Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,741
- 218,330
Kama tulivyosema awali , kwamba leo tarehe 25//02/2023 Kwenye Kanda ya Nyasa inapigwa mikutano miwili mikubwa ya hadhara mmoja wa asubuhi wa Mbozi tayari umevurumishwa ambako wananchi wamepewa Elimu ya kutosha mno .
Sasa Msafara unaelekea Mbeya Mjini .
Pichani ni wananchi wa Mbarizi wakiwa wamefurika barabarani wakimsubiri Freeman Mbowe na Viongozi wenzake .
Mkutano huu Mkubwa sana wa hadhara utakaofanyika Mbeya Mjini ni Muhimu kuliko unavyodhani , hapa ndipo yanapokwenda kufumuliwa madudu yote yaliyofanywa na Tume ya Uchaguzi , Usalama wa Taifa , Polisi na Tulia Ackson uchaguzi wa 2020 .
Taarifa zinaonyesha kwamba kwenye kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 , kura zilizopigwa na wananchi hazikutumika kupata washindi , zoezi la kupiga kura lilikuwa geresha tu , bali wagombea wa ccm walishaandikwa wameshinda hata kabla uchaguzi haujaisha , mipango yote iliisha saa 7 mchana , ilisubiriwa usiku uingie ili washindi watangazwe tu kwa lengo la kuwapumbaza wananchi ili wajue kura walizopiga zilihesabiwa .
Sasa uchafu wote huu na wahusika wote wa uchafu huu akiwemo OCD na RPC , pamoja na DED mhusika wanaenda kuanikwa bila huruma ili wananchi wachukue wenyewe hatua watakazoona zinafaa , nadhani yale ya jana Tunduma hamjayasahau .
Mimi Erythrocyte mtumishi wenu nitakuleteeni yote yatakayojiri , pamoja na Spana zote .
Usiondoke JF
=========
Licha ya Mvua kubwa kunyesha lakini haikuzuia wapenda mabadiliko kujitokeza kwa Maelfu
Hivi ni viwanja vya Nzovwe
View attachment 2529705View attachment 2529707
Sasa Msafara unaelekea Mbeya Mjini .
Pichani ni wananchi wa Mbarizi wakiwa wamefurika barabarani wakimsubiri Freeman Mbowe na Viongozi wenzake .
Mkutano huu Mkubwa sana wa hadhara utakaofanyika Mbeya Mjini ni Muhimu kuliko unavyodhani , hapa ndipo yanapokwenda kufumuliwa madudu yote yaliyofanywa na Tume ya Uchaguzi , Usalama wa Taifa , Polisi na Tulia Ackson uchaguzi wa 2020 .
Taarifa zinaonyesha kwamba kwenye kilichoitwa uchaguzi mkuu wa 2020 , kura zilizopigwa na wananchi hazikutumika kupata washindi , zoezi la kupiga kura lilikuwa geresha tu , bali wagombea wa ccm walishaandikwa wameshinda hata kabla uchaguzi haujaisha , mipango yote iliisha saa 7 mchana , ilisubiriwa usiku uingie ili washindi watangazwe tu kwa lengo la kuwapumbaza wananchi ili wajue kura walizopiga zilihesabiwa .
Sasa uchafu wote huu na wahusika wote wa uchafu huu akiwemo OCD na RPC , pamoja na DED mhusika wanaenda kuanikwa bila huruma ili wananchi wachukue wenyewe hatua watakazoona zinafaa , nadhani yale ya jana Tunduma hamjayasahau .
Mimi Erythrocyte mtumishi wenu nitakuleteeni yote yatakayojiri , pamoja na Spana zote .
Usiondoke JF
=========
Licha ya Mvua kubwa kunyesha lakini haikuzuia wapenda mabadiliko kujitokeza kwa Maelfu
Hivi ni viwanja vya Nzovwe
View attachment 2529705View attachment 2529707