Ni yeye ameuwawa kweli ila chanzo hakijulikani wamemuuwa kwenye boma lake allokuwa anajenga jana usiku sasa kugundulika mafundi wamegundua asubuhi walivyofika maana unaambiwa jana jioni alienda kuwalipa mafundi na alikuwa amevaa zake dera na ndio hata picha akiuwawa zipo hivyo hivyo na pia ametokq juzi kati kujifungua katoto alikuwa na mimba kubwa tu japo wengine wanadai alikuwa hajajifungua ila mimi nimeambiwa kajifungua mtoto njiti wa miezi 7 na mtoto alikuwa yupo mwanza na yeye huku geita ndio kwao ila sasa yeye Ana mji mwanza hivyo na jana ndio alikuwa ameanza off kwa ajili ya kurudi mwanza ....na pia mafundi wakamwambia boss tupe lift turudi wote town akasema aah nyie tangulieni tu kuna mtu namsubiri ...sasa huyo aliekuwa anasubiriwa ndio hatujui na nasikia kachunwa hadi ngozi usoni japo picha ni amelala kifudifudiMkuu kwani imethibitika kama aliyeuawa huko ni Milembe? Em tupe uhakika mkuu?