J jodah Member Joined Jan 20, 2013 Posts 5 Reaction score 0 Apr 5, 2013 #1 naomba kama kuna m2 anajua mwanamke ambaye siku zake za kupata hedhi zinabadilika badilika anaweza kupata mimba siku zipi?
naomba kama kuna m2 anajua mwanamke ambaye siku zake za kupata hedhi zinabadilika badilika anaweza kupata mimba siku zipi?
Ukitaka Ubaya... JF-Expert Member Joined Mar 16, 2013 Posts 498 Reaction score 140 Apr 5, 2013 #2 jodah said: naomba kama kuna m2 anajua mwanamke ambaye siku zake za kupata hedhi zinabadilika badilika anaweza kupata mimba siku zipi? Click to expand... https://www.jamiiforums.com/member.php?u=120588 Mkuu mada hii ungeiweka JF Doctor ungepata majibu ya uhakika.
jodah said: naomba kama kuna m2 anajua mwanamke ambaye siku zake za kupata hedhi zinabadilika badilika anaweza kupata mimba siku zipi? Click to expand... https://www.jamiiforums.com/member.php?u=120588 Mkuu mada hii ungeiweka JF Doctor ungepata majibu ya uhakika.
MOn'goO JF-Expert Member Joined Jul 23, 2012 Posts 333 Reaction score 129 Apr 5, 2013 #3 Gegedwa tuu kila siku mwenzi mzima....
D da val New Member Joined Jan 11, 2013 Posts 1 Reaction score 0 Apr 5, 2013 #4 uwezekano ni siku yoyote kati ya siku ya 7 baada ya kuanza hedhi mpaka ya 20... Baada ya siku ya ishirini hapati mimba..
uwezekano ni siku yoyote kati ya siku ya 7 baada ya kuanza hedhi mpaka ya 20... Baada ya siku ya ishirini hapati mimba..