Kichwa cha habari hapo juu chahusika. Hii nchi mara baada ya kwisha ubaguzi wa rangi ilikuwa moto kwenye soka. Ilishiriki fainali za mataifa ya Africa na kombe la Dunia. Ilikuwa na wachezaji nguli kama Siyabonga Nonvete, Mark Fish, Quintone Fortune na baba lao Lucas Radebe. Lakini siku hizi wamekuwa wa kawaida sana, hawana tofauti na sie. Ni chepi kimewasibu hawa ndugu zetu?