zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,160
- 28,899
Aiseee naona wamedakwa..... Mliokua mnawajaza upepo muwe mstari wa mbele kuwatetea mahakamani
HAKUNA.Inamaana hapo Geita hakuna MwanaJF!
Hivi polisi hawajawakamata hawa watu waliomuuwa huyu afisa ugavi aaah polisi acheni unafiki wenu jamani.Kemirembe aliuawa na viongozi mkoa wa geita wakishirikiana na polisi na viongozi wa Chama Cha Majambazi kwa sababu ya fedha zilzotolewa na kampuni ya uchimbaji madini geita gold mine ili pajengwe stendi ya mabasi ya kisasa kama ilivyo nyegezi mwanza pia GGM walitoa fedha kwa viongozi wa geita wajenge uwanja wa kisasa wakazitafuna pesa hakuna uwanja
Polisi wenyewe wanahusika na haya mauaji kwa kifupi viongozi wote wa geita wanahusika sababu kemilembe alikuwa anajua mpango wote na alikataa kuwa sehem ya mgao, alichotaka yeye ni kuona maendeleo ya mji wa geitaHivi polisi hawajawakamata hawa watu waliomuuwa huyu afisa ugavi aaah polisi acheni unafiki wenu jamani.
Polisi wenyewe wanahusika na haya mauaji kwa kifupi viongozi wote wa geita wanahusika sababu kemilembe alikuwa anajua mpango wote na alikataa kuwa sehem ya mgao, alichotaka yeye ni kuona maendeleo ya mji wa geita
Alikuwa ni mfanyakazi wa GGM anajua kuhusu fedha zilzotolewa na wazungu kwa ajili ya ujenzi wa stendi geita, lakini viongozi wa serikali wakaamua wazitafuneKemelembe alikuwa na ukubwa gani hadi wamhuhofie
MmmhAlikuwa ni mfanyakazi wa GGM anajua kuhusu fedha zilzotolewa na wazungu kwa ajili ya ujenzi wa stendi geita, lakini viongozi wa serikali wakaamua wazitafune
Acha ujinga ndio CCM imue kikatili hvyoKemirembe aliuawa na viongozi mkoa wa geita wakishirikiana na polisi na viongozi wa Chama Cha Majambazi kwa sababu ya fedha zilzotolewa na kampuni ya uchimbaji madini geita gold mine ili pajengwe stendi ya mabasi ya kisasa kama ilivyo nyegezi mwanza pia GGM walitoa fedha kwa viongozi wa geita wajenge uwanja wa kisasa wakazitafuna pesa hakuna uwanja
DuhAcha ujinga ndio CCM imue kikatili hvyo
Kwanza yeye Ana usika VIP na Mambo ya CRS
Yule atakuwa ameingia anga ya mtu kumsaga demu wake jamaaa akaona wacha nimtangulize kwa sir god mapema
Hukijui chama changu CCM vizuri we jamaa!!Acha ujinga ndio CCM imue kikatili hvyo
Kwanza yeye Ana usika VIP na Mambo ya CRS
Yule atakuwa ameingia anga ya mtu kumsaga demu wake jamaaa akaona wacha nimtangulize kwa sir god mapema