Africa's Longest Serving leader Dead at 73

RIP..Kwa vyovyote vile, kama angelikuwa na nia njema na Gabon, asingeliweka mazingira ya kurithisha uongozi kwa mwanae.Kama mwanae ni competent, angeachia watu waamue.
Ukweli ni kuwa ubabe haulipi...baada ya kula good time kama kufa hakupo na kutojali hali za watu wake wagaboni, hatimaye mkono wa Israel umemnyemelea kitandani. Ulale mahali pema peponi.Ameni.
 
Habari mpya zinasema jamaa amegoma kufa. Waziri mkuu wa Gabon anasema jamaa yuko hai, naona hakubali kuachia urais.
 
Gabon president Omar Bongo dies, French media reports | World news | guardian.co.uk


Gabon president Omar Bongo dies, French media reports

Gabon prime minister denies reports that world's longest ruling head of state has died at 73
The world's longest ruling head of state, Omar Bongo, of Gabon, has died after 41 years in power, according to French media. The central African country's prime minister denied the reports.

Several French media outlets, including the France 24 TV station, reported yesterday that Bongo had died. Last month, Bongo was sent to a health clinic in Barcelona, Spain. While Gabonese officials claimed he was there for a checkup, Spain's foreign ministry said he was ill and was "in serious condition".

A ministry official said yesterday he could not deny or confirm reports of the president's death.

Gabon's prime minister, Jean Eyeghe Ndong, told national TV he had been "very surprised" to read the reports. "If such a situation comes about, I would think that the president's family would naturally get in touch with me," he said.

The minister of communication, Laure Olga Gondjout, told the Associated Press: "The prime minister has just gone on TV to deny the information put out by France 24.Ask France 24 to tell us when he died. We are telling you he is not dead."

France 24, as well as the news magazine Le Point and the French news agency Agence France-Presse, all reported Bongo's death, citing unnamed French government sources.

A French foreign ministry spokeswoman, Anne Boillon, said: "French authorities deny being the source of the news, about which they were not informed."

Bongo, 73, has been in power since 1967. When Cuba's Fidel Castro ceded power to his brother last year, Bongo became the world's longest ruling head of state.

According to Gabon's constitution, the head of the senate, Rose Francine Rogombe, would assume power and organise presidential elections within 90 days of Bongo's death.

Born Albert Bernard Bongo, the youngest of 12 children, Bongo served as a lieutenant in the French air force, then climbed quickly through the civil service and assumed the presidency in 1967, after Gabon's first post-independence leader died. Six years later he converted to Islam and took the name Omar.
 
...mbali na matatizo yake lakini atleast amejenga nchi yake kwa kiasi kikubwa sana kuliko nchi nyingi na hawakuwa na matatizo ya vita na wananchi wake sio maskini kama nchi nyingine za kiafrica....huwezi fananisha TZ na Gabon hata kidogo wako mbali sana kiuchumi!
 
hili jamaa sasa wanasema halijafa...sajabu limekufa halafu wanaficha ili wapate mrithi kwanza, nchi isichafuke
 
Gaboni ni nchi ndogo ya watu kama mil. 2 hivi na ina mafuta mengi sana! Ila rushwa ni ya kutisha! na wanaagiza kila kitu- hata nyama ya kuku toka Paris!
 
RIP. Pamoja na maombolezo hebu tujiulize legacy gani kaacha.

Source: BBC Monday, 20 January, 2003, 09:11 GMT
Profile: Gabon's 'president for life'

By Daniel Mboungou Mayengue
For BBC Focus on Africa Magazine
grey_pixel.gif
nothing.gif
Anyone who would like to know how to rule a country for decades should consult President Omar Bongo of Gabon.

As head of state for 35 years, he is outdone only by Togo's President Gnassingbe Eyadema in terms of longevity of leadership.
Not even Zaire's Mobutu Sese Seko and Malawi's Kamuzu Banda, who proclaimed themselves as presidents-for-life, ruled for so long.
Born Albert Bernard Bongo in 1935, he changed his name to El Hadj Omar Bongo when he converted to Islam in 1973.
He went to school in Brazzaville, and received military training in Chad. He is married and has more than 30 children - though not all of them with his wife.
Bongo's political career kicked off after he won the trust of the father of Gabon's independence, President Leon Mba. He was appointed the director in the president's office in 1962, when he was only 27 years old.
Military coup
During a military coup attempt in 1964, Mba was kidnapped and Bongo was held in custody in a military camp in Libreville. Both were rescued by French paratroopers. France, which has huge oil interests in Gabon, has always played a key role in the African country's stability.
That was the only coup attempt in Gabon's history. The renegade soldiers attempted to install a civilian, Jean Hilaire Obame, as president in order to legitimise their actions. He was in office for just two days, before being forced to return power to the Mba-Bongo alliance.
Having remained faithful to Mba when the military tried to seize power, Bongo was rewarded with the vice-presidency in 1967. When Mba died after a short illness in the same year, Bongo was the obvious successor.
Elections
He ruled over a one-party state for 16 years, until presidential elections were held in 1993 which he won.
However the poll was marred by allegations of rigging, with the opposition claming that chief rival, Father Paul Mba Abessole, was robbed of victory. Gabon found itself on the brink of a civil war, as the opposition staged violent demonstrations.
Determined to prove that he was not an autocrat who relied on brute force for his political survival, Bongo entered into talks with the opposition, negotiating what became known as the Paris Agreement in a successful attempt to restore calm.
When Bongo won the second presidential elections held in 1998, similar controversy raged over his victory. The president responded by meeting some of his critics to discuss revising legislation to guarantee free and fair elections.
The main opposition leader, Pierre Maboundou of the Gabonese People's Union, refused to attend the meetings, claiming that they were merely a ploy by Bongo to lure opposition leaders.
Maboundou called for a boycott of the legislative elections held in December, 2001, and his supporters burnt ballot boxes and papers in a polling station in his hometown of Ndende.
Unity
But despite threats from Bongo, Maboundou was never arrested. The president declared that a policy of forgiveness was his "best revenge".
After Bongo's Gabonese Democratic Party scored a landslide victory in the legislative elections, Bongo offered government posts to influential opposition members. Father Paul Mba Abessole accepted a ministerial post in the name of "convivial democracy".
This may have gone a long way to raise the level of unity in the country, but it has weakened the opposition. The next presidential election is due in 2005 and it seems unlikely that the splintered opposition will mount a strong challenge.
Now in his late 60s, Bongo is showing no signs of giving up. Having changed the constitution to allow a president to serve two seven-year terms, Bongo could be in office until 2012.
Charismatic
On the international stage, the Gabonese president has cultivated an image as a peacemaker, playing a pivotal role in attempts to solve the crises in the Central African Republic, Congo-Brazzaville, Burundi and the Democratic Republic of Congo.
In Gabon he is seen as a charismatic and straightforward figure. He is also popular amongst the Gabonese because his reign has guaranteed stability.
He regards the principle of keeping the youth happy as sacred.
Like a godfather, he uses his own money to solve the problems of those who call on him. In 2000 he put an end to a student strike by providing about $1.35m for the purchase of the computers and books they were demanding.
A full version of this article appears in the January-March 2003 issue of BBC Focus on Africa Magazine
 
Pamoja na porojo zote za media kuna ukweli ambao hatuwezi kuukataa. Huyu jamaa ni kiongozi aliyeiweka nchi yake katika nafasi nzuri sana kiuchumi. Hakuna nchi hata moja ya Afrika ambayo haijajaaliwa kuwa na mali asili, hivyo kusema kuwa utajiri wa Gabon ni kwa ajili ya mafuta siyo fear.Je, Nigeria hakuna mafuta? ma je, Botswana kuna mafuta?ikisemwa ni kwa ajili ya madini, je, Tanzania na kwingineko kuna madini?
Ukweli ni kwamba huyu jamaa alikuwa na sera nzuri ya uchumi na amesimamia vizuri utajiri wa nchi yao.
Angalia list ya nchi za Afrika kwa GDP per capita hapa [ame=http://en.wikipedia.org/wiki/List_of_African_countries_by_GDP_per_capita]List of African countries by GDP (PPP) per capita - Wikipedia, the free encyclopedia[/ame]
Katika list inaonekana kabisa kuwa kila kilichopo Gabon kipo kwenye nchi nyingine za Afrika ambazo zimeshambuliwa na umasikini wa kukithiri.Hivyo basi pamoja na kuwa na mapungufu haswahaswa katika swala la uwazi na demokrasia, katika swala la uchumi Omar Bongo ni kinara katika Afrika kusini mwa Sahara.Hakuna kiongozi wa Afrika aliyemfikia mpaka sasa, taking into account kwamba ameiongozi nchi kwa kipindi kirefu na muda wote nchi ilikuwa katika hali imara kiuchumi and surprisingly kisiasa pia!
 
Hapa tunaweza kuangalia jinsi jamaa walivyojitahidi kuipendezesha nchi yao http://www .skyscrapercity.com/showthread.php?t=385849

ondoa spaces kati ya www na dot ili kufungua link.
 
Hivi duniani yupo Raisi mwingine yoyote aliyekufa kwa AIDS?

Kama yupo basi hawajasema.

...hivi, "mkanda wa jeshi" ndio ugonjwa gani?

maisha ya duniani ni safari iliyojaa vishawishi vya namna kwa namna, tusijisahau. RIP Mr & Mrs Bongo...


President Bongo and Edith Lucie Bongo Ondimba, First Lady of Gabon dancing


...kwa hiyo huyu binti Sassou Nguesso mara ya mwisho kuonekana hadharani ilikuwa miezi mitatu kabla ya kifo chake, halafu miezi mitatu baada ya 'kutangulia' mheshimiwa naye kamfuatia? ama kweli, duniani wawili wawili...
 
Huyu jamaa anadaiwa kuwa na Bank Accounts zaidi ya 20 nchini Ufaransa!

Is this a role model kweli ktk Afrika??
 
Habari mpya zinasema jamaa amegoma kufa. Waziri mkuu wa Gabon anasema jamaa yuko hai, naona hakubali kuachia urais.

Labda wana vuta tu muda hao waandae cha kuandaa. No leader is pronounced dead by his government straight away hasa nchi hizi za kidikteta. Una kumbuka Mwanawasa? Rumors zilisema kafa kwa kama wiki tatu serikali ika kana mpaka tuka sahau. Mwishoni waka kubali ukweli kuwa ameaga dunia.
 
Back
Top Bottom