Hata mimi niliwaza hilo. Kama biashara zake ziko halali.Kweli bila shaka honeymoon ilikua threesome. Hela zikiisha wataendeleza huo ushoga hao wanawake?
Hata mimi niliwaza hilo. Kama biashara zake ziko halali.Kweli bila shaka honeymoon ilikua threesome. Hela zikiisha wataendeleza huo ushoga hao wanawake?
Wewe naye ni mfuata mali.Labda hati ya nyumba ziwe jina langu nitakaa kwenye ndoa ya wawili
Hata huyu mwenye wake wawili...bado atachepuka.jamaa hakuwa mnafiki ameonesha uhalisia wake kwa kuhalalisha, ni wanaume wangapi waliomo kwenye ndoa wanamichepuko kibao kwa kuibia ibia bila uhuru?