Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,384
Nadhani yote yanaanzia kwenye kukubali JPM anawafuasi wengi saana....na style yake ya uongozi amejizolea wafuasi wengi.
Unajizolea wafuasi halafu chini ya utawala wako chaguzi zote zimenajisiwa! Uza ubongo huo maana unakaa nao kwa hasara.