Agents wa CIA walichotuzidi ni msimamo tu

Agents wa CIA walichotuzidi ni msimamo tu

Ian_

Member
Joined
Dec 1, 2019
Posts
7
Reaction score
6
Habari za kutwa wana Jf, yawezekana wewe Kama watu wengine wengi umekuwa ukitazama Hollywood movies za agents mbalimbali wa CIA, na ulivutiwa na uwezo wao wa kufikiri kutenda na ku "imagine" ,ukuiishia hapo Kila unapokaa kwenye kijiwe(Nina Imani baada ya kazi) pale ambapo mada kuhusu uwezo wa kiintelejensia za ughaibuni, umekuwa kinara wa kusema "weee marekani watu wabaya,wanaweza waka 'calculate' hadi speed ya mharifu" .Si wewe tu hata mini nimezisikia na mwisho nikazipuuzia..


#Sababu ya kuzipuuzia

Kwa nchi za ughaibuni especially U.S, mashirika ya kijasusi yanafanya kazi bila kuingiliwa na siasa, mahaba yaliyopitiliza na political infatuation.

Ni kwamba mashirika haya mfumo wake wa ufanyaji kazi ni wa siri mno. Hata ikitokea either mtu baki au ofisa akajaribu kufukunyua fukunyua mambo yao, basi kifo chake Kiko peupe. Ingawa Sina uhakika (<50%), inasadikika Raisi wa marekani Kennedy aliuawa na majasusi wa CIA na kituko ni kwamba mtu aliyemuua aliachiwa hivi karibuni akidaiwa kuwa na matatizo ya akili.

Kutokana na misimamo ya Agents wa CIA, shirika hilo limekuwa likiogopwa sana. Kama na sisi technologically tungekuwa tume advance na kuacha kuwa na Political infatuation, majasusi wangekuwa na misimamo ama kweli tungefana.🤛🎩
 
Habari za kutwa wana Jf, yawezekana wewe Kama watu wengine wengi umekuwa ukitazama Hollywood movies za agents mbalimbali wa CIA, na ulivutiwa na uwezo wao wa kufikiri kutenda na ku "imagine" ,ukuiishia hapo Kila unapokaa kwenye kijiwe(Nina Imani baada ya kazi) pale ambapo mada kuhusu uwezo wa kiintelejensia za ughaibuni, umekuwa kinara wa kusema "weee marekani watu wabaya,wanaweza waka 'calculate' hadi speed ya mharifu" .Si wewe tu hata mini nimezisikia na mwisho nikazipuuzia..


#Sababu ya kuzipuuzia

Kwa nchi za ughaibuni especially U.S, mashirika ya kijasusi yanafanya kazi bila kuingiliwa na siasa, mahaba yaliyopitiliza na political infatuation.

Ni kwamba mashirika haya mfumo wake wa ufanyaji kazi ni wa siri mno. Hata ikitokea either mtu baki au ofisa akajaribu kufukunyua fukunyua mambo yao, basi kifo chake Kiko peupe. Ingawa Sina uhakika (<50%), inasadikika Raisi wa marekani Kennedy aliuawa na majasusi wa CIA na kituko ni kwamba mtu aliyemuua aliachiwa hivi karibuni akidaiwa kuwa na matatizo ya akili.

Kutokana na misimamo ya Agents wa CIA, shirika hilo limekuwa likiogopwa sana. Kama na sisi technologically tungekuwa tume advance na kuacha kuwa na Political infatuation, majasusi wangekuwa na misimamo ama kweli tungefana.🤛🎩
UBORA WA UJASUSI UNAENDANA NA UBORA WA TEKNOLOJIA, UKWELI MCHUNGU NI KUWA TUKO KATIKA TECHNOLOGICAL ERA, MAMBO MENGI YANAIMARISHWA NA KUBOMOLEWA NA SAYANSI, SIKU HIZI HAKUNA MAMBO YA KUMDUKUA ADUI KWA KUTUMIA WATU WENGI KAMA ZAMANI, NOWDAYS NI MWENDO WA RANSOMWARE, DRONES, TAYARI TAARIFA USHAINYAKA, HAKUNA KINACHOIGIZWA KIKAWA KIMETOKA KWENYE HAMNA, SWALI LA KAWAIDA TU KATIKA ZILE MOVIE ZA HOLLYWOOD KILA MARA ADUI MKUBWA WA INTELIJENSIA KWA MAREKANI NI URUSI, KWANINI ISIWE KENYA?? UGANDA AU ZAMBIA?? UKWELI MCHUNGU NI KUWA BORA HUFAHAMU BORA, NA UKIZUNGUMZIA MSIMAMO MBONA KUNA SVR NI DOUBLE AGENTS NA CIA NI DOUBLE AGENTS?? MSIMAMO UPI UNAZUNGUMZIA?? HIVYO VYOTE VINA LEAK KUTOKANA NA UWEZO WA TECHNOLOGY, KINGINE NI KUWA MIFUMO YAO HUINGILIWA NA SIASA PIA, ILA SIASA ZENYW MASLAHI YA TAIFA ZAIDI NA SI BINAFSI AU KI CHAMA.
 
Ujasusi ni kuwa na akili kubwa tu. Hivyo ukitaka kuwa na chombo imara cha kulinda maslahi ya nchi na siyo ya mtu lazima u-recruit watu wenye akili kubwa kuliko na watu hao kuwa na kiu ya kujifunza jambo jipya kila siku ili kupambana na mabadiliko katika mazingira ya ndani na nje ya nchi.
 
Hakuna kitu huharibu Utendaji wa taasisi nyeti za usalama kama kuingiliana na siasa mwisho wa siku vinakuwa havina msaada kwa taifa zaidi ya kuwalinda wanasiasa wahalifu.
 
Usijidanfanye, hata hao CIA wana bosi wao ambao wewe hinhing na ndiye anayeamua, hivyo acha kujidanganya hata waliomuua Kennedy ni bankers ambao wana ajenda zao pia.
 
Lord Mkemia,
-CIA inaajiri watu smart/ yani akili zako ziwezekufanya kazi zaidi ya unavofikiri
-CIA inatumia teknolojia ya kisasa kabisa maana mission zao ni za ndani na nje ya mpika ya nchi yao
Taasisi zetu pia zina uwezo wa kufika walipofika wenzetu lakini itachukua muda mrefu sana kuwa kama CIA
 
Hawa wakwetu tunapiga nao mbege huku kitaa unataka wafanane na CIA acha utani mzee
CIA wapo kila mahalo wanaongea kila lugha duniani pamoja na Mambo mengine hizo balozi za wamarekani dunia nzima kazi yao Ni ku recruit na kuratiba baadhi ya mipango. Kuna CIA wakisomali,Kuna CIA wakikorea Kuna CIA wa kitanzania. Wana recruit kulingana na mahitaji. Unaweza kuchukuliwa hapa Dar kwenda kusoma Ujerumani udakitari au uhandisi ukapewa training zote badae ukatumika vilivyo Kama agent sehemu yoyote ambayo utafit utapelekwa kwa special mission
 
Back
Top Bottom