Kwa kenya kozi inachukua muda gani, au semester ngapi? Inahitaji kufanya internship?Mtanzania wa kwanza Kumaliza hii kozi ya Bachelor in clinical medicine and Surgery anaitwa SIMEO SYLVESTER ANGELO alimalizia Mount Kenya University
2.Dr.Walter -alimalizia Great Lakes University ,namba yake 0743887241 Huyu yuko Arusha
Ambao bado wanasoma wanaweza kusaidia ni
1.Ivine-0718818516-GREAT LAKES UNIVERSITY OF KISUMU
2.ABEL GEOFFREY-0768074172 (Uzima university)
4yrs(12 semester's) +1yr of Internship ,kama ni fresh from schoolKwa kenya kozi inachukua muda gani, au semester ngapi? Inahitaji kufanya internship?
Jamaa wana semester 3 kwa mwaka?4yrs(12 semester's) +1yr of Internship ,kama ni fresh from school
3yrs (9semesters )+1yr of Interniship kama uko na diploma in clinical medicine
Kumbuka :MD Tanzania ni 10 semesters
Yes!Jamaa wana semester 3 kwa mwaka?
Yes!
Application za kujiunga ,na hiyo kozi inafanyika wap na muda gani?
Big no!
Soma tena vigezo!
Vigezo vinasema admission is for AMO for Tanzanians na Clinical officers for foreners.
Wakiwa na maana nchi kama Kenya ukiwa na Advanced /Higher diploma in clinical medicine utaendelea kuitwa Clinical officer,kwa maana hiyo clinical officers wa nchi za nje ni wale waliosoma kwanza Advanced/Higher diploma .
Kwa taarifa tu clinical officers wa Tanzania wangekuwa wanaruhusiwa kwa namna wengi walivyo na hamu na shule lakini vigezo vinawapiga chenga hii kozi ingekuwa Ina jaa sana !
Mkuu kama ukipata mda pitia kwenye website yao chukua namba zao uwapigie uwaulize kuhusu entry requirements tena hawahitaji hata maswala ya gpa
Kwenye website yao ni entry requirements hazijawa updated hilo unalolisema ilikuwa ni zamani kabla AMO haijafutwa lakini kwa sasa wanawatrain clinical officers kwa hii kozi
1.8M per trimester, 5.4M kwa mwaka si bora usome MD Uganda, Malawi au India kama umekosa TanzaniaKISII UNIVERSITY ,UKIACHA UNAFUU KIKO KARIBU NA TANZANIA IKITOKEA SHIDA YOYOTE NYUMBANI UNAENDA HARAKA,KUTOKA TARIME -MARA KUFIKA CHUONI NI MASAA MAWILI TU.
KUTOKA MWANZA MPAKA CHUONI (KISII NI MASAA SABA)
Kutokana na ubora wake admission Ina sumbua maana ni chuo Cha serikali.(Watanzania wapo )
2.GREAT LAKES UNIVERSITY KIKO JIJINI KISUMU ni rahisi sana kupata admission ukitama maombi siku hiyo hiyo wanakutumia admission letter (Hawana tatizo lolote kwenye admission)Ni chuo Cha private kwa mwaka wanasemester tatu (Trimesters) Kila semester unalipa Tsh 1.8M
1.8M per trimester, 5.4M kwa mwaka si bora usome MD Uganda, Malawi au India kama umekosa Tanzania
Pita TCU kabla haujaenda kusoma ili wakupe no-objection certificate (sijui nime type vizuri?) ili degree yako itambuliwe, vinginevyo utapoteza muda+pesa zako bureHivi mkuu nasikia vyuo vya uganda/kenya kusoma MD kutokea CO Unasoma haijalishi una gpa ya ngap...sasa vipi ukirudi nchini inakuaje wataikataa degree yako.?
Pita TCU kabla haujaenda kusoma ili wakupe no-objection certificate (sijui nime type vizuri?) ili degree yako itambuliwe, vinginevyo utapoteza muda+pesa zako bure
Kwa mfano ukiwa na gpa chini ya 3.0 huna sifa za kusoma degree kwa TZ, so hata ukisoma Harvard degree yako haitambuliki TZ.
Hapana, haiwezekani?Kwani inawezekana ukawa na below 3.0 na TCU wakakuruhusu kwenda kusoma nje.?
Hapana, haiwezekani?
Mbna nimepitia WEBSite yao naona kama Hata ma-CO wanaruhusiwa eniwei Vijana hebu acheni shirtcut piga MD kama una GPA ya 3.0 na kuendeleaKwahio alternative ni kusoma hio barchelor ya clinical Officer au sio