Hatuna uthubutu huo, zaidi tunautanguliza uoga na ubinafsi
Watu wenye mitazamo huru wananafasi ya kufanya vizuri katika mengi watakayo fanya.Kweli boss. Ila Kikwete alithubutu kusema ninaumwa tezi dume
Kikwete alinifanya nijivunie Utanzania wanguKweli boss. Ila Kikwete alithubutu kusema ninaumwa tezi dume
Wakati huo wengine wanachungulia fursa zitakazo wezekana faster faster.Nchi zetu za kiafrica kiongozi akiumwa anafichwa mpaka kifo kinakuja kumuumbua.
Hiyo inatokana na kujiamini kuwa ulichaguliwa kihalali na wnanchi.
Ndiyo maana kila kukicha utasikia wanaimba nyimbi za ugaidi kumbe ni kichaka cha kuficha madhaifu yao ya waliingije pale walipo.Hatuna uthubutu huo, zaidi tunautanguliza uoga na ubinafsi
Kutangaza ugonjwa wako inahitaji moyo na kujiamini.Kweli boss. Ila Kikwete alithubutu kusema ninaumwa tezi dume