa makavu live
 
DMD

Agiza movies nikuletee mpaka katika makaz yako
BEI HIZI PAMOJA NA USAFIRI
Nahusika na movies za KIBONGO ORIGINAL. @ 6000/=
" " KIZUNGU ORIGINAL @4500/=
Unataka kuibia watu sasa Movie za kizungu na series za kizungu njoo hapa download bure bandle lako tu achana neni na huyu na njaa zake.. httpp://www.directseries.net utapakua hadi uchoke!
 
Back
Top Bottom