AFCON 2013: Kutoka Africa Kusini

Kuna wachezaji wa CV wanaomba wimbo wa taifa kisanii sana!
 
Nyimbo za taifa zinaimbwa.

Huu wimbo wa Afrika Kusini unapoanza kama una sound kama wa Tanzania vile.
 
tupieni link za ku watch hizo gemu online kwasie tulio mbali?
 
Match inaanza sasa

Looking forward kama ataweza kufunga tena goli kama hili.

Huwa nikiangalia hii video nasisimka. This beatiful game!

 
Last edited by a moderator:
Nyimbo za taifa zinaimbwa.

Huu wimbo wa Afrika Kusini unapoanza kama una sound kama wa Tanzania vile.

Umesahau mkuu kwamba tulifanya kucopy kisha tukabadilisha kidogo?

Hata wa Zambia uko kwenye hiyo tune!
 
Reactions: EMT
Kumbe kipute ni mida hii? Nilidhani saa 4 usiku.
 
Mpira haujatulia, wachezaji wanacheza kwa kubutua hovyo.
 
Mkuu EMT,
Zuku wana chanel ya Europort pia haionyeshi hiyo mechi ukiwa TZ?

Eurosport ipi? Zipo nyingi.

Nahisi kama wana Eurosport basi watakuwa na Eurosport International ambayo nadhani watakuwa wanaonyesha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…