Afrika kuandika tena historia ya mrithi wa kiti kuangushwa na upinzani baada ya Rais aliyekuwa madarakani kufariki akiwa madarakani?

Mbona suala hilo lipo wazi sana. Serikali ya sasa ya flat chest, ya "msituzalie kina Hamza", ya " hamieni Burundi", ya chanjo feki, ya tozo, ya ugaidi wa kubumba, na kubwa zaidi ya uchafuzi mkuu, imeshajengq chuki kubwaa saana kiasi kwamba kutoboa 2025 ni muhari.
 
2025 ccm na police mbona wanapigika saa nne asubui.
Hadi sasa hawana mtu sahihi wa kuwavusha watz
 
Mama anapwaya sana, amevaa viatu vikubwa sana visivyomtosha; ila upinzani unapwaya zaidi kwani hauna viatu kabisa. Kwa hiyo sioni kama mama atakuwa na ugumu wowote wa kushinda pamoja kupwaya kwake! Ila iwapo mama angekumbana na upinzani kama wa 1995 au wa 2010 angeangukia pua!
 
Tanzania pia, Rais aliyekuwepo alifariki akiwa madarakani, hivyo kupelekea makamu wake kuongoza nchi akiwa ndiye Rais kwa mujibu wa katiba.

Swali ni he! Historia itaendelea kuandikwa Africa kama ilivyokwisha tokea kwa mataifa wenzetu au context ya Tanzania ni tofauti kabisa na hao, au tusubiri wakati ufike..!!??

Karibuni.
Mkuu Environmental Security , kwanza nikupongeze kwa mada hii fikirishi, JF ilivyoanzishwa ndio ilikuwa imelenga watu wa type yako, wanaojua kujenga hoja.

Nimependa sana mtiririko wako kwa kwanza kwa kufanya research, ukaonyesha Trends za vifo vya marais madarakani na upinzani kuchukua nchi.

My honest opinion, the same case scΓ©nario would have applied to Tanzania come 2025, if Tanzania has a serious opposition, its very unfortunately, sisi Tanzania we don't have any serious opposition wa Watanzania kuikabidhi nchi yetu hiyo 2025, unless kama ZZK ataiona hii fursa and get serious, 2025 ni CCM tena na ni Samia.

Ile hoja yangu hii
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. still stands.

Kwa katiba hii iliyopo, na kwa sheria yetu hii ya uchaguzi na kwa Tume yetu hii "huru" ya uchaguzi, for sure CCM itatawala milele.
P
 
Jamani jamani tena nami nawambia Tanzania hakuna Chama Cha CCM,hicho Chama kilidisapia wakati wa Mwinyi na kilichopo sasa sio Chama ni genge linalotumia mwevuli wa hicho chama tajwa.
leo hii mnaona ni jinsi gani jamaa wanavyokuwa wakosa heshima,kila mmoja ana mdomo mrefu wa kuweza kumpiga dongo mwengine,kuna chama hapo ?

Tuseme ni watu au genge ambalo kila mmoja amebeba siri za mwenzake, wabunge wote wanajua walivyoingizwa gengeni aka bungeni.

Hivi atokee mmoja aseme mimi nilishindishwa uchaguzi sio kwa kupigiwa kura na wananchi bali kilifanywa hiki na kile na kumwaga mchuzi wote, yaani wanaogopana sana na anaetolewa sadaka ni yule asiweza mazonge , hivi mnategemea polisi wakosane na genge.

Hivyo ni kulindana tu ,hivi mnafikiria au mlitegemea Gwajima ataondolewa bungezi ,hizi ni drama tu zinaendelea mwisho wa siku,lakini yana mwisho.
 
Maswali mengine unauliza huku tayari ukiwa unajua jibu.

Huko kote ulikojitahidi kupaelezea, walikuwepo CCM?

Sasa ya nini upoteze muda mwingi kutafuta jibu lililo wazi.

Ukitaka kuilinganisha Tanzania na nchi hizo, ni lazima utafute njia za kuidhibiti CCM, vinginevyo unapoteza tu muda wako.

Uwepo wa CCM, maana yake ni kwamba hakuna uchaguzi wowote huru unaoweza kufanyika ndani ya nchi hii, na bila ya kuwepo haki kwenye uchaguzi, jibu sahihi ni kwamba CCM hawawezi kutoka madarakani waTanzania watake au wasitake. Maana ya hii ni kwamba, bila wananchi kukataa kura zao zisichezewe, ni CCM pekee ndio wanaoweza kutawala nchi hii. Hakuna wa kuwaondoa.

Hivi bado hujamsoma 'Maza Mizinguo'? Huoni kabisa kwamba amekwishaanza kampeni za kuendelea kuwepo madarakani, akiwa na uhakika huo kwa kujua kwamba mbinu zote zinazotumika miaka yote anazitumia. Angalia vizuri, kama hujamsoma kuhusu hilo.
Ujui chochote kuhusu kanuni ya asili ifanyavyo Kazi.Ccm itakufa 2025 kuwe na katiba mpya kusiwepo wananchi wakiikataa hawana pa kushika pili hawana mtu anaeuzika kwa watz.Hata magu bila police asipenya.
Ccm ilishakufa inapumua kwa nguvu ya police.
 
Ujui chochote kuhusu kanuni ya asili ifanyavyo Kazi.Ccm itakufa 2025 kuwe na katiba mpya kusiwepo wananchi wakiikataa hawana pa kushika pili hawana mtu anaeuzika kwa watz.Hata magu bila police asipenya.
Ccm ilishakufa inapumua kwa nguvu ya police.
Kama Magu alitumia polisi sasa kinashindikana nini na safari hii hao polisi kutumika tena? kipi kimebadilika hadi tutarajie matokeo matokeo tofauti?
 
Umesahau jambo moja. Katika nchi hizo uchaguzi ulikuwa huru na wa haki. Tanzania uchaguzi unaporwa na chama tawala, kwa hiyo hata wakishindwa watajitangaza wameshinda, na watu wakibisha watapigwa ili wakubali matokeo.
 
We ni mpumbavu,Tzn hii hakuna mpinzani wala mpuuzi yeyote wa kumshinda mama.

Sema unajifurahisha kwa ndoto zako.Sijawahi chagua maccm ila kwa Maza nitampa kura diwani na mbunge sitochagua yoyote.

Ukichagua mapinzani yakipata njaa yanageuka,kwa maccm mabunge hamna kitu.
 
Sawa mkuu uchamuzi wako ni mzuri na wapinzani kote Afrika wanapaswa kutembelea nyota hizo! Hata hivyo katika hizo nchi zote ulizozitaja wapinzani walishashida na kutawala chi hata kala ya vifo hivyo!
Wakati wa huo utawala wa wapinzani waliweka mazingira ya demokrasia katika hali nzuri, kwenye nyingi kati ya nchi hizo wana katiba nzuri, Hivyo polisi, vyomo vya dola a Tume zao za uchaguzi tayari vilishajitenga na siasa, lakini sio hapa kwetu amapo kuna vitu viaitwa polisisiem, Tumesisiem, wakurugezisisiem , Tissisiem na hivi vyote i mawakala wakuu waaoshirikiana kufa na kupona kuhakikisha CCM inashida kwa gharama yoyote!
 
Back
Top Bottom