MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,185
- 24,055
Ama kweli, a picture tells a story just as well as a large amount of descriptive text!
Katika pita pita yangu mitaani nimekutana na mabango ya matangazo ambayo ukiyaangalia na kuyachunguza yanatoa ujumbe ambao unalisumbua sana taifa letu katika nyanja ya kimaendeleo.
Kuna wengine wanasema, kuna wakati Mwenyezi Mungu huwapiga vipofu baadhi ya watu ili ujumbe wake uwafikie walengwa.
Ninaweza kusema, kuna uwezekano timu ya mahusiano ya Lowassa ilipigwa upofu ili wananchi wapenda taifa wapate ujumbe!
Picha ya Mwl. Nyerere inainyoshea kidole picha ya Lowassa!
Katika pita pita yangu mitaani nimekutana na mabango ya matangazo ambayo ukiyaangalia na kuyachunguza yanatoa ujumbe ambao unalisumbua sana taifa letu katika nyanja ya kimaendeleo.
Kuna wengine wanasema, kuna wakati Mwenyezi Mungu huwapiga vipofu baadhi ya watu ili ujumbe wake uwafikie walengwa.
Ninaweza kusema, kuna uwezekano timu ya mahusiano ya Lowassa ilipigwa upofu ili wananchi wapenda taifa wapate ujumbe!
Picha ya Mwl. Nyerere inainyoshea kidole picha ya Lowassa!