Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,498
Afisa Polisi, aliyefika kutoa ushahidi upande wa Jamhuri katika kesi ya uchapishaji wa taarifa za uongo mtandaoni inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Taifa, Tundu Lissu, ameeleza sababu za kuipakua video ya Lissu aliyokuwa akiizungumza.
Fuatilia hapa: Shauri la jinai namba 8606/2025 Jamhuri vs Tundu Lissu, kesi ya uchochezi na kuchapisha taarifa za uongo imehairishwa hadi Julai 01, 2025
Akizungumza mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Kisutu, Shahidi huyo amesema aliona video hiyo mitandaoni na kuiona inahamasisha vurugu na inaweza kuhatarisha amani ya nchi.
"Niliona kwamba matamshi haya yataleta vurugu na amani ya nchi kwani upo utaratibu mzuri wa kupata wagombea, wa kupata viongozi."
Fuatilia hapa: Shauri la jinai namba 8606/2025 Jamhuri vs Tundu Lissu, kesi ya uchochezi na kuchapisha taarifa za uongo imehairishwa hadi Julai 01, 2025
Akizungumza mbele ya Hakimu wa Mahakama ya Kisutu, Shahidi huyo amesema aliona video hiyo mitandaoni na kuiona inahamasisha vurugu na inaweza kuhatarisha amani ya nchi.
"Niliona kwamba matamshi haya yataleta vurugu na amani ya nchi kwani upo utaratibu mzuri wa kupata wagombea, wa kupata viongozi."