Afunga Ndoa na Mbwa.

uyo akisema mbele yangu namchoma na gunia 5 za mkaa


Kam wanaakili ni 5%

Wasio na akili 95%

Maana sijui wanaumwa vinini Mara watoe mimba & wauwe watt n.k
Mama yako yuko kwenye asilimia ngapi 5 au 95?
 
Duuh! watetezi wa haya mambo toka ufipa mkowapi???

Baada ya kutembea na hao 221, nilitegemea atayefuata ni Punda au farasi, ila kwa mbwa bado kachemka.
 
Hapo sii ndoa bali msaada wa kisheria kwa huyo jimama kumbaka mbwa.
Mbwa hawezi kuongea wala kujibu swali achilia mbali hata kujua kama kaulizwa swali hajui.
 
KILA MTU NA MAAMUZI YAKE, KWA HIYO DOG DOG NDIO ATAKUWA FAZA HAUSI DAAAH
Kama utitiri huo wa 200 na ushei hawakumkuna penyewe nani angeweza? Labda aingiapo ktk 6*6 inamchukua masaa 6 binadamu gani mwenye muda huo wakutosheleza asiyetosheka?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…