wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Huko Afrika Kusini lori lililokuwa limebeba sampo za vipimo vya Virusi vya Corona ambalo lilikuwa limepaki maeneo ya packing za magari mengine wezi wameliiba hilo lori na kutokomea nalo kusikojulikana mpaka sasa
Polisi ya huki imetangaza kilichomo ndani ya lori hilo na wamesema hawalitafuti na hao wezi kwa taarifa yao wairudishe wenyewe bila kutaka bila hivyo watajua wenyewe.
Je, hao wezi watalirudisha?nini maoni yako?
Polisi ya huki imetangaza kilichomo ndani ya lori hilo na wamesema hawalitafuti na hao wezi kwa taarifa yao wairudishe wenyewe bila kutaka bila hivyo watajua wenyewe.
Je, hao wezi watalirudisha?nini maoni yako?