mojoki
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 1,313
- 291
Guys habari za wakati huu
Nataka kununua hii pikipiki tajwa hapo kutoka kwa mtu Nahitaji ushauri kwa maana ya kwamba ni vitu gani vya kuzingati katika mchakato mzima wa manunuzi
Lakini pia hii model BMW inaweza kuwa na shida utakapokuja wakati wa kufanya repair and maintanance (kwa maana ya hupatikanaji wa spare kwa urahisi)
Pikipiki imetembea KM 14,000 so far na price inaenda kwa 9 million.
Please drop your advice guys
Nataka kununua hii pikipiki tajwa hapo kutoka kwa mtu Nahitaji ushauri kwa maana ya kwamba ni vitu gani vya kuzingati katika mchakato mzima wa manunuzi
Lakini pia hii model BMW inaweza kuwa na shida utakapokuja wakati wa kufanya repair and maintanance (kwa maana ya hupatikanaji wa spare kwa urahisi)
Pikipiki imetembea KM 14,000 so far na price inaenda kwa 9 million.
Please drop your advice guys