Kabla hao wazungu hawajaja rasilimali mlizifanyia nini? Waarabu walikuwepo karne nyingi kabla ya Wakristo kuja kulikuwa na maendeleo gani?
Nyie mliokremsha "dini zimekuja na meli" ni
viazi. Please be offended.
Unafikiri kutokuamini Mungu / Yesu ndo akili, you're the epitome of FOOLISHNESS! ! You think you're so smart, but truly truly i tell you, you're just a potato.
Hao waliokuja kuwafundisha kusoma, kuandika, kuwajengea mahospitali walisukumwa na hiyo hiyo imani unayoikandia.
Wafuata rasilimali walikuwa hawana time na kufundisha mtoto wa mtu, sana sana ni kuwabeba kama mifugo na kuwatumikisha.
Ni hao waliopanda meli na kusafiri masafa ili watangaze imani yao ndio waliowaokoa mababu zenu waliokuwa wanaonwa kama manyani na hao wafuata rasilimali. Watesaji wakaambiwa No! Stop! They're made in the image of God! They're our brothers!
(Kina John Newton, William Wilberforce etc)
Tumia hayo maendeleo ya mzungu unayoyahusudu kutafuta taarifa, so far ni ujinga imejaa kwa kichwa.
A man named JESUS walked on earth, Did great miracles, Was killed, He was back to life on the third day! His followers died terrible deaths for simply refusing to deny this fact. Who dies for a lie? ? Almost two thousand years later, you see his billions of followers travelling across oceans announcing this fact, and dying for this fact.
DO WITH THIS INFORMATION WHAT YOU WILL.
BTW,
Ukristo ulikuwepo Afrika (kaskazini) kabla ya kufika Ulaya, kutokea Ulaya ndipo ulisambazwa kwa kasi kupitia bahari.
i) Ukristo ulitangazwa kuwa dini rasmi ya
milki ya Ethiopia karne ya Nne (300AD)
ii) Biblia tangu karne karne ya kwanza iliandika kuhusua
towashi kutoka Ethiopia, myahudi aliyekuwa akitimiza wajibu wake kwenda Yerusalemu kwa ajili ya siku kuu, huko akapata habari kuwa huyu uliyekuwa unamsoma kwenye vitabu vya manabii amekwishafika, ndiye YESU! Towashi akarudi Ethiopia akiwa Mkristo. (Matendo 8:27 - 39). Kwahiyo hata wayahudi walikuwepo Afrika (kaskazini) tangu karne ya kwanza, hata kabla.
"Mabalozi watakuja kutoka Misri,
Waethiopia watamletea Mungu mali zao.
Enyi falme za dunia,
mwimbieni Mungu,
mwimbieni Bwana nyimbo za sifa;"
Zaburi.68.31-32.BHN
iii) Garima gospels in biblia ya zamani kuliko zote iliyopatikana ikiwa kamili (ni vatabu vyote vya injili vikiwa kamili, sio kipisi cha karatasi), iliandikwa miaka ya 300-600AD, ilipatikana huko Ethiopia kwenye nyumba ya watawa wa ki Orthodox.
Etc etc
Fact check your history. Don't overestimate yourself.
(Not debating)