Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,521
- 51,194
Serikali ya China imekanusha kuwa hakuna ubaguzi uliofanyika China dhidi ya waafrika, lakini kama mnavyojua serikali ya China ni mabingwa wa propaganda na uwongo. Video za kunyanyapaa waafrika zinazidi kurushwa na there is no way serikali ya China inaweza kukana kuwa haihusiki kwenye vitendo hivi vya kidhalimu, kinyama na roho mbaya ya kikatili ajabu.
Hapa chini binti wa kiafrika, asiye na madhara yoyote anazuiwa kuingia katika maduka kupata huduma, anazuiwa na walinzi wa kiume wa kichina at the same time anapita mzungu, wanamruhusu. Yule mzungu anajisikia vibaya, naye anaona hii siyo fair kabisa anaamua kuondoka.
Balozi Kairuki bado unawaaminisha Watanzania kuwa hakuna ubaguzi dhidi ya mwafrika huko China?
Tunaitaka serikali yetu ya Tanzania ichukue hatua kusaidia vijana wetu walioko huko, Ikibidi warudishwe nyumbani, Chuki ya wachina dhidi ya waafrika kwa mujibu wa clip hizi haina mfano, wanaweza kuwadhuru vijana wetu huko
HEBU TAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI:
Hapa chini binti wa kiafrika, asiye na madhara yoyote anazuiwa kuingia katika maduka kupata huduma, anazuiwa na walinzi wa kiume wa kichina at the same time anapita mzungu, wanamruhusu. Yule mzungu anajisikia vibaya, naye anaona hii siyo fair kabisa anaamua kuondoka.
Balozi Kairuki bado unawaaminisha Watanzania kuwa hakuna ubaguzi dhidi ya mwafrika huko China?
Tunaitaka serikali yetu ya Tanzania ichukue hatua kusaidia vijana wetu walioko huko, Ikibidi warudishwe nyumbani, Chuki ya wachina dhidi ya waafrika kwa mujibu wa clip hizi haina mfano, wanaweza kuwadhuru vijana wetu huko
HEBU TAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI: