Kumekuwa na mtindo maafisa utumishi wilaya ya muheza kucheza na mishara ya awatumishi pasipo ridhaa yao. Hii imetokea kwa watumishi wengi kulalamikia kuingiziwa makato toka taasisi za fedha bila wao kujua na ridhaa yao.
Isitoshe wanaingiziwa makato kwa kulazmishwa kuhama vyama ya wafanyakazi bila wao kujua hii inadhoofisha utendaji kwa kutojali usiri wa mshahara wa mtu na kuingiza makato anavyotaka kwa kupewa fedha toka taasisi za fedha za kausha damu.
Hii tunaomba Utumishi Makao Makuu ikiwezekana wafanye uchunguzi inafikia hatua wanajibu hata ukienda kwa mkurugezi hautatoka bila mimi kwenye makato hayo
Imefikia hatua jamaa anajitapa mpaka kwenye bar bila yeye hakuna anayeweza