Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,155
- 30,832
Je,
wametambua na kujiridhisha kwamba nonsense agenda ya no reform no elections haikiki, haiuziki, haieleweki wala kutekelezeka na wananchi wanaipuuza?
Au wamebaini kua mwenyekiti wao Taifa kusota korokoroni kwasababu ya uropokaji unaokiuka sheria ni agenda isiyo na mashiko, haibambi na wananchi hata hawataki habari ya upotoshaji zaidi kutoka kwa viongozi wa CHADEMA wanaozurura tu maeneo mbalimbali nchini wakiomba kuchangiwa pesa za kujikimu kwasababu hawana ajira?
Au habari za g55 ndio zinawavutia wananchi wengi zaidi mikutanoni na hivyo uongozi wa CHADEMA Taifa imeonelea kuifanya g55 kua agenda kuu ya mikutano yao ili hatimae hata wakipitisha bakuli kuomba kuchangiwa pesa au chochote kitu, basi walau wapate hata hata elfu90 au laki, maana kwa muda mrefu sasa wanachezea elfu 40 au 50 tu na wao wako wengi, wakigawana elfu tano tano hela yote inakua imeisha.
Kwa maoni yako kisiasa,
unadhani kwanini uongozi wa CHADEMA Taifa umechagua uamuzi na uelekeo wa g55 kama ndio agenda yao kuu kwa sasa na kuziweka pembeni agenda zingine?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
wametambua na kujiridhisha kwamba nonsense agenda ya no reform no elections haikiki, haiuziki, haieleweki wala kutekelezeka na wananchi wanaipuuza?
Au wamebaini kua mwenyekiti wao Taifa kusota korokoroni kwasababu ya uropokaji unaokiuka sheria ni agenda isiyo na mashiko, haibambi na wananchi hata hawataki habari ya upotoshaji zaidi kutoka kwa viongozi wa CHADEMA wanaozurura tu maeneo mbalimbali nchini wakiomba kuchangiwa pesa za kujikimu kwasababu hawana ajira?
Au habari za g55 ndio zinawavutia wananchi wengi zaidi mikutanoni na hivyo uongozi wa CHADEMA Taifa imeonelea kuifanya g55 kua agenda kuu ya mikutano yao ili hatimae hata wakipitisha bakuli kuomba kuchangiwa pesa au chochote kitu, basi walau wapate hata hata elfu90 au laki, maana kwa muda mrefu sasa wanachezea elfu 40 au 50 tu na wao wako wengi, wakigawana elfu tano tano hela yote inakua imeisha.
Kwa maoni yako kisiasa,
unadhani kwanini uongozi wa CHADEMA Taifa umechagua uamuzi na uelekeo wa g55 kama ndio agenda yao kuu kwa sasa na kuziweka pembeni agenda zingine?🐒
Mungu Ibariki Tanzania