herikipaji
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 1,198
- 1,369
Kwa wale wanaofatilia vizuri AFCON mechi ya leo ile ya awali kati ya Ghana na Kongo refaree B. Camille wa huu mchezo amewapa penati "NYEPESI" Ghana na kufanya washinde kwa mbeleko ya huyo refa.
Ukiangalia kwa umakini utangundua yule mshambuliaji Atsu alijiangusha kwa makusudi tu wapate penati na kweli refa naye kawazawadia penati ambayo hata hawakustahili na kupata goli la pili.
Mchezo ulikuwa mzuri sana kutazama lakini hatimaye refa kauharibu kwa maamuzi ya kutoa penati isiyo kuwa na maana na kusababisha Kongo kuaga mashindano.
Ukiangalia kwa umakini utangundua yule mshambuliaji Atsu alijiangusha kwa makusudi tu wapate penati na kweli refa naye kawazawadia penati ambayo hata hawakustahili na kupata goli la pili.
Mchezo ulikuwa mzuri sana kutazama lakini hatimaye refa kauharibu kwa maamuzi ya kutoa penati isiyo kuwa na maana na kusababisha Kongo kuaga mashindano.