Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,079
- 2,333
Mie najiuliza kama serikali yetu sikivu inaweza kuwasilikilza Hospitali ya Aghakan/NHIF, wamachinga wa Kariakoo/TRA inashindwaje kuwasikiliza chadema? Ingewaacha hakuna mtu angejua kuna tukio la chadema Mbeya. Tumuimbe Rais wetu awe anaingilia mapema matukio yanayorudisha 4R zake.