GE2025 Afande Sele: Vijana acheni mihemko ya maandamano

GE2025 Afande Sele: Vijana acheni mihemko ya maandamano

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mwanamuziki wa Hiphop, Selemani Msindi Afande Sele amewataka Watanzania hususani vijana kuacha kuwa na mihemko ya kushiriki maandamano badala yake washiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa kutoshiriki ni kujinyima haki ya kikatiba.

Akizungumza na JAMBO TV leo Oktoba 14, 2025, akiwa mkoani Morogoro, Afande Sele amesema vijana wanapaswa kutumia nguvu yao kwa kushiriki katika kupiga kura badala ya kujiingiza kwenye maandamano yanayoandaliwa na watu wasiolitakia mema taifa.

Ameongeza kuwa ni muhimu kwa Watanzania kuchagua viongozi wanaojali maendeleo na amani ya nchi, badala ya kufuata ushawishi wa watu wanaopandikiza chuki mitandaoni wengine wakiwa nje ya mipaka ya Tanzania.
 
Hii ni nchi huru,

Wa kutiki akatiki,

WA kuandamana vivyo hivyo.

Afande Sele, maandamano yasokuhusu unayaongelea Ili iwe nn?

Halafu aliyekuambia waandamanaji wamejiandikisha kupiga kura ni nani?
 
Hata wewe una familia inakutegemea na Huna mpango wa kukimbia nchi ,ikija maiki ya TBC hapo na camera huwezi kuongea hayo unayoyaandika humu JF. Msijitie uchizi. Kama mnayoyaandika humu hata fb hamuwezi kuandika ndio utaweza kuongea akija mwandishi wa Jambo TV ? Hata yeye afande sele akikaa pekeyake katulia chumbani huwenda akawa na mawazo tofauti na hayo aliyoyatoa hapo mbele ya camera
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Mwanamuziki wa Hiphop, Selemani Msindi Afande Sele amewataka Watanzania hususani vijana kuacha kuwa na mihemko ya kushiriki maandamano badala yake washiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, akisisitiza kuwa kutoshiriki ni kujinyima haki ya kikatiba.

Akizungumza na JAMBO TV leo Oktoba 14, 2025, akiwa mkoani Morogoro, Afande Sele amesema vijana wanapaswa kutumia nguvu yao kwa kushiriki katika kupiga kura badala ya kujiingiza kwenye maandamano yanayoandaliwa na watu wasiolitakia mema taifa.

Ameongeza kuwa ni muhimu kwa Watanzania kuchagua viongozi wanaojali maendeleo na amani ya nchi, badala ya kufuata ushawishi wa watu wanaopandikiza chuki mitandaoni wengine wakiwa nje ya mipaka ya Tanzania.
Si amini kuwa huyu jamaa alitoa ushauri huu wa kianithi namna hii ?🙄🙄🙄🙄 hii ni ajabu kweli kweli ....hivi tanzania kuna wanamuziki wenye akili au wenye kutumia akili kweli ? Haya mambo yatawafanya waje kujuta sana ...huyu jamaa nilimpaga maksi bora sana kipindi furani kwa video aliyo toa ya kukemea uchawa leo nimegundua kuwa naye ni mpumbavu tu.
 
Back
Top Bottom