Rog chimera
JF-Expert Member
- Apr 28, 2018
- 347
- 546
Huyu Afisa Mauzo wa METL pale Liberty Mwanza ni hovyo kabisa. Asubuhi wateja wakienda kununua mzigo unamkuta anavuta sigara na kutafuna ugoro, anamajibu ya hovyo hovyo tu kwa wateja na kiburi juu, bahati yao hakuna sehemu nyingine ya kupatia mzigo tungeshawahama.
Ujumbe huu uwafikie wahusika wa kampuni ya METL kama wamo humu, huyo Mhindi mwenzenu mliemuweka pale ni boya kabisa, ipo siku mtasikia kapigwa hata ngumi kwa majibu yake ya hovyo na dharau.
Ujumbe huu uwafikie wahusika wa kampuni ya METL kama wamo humu, huyo Mhindi mwenzenu mliemuweka pale ni boya kabisa, ipo siku mtasikia kapigwa hata ngumi kwa majibu yake ya hovyo na dharau.