umelala? huyu anayejenga gorofa hapa barabar ya 8 anavunja mbao za zege Mawe yanaanguka na hajaweka zile kingo. vibarua wake wamekazana kutoa mawe kwa jeuri wala hajali watu.anasimama akiona gar tu kwa vile anaogopq kulala ndani.ila.maisha ya watu je?
njoo haraka uone watu wanavopiga kelel wakipita hapa one way barabara ya 8. hii si sawa.
safety precautions is to put barriers first fllor to prevent debris from injuring people. by laws mkague hii au ndio hivyo tena
njoo haraka uone watu wanavopiga kelel wakipita hapa one way barabara ya 8. hii si sawa.
safety precautions is to put barriers first fllor to prevent debris from injuring people. by laws mkague hii au ndio hivyo tena