HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 607
- 553
Habarini,
Jambo hili la watu wa familia moja yaani baba mmoja na mama mmoja kuabudu madhemu tofauti uislam i.e suni na shiha na ukristu i.e. Sabato, RC, FPCT, Anglikana, nk. Haliniingii akilini naona kama ni ukichaaa kabisa.
Nyie wenzangu mnalionaje hili kwani mimi naona ni ujinga uliopitiliza familia moja kumtafuta Mungu mmoja kupitia madhehebu tofauti wakati wote ni damu moja.
Tutafakari Waafrika tunaoteza muda!!
Jambo hili la watu wa familia moja yaani baba mmoja na mama mmoja kuabudu madhemu tofauti uislam i.e suni na shiha na ukristu i.e. Sabato, RC, FPCT, Anglikana, nk. Haliniingii akilini naona kama ni ukichaaa kabisa.
Nyie wenzangu mnalionaje hili kwani mimi naona ni ujinga uliopitiliza familia moja kumtafuta Mungu mmoja kupitia madhehebu tofauti wakati wote ni damu moja.
Tutafakari Waafrika tunaoteza muda!!