wwww
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 350
- 252
- Thread starter
- #21
Ni classmate wangu Itope Sec na kwa sasa Africar anafanya kazi Halmashauri ya Mbarali
Africar hawezi hata mtingisa Dr Mwakyembe kura za maoni ndani ya CCM!Mwenye uwezo wa wa kumuondoa Mwakyembe ndani ya CCM ni Ambwene Mwakalinga George tu!
Hata hivyo atakayeshinda upande wa CCM atapata upinzani mkubwa toka CHADEMA
Kwahiyo unapiga debe kwa mwakalinga bila kuja na hoja humu. Acha kutumika Kijana twambie ana mipango gain name Kyela? Usifikiri wanakyela wanakula radio yake ya Kyela FM.
Njoo name hoja humus tuzipime.