Uchaguzi ni sayansi: Lissu anaenda kugaragazwa vibaya sana na Mbowe

sinza pazuri

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
3,163
8,848
20241213_115708.jpg


Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
 
View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Aisee mzee acha hii mambo.. TUTASHTAKIWA MIGA.
 
Kwahiyo chadema hawapaswi kufanya uchaguzi mpaka mbowe afe ? Mbona Mimi naona kitendo Cha lisu ni Cha kishujaa na mbowe kubali kuchalenjiwa ndio maana ya demokrasia
Mbowe kamkaribisha kwenye mpambano, watoane damu asije sema alizuiwa kugombea.

Lakini Lissu anajua fika anaenda kushindwa. Lengo lake nini? Kuua chama.
 
View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Tatizo ume post ukidhani una post habari za Zuchu
 
Mbowe ni nigga unamaanisha nini?

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
 
View attachment 3175794

Tundu Lissu ni baba aambiliki nilimuonya hapa majuzi aache mission yake ya kukiua chama hajataka kusikia.

Sasa anaenda kufundishwa adabu na bingwa wa sayansi ya siasa za upinzani Aikael Mbowe.

Kelele ni nyingi mtandaoni lakini hazitomsaidia Lissu na kichapo cha mbwa mwizi toka kwa Mbowe.

Lissu ana wapiga kelele haswa wa mtandaoni, Mbowe ana wapiga kura. Mpaka hapo nani anaenda kushinda?

Uchaguzi wa Chadema una wajumbe wa mkutano mkuu wanakaribia 1300 ambao wana vigezo vya kupiga kura.

Mpaka hapo nafikiri mnaelewa kwa nini Lissu alikuwa anatoa milio mingi kwenye chaguzi zilizokuwa zinaendelea kwa sababu anajua Mbowe alikuwa anapanga safu yake ya kumpigia kura. Yani Mbowe mpaka sasa ana wapiga kura wa kutosha.

Kilichobaki ni Lissu kunyolewa bila maji then akimbie chama kwa hasira yeye na wapiga kelele wenzake.

Baada ya hapo Mbowe ataisuka upya Chadema yake na kurecruit damu mpya nyingi za vijana watiifu wafanya siasa sio harakati.

Lissu anasema uchawa kwenye chama haufai wakati yeye ndio alikuwa chawa namba moja wa Mbowe. Zitto na Kitila wanafukuzwa Lissu ndio kijumbe yupo pembeni ya Mbowe anatoa ushauri wa kisheria.

Dr Slaa anakimbia Chadema, Lissu yupo pale anamnyoosha Dr Slaa.

Yeye ndio alikuwa mastermind wa kuondoa ukomo wa uongozi kwa kuwa alikuwa ananufaika leo anawadanganya chama hakikuwa na watu.


Nasemaje Lissu anatakiwa apigwe vizuri mpaka hata hicho chama anachotaka kuanzisha aghairishe arudi kula pensheni ubeligiji.

Sababu ni moja ni TRAITOR.

Alimsaliti JPM mkamshangilia.

Amefanya kwa Mbowe kipenzi chenu.

Amesaliti watu wengi sana ili yeye ajenge jina lake kwamba anaipenda Tanzania kuliko kiumbe yoyote.

Mimi sio shabiki wa Mbowe ila watu kama Lissu wenye kelele nyingi na hekma sifuri hawatakiwi kuongoza taasisi yoyote. Chadema ipo hapo ilipo kwa vingi ikiwemo hekma za Mbowe. Mbowe ni Nigga ila ni kiongozi mara 200 kumzidi Lissu.
Umuonye wewe kama nani? Maccm mumevurugwa na habari za Lissu kugombe uenyekiti mnajiropokea ovyo kama mumekunywa maji ya chooni vile.
 
Umuonye wewe kama nani? Maccm mumevurugwa na habari za Lissu kugombe uenyekiti mnajiropokea ovyo kama mumekunywa maji ya chooni vile.
Nilimuonya kama mtu naemtakia mema. Anajua vizuri sana anaenda kupewa kichapo cha mbwa mwizi na mtabaki mnalialia mtandaoni hakuna kitu mtamsaidia.
 
Wanaodai demokrasia hawataki demokrasia kwenye chama chao kwa kuamini ni mtu mmoja tu anastahili kushikilia wadhifa wa uenyekiti. Siku wakipewa nchi wataweza kweli kuondoka madarakani au ndio watakuwa ni mvinyo ule ule kwenye kikombe cha dhahabu

Hata hivyo, Wacha niwaache wafu wazikane
 
Napenda lisu awe kiongozi, lakini , uchaguzi huu lisu atashindwa, anatumia mkwara wa kelele, kwenye vyombo vya habari, lakini kikubwa najua lisu utashindwa Ila usikimbie chama , ubaki kuimarisha chama.

Naona lisu anajua kwamba anaenda kushindwa,Sasa Kuna mazingira anayaanda ionekane kushindwa kwake kuwa ni mizengwe,mfano:-

1. Rushwa imetamkwa kutoka mdomoni mwa lisu kuwa chaguzi za CHADEMA zimegubikwa na Rushwa,Rushwa,hii yote ni kujenga mawingu yenye mwangwi wa radi ,ku justify kuonesha ameenguliwa kwa sura ya kukichafua chama na mwenyekiti,hivyo ili cama kiwe Safi na ili wakinusuru chama,inabidi Lisu ashindwe,hiyo ni ngao anayojaribu kuijenga lisu kwenye jamii ,ili akishindwa apate utetezi
2.Kelele za Lisu na mkwara wa lisu kupitia Media,bila shaka nguvu ya mbowe bado ni kubwa Sana,ndani ya chama,Sasa anachokifanya Lisu ni sawa na mbwa kumbwekea fisi,lakini fisi akijitikisa kidogo tu huyu mbwa anatimua mbio Hadi vumbi linatimka.

3.Bado naona mbowe Yuko strong,mkwara w kwenye midia unaotolewa na Lisu haujamtisha mbowe, mbowe ni mpambanaji Sana katika siasa hizi za kuchaguliwa,

Mwisho,sipendi kumkosa lisu katika Safi za upinzani Bora wa Tanzania
 
Back
Top Bottom