1..Wanaonyesha kwamba wana fani iliyoenda shule..si unajua ili uonekane umesoma lazima uweke ile maneno?(msisitizo)..................2..Ni utamaduni wa kibongo, si umewasikiliza wabunge wanavyowekezea hii mambo wakiwa pale mjengoni?...........................3..Baadhi ya maneno kwa uhakika hayana Kiswahili chake (kisheria), na ni lazima yatamkwe hivyo!
Jamani Sheria Zetu Mwajua Ziko Kwa Lugha gani?
Jamani Sheria Zetu Mwajua Ziko Kwa Lugha gani?
..Hilo liko wazi, lakin shida inakuja pale wakili anapojibishana na MSAFWA, kihiyo asiye na wakili!...Kumtamkia maneno ya kisheria ni kumpigia mbuzi gitaa, na kumpanikisha aonekane ni MKOSEFU however!
PJ nafahamu kuna maneno kisheria huna uchaguzi bali kuyatumia yalivyo, hilo ni wazi
ninachokizungumzia hapa ni kutumia kiingereza bila umuhimu wowote
yaani kiswahili kingetumika bila mkwamo wowote afu wewe unang'ang'ana umombo
Kiingereza
lakini tumekatazwa kutumia kiswahili hasa linapokuja suala kwamba mdau mwingine haelewi unaongea nini?
basi tuwekewe huduma ya mkalimani (siku moja tuligawiwa vipeperushi mahakama ya kazi vinavyohusu mahakama hiyo (hapa mtu unaweza kupata picha wateja wengi wa mahakama hii) mi nikamweleza karani kuw asielewi lugha ilotumika akaniambia hivo hivo ukiambulia neno inatosha) mweee!!