Niwemugizi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2012
- 902
- 462
Dunia bwana ina mambo mengi sana na hasa Wamarekani usiwachezee, wanakutumia then wakimaliza wanakudump tu unakuwa kama kondomu baada ya kutumika haina thamani tena. Huyu General Bosco Ntaganda na ndugu yake General Laurent Nkundabatware ambao wote ni watusi wa Kinyarwanda wameisumbua sana DRC wameua, wamebaka na kutumikisha watoto wadogo kwenye vita vya msituni. Ndugu yangu ukiangalia documentary inayohusu hawa ndugu wakiwa wanafanya unyama utatokwa na machozi.Documentary hiyo inaitwa Blood Coltan.
Sasa Bosco Ntaganda tayari anatakiwa ICC who is next, my guess goes direct to Laurent Nkundabatware, then the last will be President Kagame maana dume mara nyingi huwa linapelekwa machinjioni siku ya mwisho.Nasema hivo maana bila Rwanda kuingilia DRC amani ingekuwa bado inatawala
Sasa Bosco Ntaganda tayari anatakiwa ICC who is next, my guess goes direct to Laurent Nkundabatware, then the last will be President Kagame maana dume mara nyingi huwa linapelekwa machinjioni siku ya mwisho.Nasema hivo maana bila Rwanda kuingilia DRC amani ingekuwa bado inatawala