Afanya kazi miaka 84 (tangu 1938) katika kampuni moja

Afanya kazi miaka 84 (tangu 1938) katika kampuni moja

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,551
Reaction score
10,802
Kutana na Walter mpaka Guinness world record wamemtambua.

Screenshot_20220526-212139.jpg
 
Mshahara utakuwa mnono...

Kibongobongo mshahara mdogo na majungu juu...

Watu wanaishia kuruka kama njiwa...
Kweli, hapo mshahara na chance za growth basi mzee akaamua kutulia.
 
Sahihi,juzi Twitter Kuna mzungu kapost pic mbili,moja akiwa Binti wakati anafanya kazi na ya pili akiwa Mzee anafanya kazi hiyo hiyo katika Hospital hiyo zaidi ya Miaka 38
Nimeiona Ile LinkedIn kule. Yule madam inaonesha anaipenda sana kazi yake.
 
Duuuh nakumbuka mama mmoja ofisini ukimuudhi tuu anakuuliza weee ungali nani? Mimi nipo hapa toka 1975 nalijua hili jengo kabla hujazaliwa. Miye nikiona hivyo najua pamewaka natimua mpk kesho tunaanza fresh.
Wakongwe maofisini waanajua mbinu zote, ukiwazingua unapotea.🤣
 
Mie nataka kuvunja rekodi ya kuhama hama. Miaka 17 kazini, vituo 13 vya kazi.

Na mwakani nahama tena.
 
Back
Top Bottom