AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

AFCON 2015 Qualifiers: Msumbiji vs Tanzania

sifuri

Senior Member
Joined
May 12, 2013
Posts
155
Reaction score
88
Tupia link ya stars v/s mozambique leo mwenye nayo.

Taifa Stars imeondolewa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa Afrika kwa mara nyingine tena.
Kwa mara ya pili mfululizo inatolewa na Msumbiji baada ya kufungwa mabao 2-1.
Katika mechi hiyo mjini Maputo, wenyeji walipata bao lao katika dakika ya 45 mfungaji akiwa Josemar.

Kipindi cha pili, Stars walisawazisha katika dakika ya 77 kupitia Mbwana Samatta.
Baada ya hapo, mashambulizi yalikuwa ya zamu na kila upande ukionyesha kupania kushinda.
Stars ndiyo walikuwa wakihitaji ushindi zaidi wakati Msumbiji wangevuka hata kwa sare ya bao 1-1 baada ya ile sare ya mabao 2-2 jijini Dar es Salaam.
Elias Pelembe, mchezaji ambaye amekuwa akiionea Taifa Stars, alifunga bao la pili katika dakika ya 84.
Pelembe maarufu kama Domingues ndiye alimaliza kazi hiyo na sasa Stars imeng'olewa kwa jumla ya mabao 4-3.
Mara ya mwisho, Stars iling'olewa kwenye michuano hiyo mjini Maputo kwa changamoto za mikwaju ya penalti baada ya sare ya mabao 1-1 Dar na Maputo.

Chanzo: SalehJembe Blog


[h=3]Aug 3, 2014 19:04:00[/h]Mozambique will now join Group F where they will compete against Zambia, Cape Verde and Niger for a spot in next year's Africa Cup of Nations in Morocco
Tanzania failed to reach the group stage of the 2015 Africa Cup of Nations qualifiers after losing in Mozambique on a 4-3 aggregate..
The hosts won 2-1 at the Estadio do Zimpeto in Maputo courtesy of strikes from Josemar and Elias Pelembe Domingues, while Mbwana Samatta scored the only goal for Taifa Stars.
Khamis Mcha's brace had made the results a 2-2 draw in Dar es Salaam, while the Mambas were able to respond through Domingues and Isac Carvalho to earn a crucial draw away from home.
Josemar opened the scoring during added time in the first half to give his side a 1-0 advantage going into the break while Samatta scored to make the results 1-1 in the 77th minute to revive Tanzania's hopes of advancing to the group stage.
Taifa Stars failed to take advantage and conceived another goal in the 83rd minute when Domingues scored the winner to fire his side into the group stage.
Mozambique will now join Group F where they will compete against Zambia, Cape Verde and Niger for a spot in next year's Africa Cup of Nations in Morocco.

Chanzo: Goal.com
 
Saa ngapi east african time na kituo gani kinarusha live ?

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mwenye link jamani utakua umetusaidia wengi sana...
 
Nimetune tv ya mozambique hapa wanachambua ila sielewi wanachoongea,wanaonesha marudio ya Highlits za game iliyopita.

Wachezaji wetu wa black mambaz wana ari kubwa sana leo Taifa staz lazima wakae.

#Team Black mambaz.
Katavi Skype Kigogo
 
Last edited by a moderator:
Nimetune tv ya mozambique hapa wanachambua ila sielewi wanachoongea,wanaonesha marudio ya Highlits za game iliyopita.

Wachezaji wetu wa black mambaz wana ari kubwa sana leo Taifa staz lazima wakae.

#Team Black mambaz.
Katavi Skype Kigogo

Pamoja sana mkuu, black mambaz tunakamua tena tuko kwetu.
 
Last edited by a moderator:
Nimetune tv ya mozambique hapa wanachambua ila sielewi wanachoongea,wanaonesha marudio ya Highlits za game iliyopita.

Wachezaji wetu wa black mambaz wana ari kubwa sana leo Taifa staz lazima wakae.

#Team Black mambaz.
Katavi Skype Kigogo

channel gani hiyo mzee mwenzangu...
 
Last edited by a moderator:
Wakuu natazama TVM1 hapa naona kama wanataka kurusha hii mechi maana kuna
kiuchambuzi fulani kinaendelea, kama hii mechi itarushwa na hakutakuwa na katizo
la umeme tutapeana kile kitakachojiri. Naomba ushirikiano wenu wale tunaoipata TVM.
 
Timu zinaingia uwanjani wakuu Tz wamevaa jezi zao za bluu mpauko.
Listi imepita haraka mno.
 
Back
Top Bottom