Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Mkuu unamaanisha kua tatizo sio rushwa bali tatizo ni kukamatwa na rushwa?Simcheki mshkaji hata mm niliwahi kula rushwa.... sikudakwa enzi hizo..
ninachoshangaa huyu jamaa ameshindwaje kusoma alama za nyakati.... !!
majira ya sasa sio ya kipupwe ni kiangazi usiku mchana January to December...
Watumishi wa umma badilikeni shauri zenu!!?
Inanikumbusha siku za nyuma ambapo ilikua ni kosa kumtia mimba mwanafunzi. Inamaana ukiwa na mahusiano nae kimapenzi hakikisha hapati ujauzito!!!
Inabidi jamii ibadilike na ione rushwa pamoja na kua ni kosa kisheria lakini pia ni kosa la kimaadili na dosari ya kiimani(dhambi kwa Mungu)