Aendelee Lissu au arudi Mbowe

Aendelee Lissu au arudi Mbowe

anthopody

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2024
Posts
262
Reaction score
183
Wana CDM naombeni maoni yenu,nataka kuanzisha suala ya kikatiba chini ya mfumo wa kidemokrasia- msiniulize ni demokrasia gani ila mtapata majibu very soon kupitia taratibu za kisheria

Hoja ya msingi ni kupata maoni kuhusu je Lissu aendelee au Mbowe arudi na Leo litakuwa swali la kipima joto ITV,naombeni mshiriki

Muhimu,uamuzi wangu naufanya baada ya kuona mgawanyiko ndani ya CDM,na kuibuka G-55 ambao wanadai katiba mpya haikuwa sera ya chairman akiomba kura,hivo Kuna hadaa alitumia kuwa corrupt voters kumbe hakuwa na malengo fikiriwa kwa wapiga kura

Hivo uchaguzi ulikuwa null n' void (my stand) kwa sababu sera hii haikuwa wazi na inachochea vurugu nchini hivo uchaguzi urudiwe

Ushiriki wenu muhimu
 
CCM ukiwaukiza leo watatamani Mbowe arudi mwenyekiti.....

Hilo kishapita....kwa sasa LISSU ATOSHA CDM - HUTAKI ZITTO ANAWAITA WATU Huko kwake KUCHUKUA FORM NENDENI HARAKA
 
Wana CDM naombeni maoni yenu,nataka kuanzisha suala ya kikatiba chini ya mfumo wa kidemokrasia- msiniulize ni demokrasia gani ila mtapata majibu very soon kupitia taratibu za kisheria

Hoja ya msingi ni kupata maoni kuhusu je Lissu aendelee au Mbowe arudi na Leo litakuwa swali la kipima joto ITV,naombeni mshiriki

Muhimu,uamuzi wangu naufanya baada ya kuona mgawanyiko ndani ya CDM,na kuibuka G-55 ambao wanadai katiba mpya haikuwa sera ya chairman akiomba kura,hivo Kuna hadaa alitumia kuwa corrupt voters kumbe hakuwa na malengo fikiriwa kwa wapiga kura

Hivo uchaguzi ulikuwa null n' void (my stand) kwa sababu sera hii haikuwa wazi na inachochea vurugu nchini hivo uchaguzi urudiwe

Ushiriki wenu muhimu
Uchaguzi ulishafanyika. Punguza akili fupi
 
Jinga ni wewe chawa mchafu usiye na uchungu na Tanganyika yako.
mjinga mwenyewe, heche anawadanganya wakazi wa keko eti serikali ilipaswa iwalishe, anasahau wote aliokuwa anaongea nao wana nyumba za urithi wanakula kodi za wapangaji
 
Aendelee Lissu kabisa tena ningekuwa na hela na muunga mkono kwasababu kubwa 2 huwezi kila siku unapoteza muda kupiga kura masaa na nasiku kadhaa unajua unashinda hata kura zinaonyesha gafla wa CCM anapokea ushindi tokea 2010 hadi leo HAPANA .

Lingine unateswa kisa unapigia promo chama chako unadhalilishwa kisa nini sio ujitoe tu
 
Wana CDM naombeni maoni yenu,nataka kuanzisha suala ya kikatiba chini ya mfumo wa kidemokrasia- msiniulize ni demokrasia gani ila mtapata majibu very soon kupitia taratibu za kisheria

Hoja ya msingi ni kupata maoni kuhusu je Lissu aendelee au Mbowe arudi na Leo litakuwa swali la kipima joto ITV,naombeni mshiriki

Muhimu,uamuzi wangu naufanya baada ya kuona mgawanyiko ndani ya CDM,na kuibuka G-55 ambao wanadai katiba mpya haikuwa sera ya chairman akiomba kura,hivo Kuna hadaa alitumia kuwa corrupt voters kumbe hakuwa na malengo fikiriwa kwa wapiga kura

Hivo uchaguzi ulikuwa null n' void (my stand) kwa sababu sera hii haikuwa wazi na inachochea vurugu nchini hivo uchaguzi urudiwe

Ushiriki wenu muhimu
G55 wanatosha gentleman 🐒
 
mjinga mwenyewe, heche anawadanganya wakazi wa keko eti serikali ilipaswa iwalishe, anasahau wote aliokuwa anaongea nao wana nyumba za urithi wanakula kodi za wapangaji
Mbona unajikuna makalio kwa No reform No Elecrion, Kama vyama.18 vimekubali sasa kumuhemuhe cha nini we chawa jinga la CCM.
 
Wana CDM naombeni maoni yenu,nataka kuanzisha suala ya kikatiba chini ya mfumo wa kidemokrasia- msiniulize ni demokrasia gani ila mtapata majibu very soon kupitia taratibu za kisheria

Hoja ya msingi ni kupata maoni kuhusu je Lissu aendelee au Mbowe arudi na Leo litakuwa swali la kipima joto ITV,naombeni mshiriki

Muhimu,uamuzi wangu naufanya baada ya kuona mgawanyiko ndani ya CDM,na kuibuka G-55 ambao wanadai katiba mpya haikuwa sera ya chairman akiomba kura,hivo Kuna hadaa alitumia kuwa corrupt voters kumbe hakuwa na malengo fikiriwa kwa wapiga kura

Hivo uchaguzi ulikuwa null n' void (my stand) kwa sababu sera hii haikuwa wazi na inachochea vurugu nchini hivo uchaguzi urudiwe

Ushiriki wenu muhimu
Huu ni mwanzo mpya hatutaki kurudi nyuma ila tunahitaji kuuona mwanga uliobora na sii kurudi gizani.
 
Mapema sana kumjaji TAl ,ngoja miaka mitano ipite wanachama wampime....Hizi ni rasha rasha tu mbowe alikaa miezi 9 jela.
 
Aendelee Lissu kabisa tena ningekuwa na hela na muunga mkono kwasababu kubwa 2 huwezi kila siku unapoteza muda kupiga kura masaa na nasiku kadhaa unajua unashinda hata kura zinaonyesha gafla wa CCM anapokea ushindi tokea 2010 hadi leo HAPANA .

Lingine unateswa kisa unapigia promo chama chako unadhalilishwa kisa nini sio ujitoe tu
Sasa TUME imeamua kuzuia hata smart phone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom