Duuuuuuu Jf hakuna think tank hawa Bavicha( Baraza la vichaa Chadema) wamesahau ujumbe mzito wa viongozi wakuu wa Chadema ulitoka Dar kwenda kumpa kadi Afande Sele? Leo hii mnamtukana? Ama kweli vichaa mmeundiwa baraza lenu. Hata mwaka haujaisha mmeishasahau. Mhhhhhh Tz ni sheeeeedah
Afande sele alikimbia chadema baada ya kushtukia kwamba hawataweza kumteua kugombea ubunge moro mjini.ni msanii na watu tunampenda kwa kutuburudisha ila kwa suala la siasa hapana.kwamba eti atusaidie kupitisha sheria za nchi,hapo hapana aloo.labda kama ataenda kuimba bungeni hapo sawa..ajikite kwenye muziki na tutaendelea kumpa support.no disrespect
Tegemeo la wana Morogoro, saa ya ukombozi ni sasaaaaa???
napenda miziki ya sele lakini kura yangu siwezi mpa. najua kabisa naipoteza haki yangu kwa kuchagua below jiwe. afadhali kupigia jiwe halitakula kodi yangu bure kuliko huyo jamaa. the same applied kwa lema, sugu, kibajaji, prof. maji wafupi, asumpta, wenje na wanaofanania.
picha si ndio mlichapwa nayo mlipokuwa mnatamba na huyo chaliii leo hii mmeisahau? Ni sheeedah. Mliitetea kwa kila hali sasa leo vipi Bob. Vichaa vinapanda na kushuka?
napenda miziki ya sele lakini kura yangu siwezi mpa. najua kabisa naipoteza haki yangu kwa kuchagua below jiwe. afadhali kupigia jiwe halitakula kodi yangu bure kuliko huyo jamaa. the same applied kwa lema, sugu, kibajaji, prof. maji wafupi, asumpta, wenje na wanaofanania.
duh!watu mna data za kutosha!safi sana!anyway ngoja aexercise haki yake + ajaribu bahati yake, si unajua tena yote yanawezekana Tz!Nyie hamwelewi. Afande Sele wakati yuko kwenye 'chati' alipiga hela ndefu sana. Ule ushindi wa Mfalme wa Ryms 'ulitengenezwa' kwake kwa vile alikubali kumkatia 'mpunga' Shigongo tofauti na mwenzake ambaye 'alichomoa'. Sele alijua kwa kitendo cha kuwa 'mfalme' mbali na kale kagari lakini jina litapanda hivyo atapiga sana shoo. Hilo likatokea na kweli jamaa alikamua vya kutosha.
Tatizo likahamia kwake. Ngono na pombe ndio ikawa ndo ibada yake. Mibangi ndio ikawa misosi yake. Jamaa akaanza kuharibu kwenye shoo na maelewano na mapromota yakafa. Mshkaji alikuwa anapewa advansi ya kupiga shoo anaingia mitini. Mwishowe akawa MAJALALA jumla.
Mai waifu wake (R.I.P) 'akaanza yake' na vijana wa kihuni(Hapa kwa heshima ya marehemu naomba nisiingie ini dip kufafanua)
Jamaa ikawa 'naomba ya fegi' nyingi sana.
Sasa kitu kimoja alichobahatika ni kuwa yeye ni MHA. Na wakati anajiunga Chadema alidhani 'jina' lake laweza kuwa ngazi ya Chadema Morogoro na viongozi wa Chadema watakuwa 'wanamtoa toa'. Hali haikuwa hivyo. Alipofiwa na dada yake yule aliyekuwa mhudumu wa vinywaji kwenye baa pale Masika inaaminika Chadema hawakumpa 'ubani' ndio akasusa. Akaenda kwa MHA mwenzie, ndo jamaa akampa safari za kukinadi chama ili apate vi posho kupunguza makali. Na uelewe hata mkuu wa chama anajua kuwa Sele ni kiazi
Tegemeo la wana Morogoro, saa ya ukombozi ni sasaaaaa???
"mimi nimetangaza nia ya kugombea ubunge morogoro mjini, lakini lengo langu ni kutaka kuwaonyesha kwamba ubunge siyo kuvaa suti na kuendesha magari makubwa bali ni kutumikia wananchi" afande sele akihutubia mwanza.
afande sele ni either anawashauri wabaya au katolewa kafara sijui hata kwanini zitto hajaliona hili, Abood kung'olewa ubunge na afande sele ni ngumu sana.
Abood ni ile type ya wabunge wasio ongea sana lakini wananchi wanaona wanachokifanya, kwenye top 20 ya matajiri tanzania Abood hakosekani na anatumia utajiri wake kusaidia sana wananchi jimboni mwake.
itakua ni ajabu jingine kutokea tanzania mtu makini kama Abood kushindwa na Afande sele labda ccm wakosee kutompitisha.
Afande Sele bado anajifunza siasa hivyo issue ya kujenga hoja bungeni au kuwakilisha wana morogoro mjini bungeni ni ngumu pia hii nimeona baada ya kumsikiliza akihutubia.
Watu wamechoka kuchagua watu wanaoonekana smart kwa muonekano wa nje halafu hakuna kinachofanyika, watanzania wanazidi kuwa maskini & poor services kwa jamii; kwa sasaivi bora kuchagua watu wanaoonekana ni wadogo/wakawaida, hapo labda mambo yanawezabadilika. By the way katiba yetu inasema watu wote ni sawa!
"mimi nimetangaza nia ya kugombea ubunge morogoro mjini, lakini lengo langu ni kutaka kuwaonyesha kwamba ubunge siyo kuvaa suti na kuendesha magari makubwa bali ni kutumikia wananchi" afande sele akihutubia mwanza.
afande sele ni either anawashauri wabaya au katolewa kafara sijui hata kwanini zitto hajaliona hili, Abood kung'olewa ubunge na afande sele ni ngumu sana.
Abood ni ile type ya wabunge wasio ongea sana lakini wananchi wanaona wanachokifanya, kwenye top 20 ya matajiri tanzania Abood hakosekani na anatumia utajiri wake kusaidia sana wananchi jimboni mwake.
itakua ni ajabu jingine kutokea tanzania mtu makini kama Abood kushindwa na Afande sele labda ccm wakosee kutompitisha.
Afande Sele bado anajifunza siasa hivyo issue ya kujenga hoja bungeni au kuwakilisha wana morogoro mjini bungeni ni ngumu pia hii nimeona baada ya kumsikiliza akihutubia.
Duuuuuuu Jf hakuna think tank hawa Bavicha( Baraza la vichaa Chadema) wamesahau ujumbe mzito wa viongozi wakuu wa Chadema ulitoka Dar kwenda kumpa kadi Afande Sele? Leo hii mnamtukana? Ama kweli vichaa mmeundiwa baraza lenu. Hata mwaka haujaisha mmeishasahau. Mhhhhhh Tz ni sheeeeedah
Eti afande sele bado ni mchanga kisiasa kwaiyo hawezi jenga hoja bungeni au cjakusoma mtoa maada? Kwa hili uwezo wako wa kufikiri umefika kikomo, wanasiasa wangapi ambao ndio ilikuwa mara yao ya kwanza kusimama ktk bunge linalomaliza muhula wake kwa sasa wakiongea bungeni watu miili inawasisimua na kutoa machozi wengine?
Na suala si kusaidia wananchi huku nyuma ya pazia unawanyonya, km ni mfuatiliaji mzuri kuna mtu alitarajia mashi na diaro wangepoteza mwanza kwa wanasiasa ambao wengi tumewajulia bungeni?
Siku zote mzarau mwiba mguu huota tende, afande sele jina nmekuwa nikilisia toka nko s/msingi hadi leo bdo nalisikia hii inaonesha kuwa ni mtu anayefahamika. Pia kumbuka kuna mtu km sugu alitokea kuwa msanii wa nyimbo za kufoka ila leo ndio mmoja ya wajenga hoja bungeni.
Tusisemee mioyo ya watu ni mara ngapi watu tumewakta wakilia kwa kuangushwa na watu wa karibu wasio wategemea? Hatima ya afande sele ipo kwa wana moro mjini wenyewe
mkuu naona ume panic...
hivi bado hujaona nguvu za Abood morogoro , Abood ni mtu wa watu ni Robbin hood wa morogoro ana msaada kwa wananchi tofauti na Afande Sele ambae kashindwa hata kusaidia wasanii wa morogoro pili ni mfuata mkumbo vipi siku zitto aki shift from ACT to CCM si bado atamfuata.....tatu hana political awareness anatafuta utajiri kupitia siasa msikilize akihutubia ...nne yale matumizi ya b@ng je?
in short sio mp material.