Africa tunaweza: Dogo atengeneza DRONE

Africa tunaweza: Dogo atengeneza DRONE

Alichofanya ni hatua nzuri ya kujifunza, lakini sio kitu kikubwa sana cha kushangaa ni kama unavyo shangaa mtu ana fanya windows installation, tunachotakiwa kufanya ni kutumia nyenzo hizo hizo kutatua changamoto zilizopo katika jamii zetu.
Mfano mdogo, ningemsifu sana kijana aliyetengeneza hydroelectric power project kupitia mtaro wa maji au maji mito kuwasha taa walau moja kwenye eneo lisilo na umeme, hapa kweli unaona kafanya kitu kinachohitajika katika sehemu husika bila kujali ugumu au urahisi aliotumia, ila chamsingi ni kufungua njia.
Bado nampongeza kijana kwa level yake ni nzuri kumfanya apende electronics na ikibidi ajifunze zaidi.
 
5100744_capture_jpeg6d0ce43c2e6495dc5ba7597dd3872afd

5100746_sanurai_jpegc4d3921aac6c47d929d474b6085d779b

5100751_vam1_png9e9776503ec6a11c475673687604a95d

5100752_van_jpeg7a0694ef1a763f83ec10d97105c30e7b
Tunaweza sana mbna zimetengenezwa nyingi tu Africa apo kenya
 
Alichofanya ni hatua nzuri ya kujifunza, lakini sio kitu kikubwa sana cha kushangaa ni kama unavyo shangaa mtu ana fanya windows installation, tunachotakiwa kufanya ni kutumia nyenzo hizo hizo kutatua changamoto zilizopo katika jamii zetu.
Mfano mdogo, ningemsifu sana kijana aliyetengeneza hydroelectric power project kupitia mtaro wa maji au maji mito kuwasha taa walau moja kwenye eneo lisilo na umeme, hapa kweli unaona kafanya kitu kinachohitajika katika sehemu husika bila kujali ugumu au urahisi aliotumia, ila chamsingi ni kufungua njia.
Bado nampongeza kijana kwa level yake ni nzuri kumfanya apende electronics na ikibidi ajifunze zaidi.
Kwanza mkuu huyo dogo hiyo ni project anafanya akiwa shule au chuoni ufundi
Mwisho wa hiyo project ni drone kutumika ktk security surveillance, agricultural crop analysis, small packages transportation. Anafanya vzr
 
ni kweli kaunga unga na hiyo si wamesema ni prototype
 
Tunaweza nini sasa? Kutengeneza ideas ambazo zilishatengenezwa au kuanza na jambo jipya?
 
Safi sana, inatakiwa mtoto akianza masomo awe anapewa kile anachopenda kusomea toka la kwanza.

Sio unakuja kumsomesha mtu uraia sijui ndo somo gani hili !!!
 
Back
Top Bottom