wazanaki
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 1,092
- 804
Wakuu wakuu turudi kwenye mada zetu za msingi. Japokua sisi ni sauti zisizosikika au wenda zikawa zinasikika kwa mbali sana kwa sababu hatuko kwenye nafasi za power(nguvu). Lakini siku moja zitasikika.
Wakuu, tunatambua kwamba mababu zetu walichapwa viboko na kuteswa na wakoloni na wakalimishwa na kufanyishwa kazi za fedheha. Inauma sana kwa mtu yeyote mwenye akili timamu na ambae hajanunuliwa na mabeberu.
Wakuu kitu kikubwa kilichoangusha bara la afrika wakati tunavamiwa na hawa Caucasians, ni kukosa silaha zilizokua zinaendana kiuwezo na silaha zao na pili ni kukosa umoja.
Kwa hiyo, silaha na umoja ndo tatizo lililodumu mpaka sasa. Waafrika tunajiona tuko free lakini hatujui hata freedom ina radha gani. Imagine sisi tunakua wananchi wa class 2 kwenye nchi yetu wenyewe wakati wazungu wakimiliki ardhi na taasisi kibao ndani ya nchi nyingi za kiafrika.
Wazo:
1. Kwanin waafrika tusiwekeze katika usalama wa bara letu kwa maana ya kuboresha silaha kali zinazoendana na mataifa yanayojiita first world. Maana sa hv tukibishana tu kidogo tunatishiwa.
2. Kwanini tusiwekeze kwenye kubuni elimu itakayomfit mtoto wa kiafrika kwa maslahi yake na kumpa ujasiri. Ikiwa ni pamoja na kubadilisha syllubus mashuleni na kuja na elimu ambayo ni afro centric.
3. Kwanini tusiwe na umoja kwa ajili ya kutengeneza powerful nation kama european au china.
Ni mtazamo tu wakuu. Mimi sio mwanaharakati kwa hiyo msinichukia kwa wale ambao ni pro europian. Najua kuna watu humu wana defend europe kuliko hata wa europe wenyewe. Samahani black europeans. Ni mtazamo tu.
Wakuu, tunatambua kwamba mababu zetu walichapwa viboko na kuteswa na wakoloni na wakalimishwa na kufanyishwa kazi za fedheha. Inauma sana kwa mtu yeyote mwenye akili timamu na ambae hajanunuliwa na mabeberu.
Wakuu kitu kikubwa kilichoangusha bara la afrika wakati tunavamiwa na hawa Caucasians, ni kukosa silaha zilizokua zinaendana kiuwezo na silaha zao na pili ni kukosa umoja.
Kwa hiyo, silaha na umoja ndo tatizo lililodumu mpaka sasa. Waafrika tunajiona tuko free lakini hatujui hata freedom ina radha gani. Imagine sisi tunakua wananchi wa class 2 kwenye nchi yetu wenyewe wakati wazungu wakimiliki ardhi na taasisi kibao ndani ya nchi nyingi za kiafrika.
Wazo:
1. Kwanin waafrika tusiwekeze katika usalama wa bara letu kwa maana ya kuboresha silaha kali zinazoendana na mataifa yanayojiita first world. Maana sa hv tukibishana tu kidogo tunatishiwa.
2. Kwanini tusiwekeze kwenye kubuni elimu itakayomfit mtoto wa kiafrika kwa maslahi yake na kumpa ujasiri. Ikiwa ni pamoja na kubadilisha syllubus mashuleni na kuja na elimu ambayo ni afro centric.
3. Kwanini tusiwe na umoja kwa ajili ya kutengeneza powerful nation kama european au china.
Ni mtazamo tu wakuu. Mimi sio mwanaharakati kwa hiyo msinichukia kwa wale ambao ni pro europian. Najua kuna watu humu wana defend europe kuliko hata wa europe wenyewe. Samahani black europeans. Ni mtazamo tu.