Aghakan vs chadem

Aghakan vs chadem

Congo

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2008
Posts
2,079
Reaction score
2,333
Mie najiuliza kama serikali yetu sikivu inaweza kuwasilikilza Hospitali ya Aghakan/NHIF, wamachinga wa Kariakoo/TRA inashindwaje kuwasikiliza chadema? Ingewaacha hakuna mtu angejua kuna tukio la chadema Mbeya. Tumuimbe Rais wetu awe anaingilia mapema matukio yanayorudisha 4R zake.
 
Kutekeleza 4Rs kwenye makaratasi na mdomoni ni rahisi, ila kwenye uhalisia ni ngumu hasa ukiona upinzani wanazidi kusepa na kijiji.
 
Back
Top Bottom