ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,081
- 84,973
Haupo kwenye ratiba ya AfconUwanja wa Dodomo umefikia hatua gani?
Haupo kwenye ratiba ya AfconUwanja wa Dodomo umefikia hatua gani?
Uwanja gani wa Dodoma?..nani alikwambia kuna uwanja Dodoma kwa ajili ya AFCON?Uwanja wa Dodomo umefikia hatua gani?
Tanzania viwanja vyetu viko kwenye progress nzuri vya Arusha na Zanzibar viko kwenye 70%Majamaa ya west africa yana tuona sisi kenge kweli, maana kila kwenye msafara wa mamba na kenge wamo. Sasa tulikuwa na muda wa kutosha sasa tumeshindwaje kujiandaa. Lakini sisi si kenge, kenge ni viongozi walioshindwa kujiandaa.
Ukiona tunasemwa sana basi tumeshuka hadhi/heshima na hatutakiwi, tuko kama moshi wa moto machoni. Waliopo kwenye uongozi wametufikisha hapoTanzania viwanja vyetu viko kwenye progress nzuri vya Arusha na Zanzibar viko kwenye 70%
My Take
Hawa CAF wasisingizie maandalizi bali waendele straight kwenye sababu ya msingi ya Vurugu za Kisiasa Kenya ndio zitakwamisha ratiba ya mashindano ya Afcon.
Maoni yangu Waipokonye Kenya uwenyeji waipe Rwanda Ili ratiba ya mashindano iendelee kama ilivyokuwa imepangwa.
View: https://www.instagram.com/p/DUr4GmElHEv/?igsh=MWplYjJkcjBhMmp3aQ==
Story za Kalumekenge hataki kwenda shule hizi.Uwanja wetu wa Arusha uko 74%
Kama viongozi wenyewe type ya kina Makonda form four failure kuanzia top unategemea nini, kila kitu wao ni siasa.Majamaa ya west africa yana tuona sisi kenge kweli, maana kila kwenye msafara wa mamba na kenge wamo. Sasa tulikuwa na muda wa kutosha sasa tumeshindwaje kujiandaa. Lakini sisi si kenge, kenge ni viongozi walioshindwa kujiandaa.
Timu zinaweza zikakodi kwa ajili ya mazoezi, hivyo kuurekebisha nao ni lazima.Uwanja gani wa Dodoma?..nani alikwambia kuna uwanja Dodoma kwa ajili ya AFCON?
Ndipo upeo wako ulipoishia!?Timu zinaweza zikakodi kwa ajili ya mazoezi, hivyo kuurekebisha nao ni lazima.
Nyie Chadomo subirini tuu mashindano Kila kitu Huwa mnapinga.Story za Kalumekenge hataki kwenda shule hizi.
Tuna viwanja maalumu Kwa Ajili ya mazoeziTimu zinaweza zikakodi kwa ajili ya mazoezi, hivyo kuurekebisha nao ni lazima.
Wewe unaona hiyo ni asilimia ngapi?
Ulitakiwa ufanye kipindi kile sio Kuandika ujinga jfHata hapa Tanzania tutafanya maandamano makubwa wakati wa hiyo michuoano kudai miili ya wapendwa wetu tukazike, na kudai katiba mpya. Hivyo sio Kenya tu.
Barabara Hazina tatizo,maeneo yaliyozunguka uwanja yamefanya nini?Najaribu kuwaza mazingira ya hii nchi, barabara zetu, maeneo yanayozunguka viwanja vyetu.
No wonder imebidi waombe msaada China ili ku-finance baadhi ya mambo.
Ni kama vile East Africa haina inachoweza, mbona North, West na South wanafanya vizuri?
97.6 kama za Samia.Wewe unaona hiyo ni asilimia ngapi?
Safi97.6 kama za Samia.