Kimara na Mbezi ya Kimara ujambazi na vibaka wamezidi. Kibaya zaidi lazima wakukate mapanga au wakuue, ndiyo tabia yao. Polisi wanatakiwa kuimarisha ulinzi maeneo haya. Hata hivyo pia wenyeji lazima watakuwa wanawafahamu jamaa hawa. Kuna watu wameamua kuyakimbia majumba yao huko au unaweka grill zito kama la jela Segerea. Wana bunduki hawa jamaa wanaweza tu kuamua kufunga mtaa, wanapora, wanaua, wanakata watu mashoka na mapanga. Very sad indeed. Pole ndugu Kinunda.