Africar Kagema: Nitagombea Ubunge Kyela

Africar Kagema: Nitagombea Ubunge Kyela

wwww

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
350
Reaction score
252
Hatimaye kitendawili cha WanaKyela kimeteguliwa kwa kijanawao kutangaza rasmi kugombea Ubunge kupitia jimbo la Kyela.

Wananchi wengi wa Kyela wanasema Africar Kagemaanaweza kuwa kijana atakayeiletea maendeleo Kyela kuliko wagombea wengine wotewaliojitokeza akiwemo Mbunge wa sasa Dr. Mwakyembe kutokana na sera zake nzurina mikakati mizuri ya kutekeleza sera zake.
Vilevile ataweza kuondoa makundi yaliyojengeka Kyelakwasababu hana kundi lolote ndani ya makundi yaliyopo Kyela kwa sasa na kwavileni msikivu, mwelewa na mnyenyekevu ataweza kuwaunganisha wanaKyela wote kwaujumla wao ili wajikite hasa katika kujiletea maendeleo yao wenyewe bila kujaliitikadi za vyama vyao.

Sera inayombeba kijana huyu ni ELIMU. Katika kutekelezasera hii amepanga kuhakikisha elimu inaimarishwa na kuboreshwa katika Wilaya yaKyela. Katika kuimarisha elimu amepanga mikakati ifuatavyo;

  1. Katika mpango wa muda mfupi (miaka mitano) yakwanza atahakikisha kuwa Shule za Sekondari za Ipinda na Itope zinaboreshwa nakuwa Shule za Kidato cha Tano na Sita na kujenga shule mbili mpya za kidato chatano na sita, moja katika Tarafa ya Unyakyusa na nyingine Tarafa ya Ntebela,hivyo kuifanya Kyela kuwa na Sekondari za Serikali za Kidato cha tano na sitakufikia sita badala ya mbili zilizopo.
    Pia ndani ya miaka hiyo mitanoya kwanza ana mpango ya kuanzisha ujenzi wa Chuo cha Ualimu (KYELA TEACHER’SCOLLEGE) ambacho anasema kitakamilika ndani ya miaka hiyo mitano.
  2. Katika mpango wake wa muda wa kati (Miaka 5 –10) ana mpango wa kuanzisha ujenzi wa Chuo kingine cha Ualimu (IPINDA TEACHER’SCOLLEGE) katika Tarafa ya Ntebela, Chuo kitakachokamilika ndani ya miaka kumiya uongozi wake kama wananchi watampa ridhaa ya kuwaongoza.
  3. Katika mpango wake wa muda mrefu (Mwaka 1 – 10)pamoja na Elimu amepanga kuanzisha
4. Uchimbajiwa visima katika kila kaya kwa kuanza na kaya masikini


5. Utekelezajiwa sera ya Kilimo Kwanza kwa kuendeleza ujenzi wa miundombinu ya umwagiliajimashamba ili kuongeza uzalishaji wa mazao
mbalimbali yakiwemo ya chakula nabiashara.



6. Ujenziwa Soko la Kimataifa Kasumulu litakalohudumia wananchi wa Tanzania na Malawi.


7. Usimamiziwa raslimali za Mafuta na Gesi zilizogunduliwa mwambao mwa Ziwa Nyasa na maeneomengine ili ziinufaishe Kyela na wanaKyela kwa
ujumla wake.


Kijana huyu anajinadi kuwa baada ya miaka kumi kamawananchi watampa ridhaa ya kuwa Kiongozi wao, ataacha historia ambayo hakunaKiongozi mwingine yeyote ambaye amewahi kufanya maendeleo kama yake tangu Jimbola Kyela lianzishwe mwaka 1975.


Hivyo anawasihi wananchi wa Kyela kuchagua kiongozi mzuribila kujali chama anachotoka.



 
Kujipigia debe muhimu.... 1423664028705.jpg
 
Kachoka hata kampeni hazijaaanza. Asante kwa kujitokeza Africar Kagemar
 
Mbona hajaweka wazi Chama chake ana muogopa Mwakyembe nini.
 
Hamna kitu humo boya tu hilo anataka kupotezea watu muda tu wa kusoma uchafu wake humu ndani!
 
Si hasa! Utaweza wapi ondoa jembe na kutumia mchi kulimia. Kijana hajitambui.
 
Hamna kitu humo boya tu hilo anataka kupotezea watu muda tu wa kusoma uchafu wake humu ndani!

Waelewa huelewa, kama wewe unamuona hamna kitu kwani ni mpiga kura wake? Wapiga kura wake wanamuhitaji wewe utaweza kuzuia kweli?

Africar Kagema ni kada wa CCM na atagombea kupitia chama chake hicho na wala hawezi kumuogopa Mwakyembe
 
Waelewa huelewa, kama wewe unamuona hamna kitu kwani ni mpiga kura wake? Wapiga kura wake wanamuhitaji wewe utaweza kuzuia kweli?

Africar Kagema ni kada wa CCM na atagombea kupitia chama chake hicho na wala hawezi kumuogopa Mwakyembe

Www.nakuomba nikupe angalizo Dogo sana tatizo watanzania hasa wana CCM mnachukulia kuwa kiongozi ni jambo la mchezo kama vile baba kucheza na watoto wake maana kuwadanganya anaona ni Haki yake wakati siyo haki yake!!sasa nikueleze kitu kimoja Mimi namfahamu sana huyo Afrika Tonono kagema kuliko wewe unavyo mjuwa!suala la Mimi kutokuwa mpiga kula wake unajidanganya nakujisumbua Mimi nukufahamu Mpaka kwao kule kapwili na mama yake kyambiki!na Nina Mashaka unapo sema wapiga kula wake!Afrika ana wapiga kula Acha kumvisha kilemba cha ukoka kaka.huko ni kumdanganya sana na huyo jamaa yako na kama wewe ndiyo mshauli wake sitashangaa maana wewe pamoja na huyo Africa wako uwezo wenu wa kufikili unafanana sana!mshauli huyo afrika aendelee na kibarua chake kule mbalali asije akapoteza muda wake bure kwa vitu ambavyo hana uwezo navyo.
 
WWW! Wewe mtu wa ajabu sana unakuja humu bila Aibu eti wapiga kula wake wanamuitaji nani anaye muitaji Afrika kagema pale Kyela kaka Acha unafiki huo kama unamuitaji sema wewe unamuitaji tena wana Kyela wakikusikia unaongeahuu upuuzi watakutafuta mpaka wakupate Acha kuleta siasa zakitoto hapa wewe!!hivi kweli Kyela ninayo ijuwa Mimi Leo wamuitaji Afrka this is amazing totally!! Kaka kajipange ndiyo uje tena na hadithi zako za kitoto!!
 
Www.nakuomba nikupe angalizo Dogo sana tatizo watanzania hasa wana CCM mnachukulia kuwa kiongozi ni jambo la mchezo kama vile baba kucheza na watoto wake maana kuwadanganya anaona ni Haki yake wakati siyo haki yake!!sasa nikueleze kitu kimoja Mimi namfahamu sana huyo Afrika Tonono kagema kuliko wewe unavyo mjuwa!suala la Mimi kutokuwa mpiga kula wake unajidanganya nakujisumbua Mimi nukufahamu Mpaka kwao kule kapwili na mama yake kyambiki!na Nina Mashaka unapo sema wapiga kula wake!Afrika ana wapiga kula Acha kumvisha kilemba cha ukoka kaka.huko ni kumdanganya sana na huyo jamaa yako na kama wewe ndiyo mshauli wake sitashangaa maana wewe pamoja na huyo Africa wako uwezo wenu wa kufikili unafanana sana!mshauli huyo afrika aendelee na kibarua chake kule mbalali asije akapoteza muda wake bure kwa vitu ambavyo hana uwezo navyo.

Unajua watu kama ninyi ni wa kuonewa huruma kwavile hamjitambui.

Hivi wewe unaweza kupima uwezo wa Africar Kagema kwa uwezo upi ulionao?

Kama Africar angetegemea kura yako nisingemshauri aingie kwenye siasa.

Kaa chini ujipime uwezo wako kwanza kabla ya kutumika Kijana.
 
WWW! Wewe mtu wa ajabu sana unakuja humu bila Aibu eti wapiga kula wake wanamuitaji nani anaye muitaji Afrika kagema pale Kyela kaka Acha unafiki huo kama unamuitaji sema wewe unamuitaji tena wana Kyela wakikusikia unaongeahuu upuuzi watakutafuta mpaka wakupate Acha kuleta siasa zakitoto hapa wewe!!hivi kweli Kyela ninayo ijuwa Mimi Leo wamuitaji Afrka this is amazing totally!! Kaka kajipange ndiyo uje tena na hadithi zako za kitoto!!

Africar Kagema anahitajika Kyela Saudi ya unavyofikiri we we. Wewe ni mtu mdogo sana Kyela usiye na maamuzi yoyote. Inawezekana ni mpiga kelele tu wa mtaani.
 
Sasa kama wana Kyela mnamuhitaji mbona hamsemi kwa chama gani? au kama mgombea binafsi? basi itakuwa siyo 2015 maana katiba haijatambua PC.
 
Hamna kitu humo boya tu hilo anataka kupotezea watu muda tu wa kusoma uchafu wake humu ndani!

Ni classmate wangu Itope Sec na kwa sasa Africar anafanya kazi Halmashauri ya Mbarali

Africar hawezi hata mtingisa Dr Mwakyembe kura za maoni ndani ya CCM!Mwenye uwezo wa wa kumuondoa Mwakyembe ndani ya CCM ni Ambwene Mwakalinga George tu!

Hata hivyo atakayeshinda upande wa CCM atapata upinzani mkubwa toka CHADEMA
 
Back
Top Bottom