Adui wa Mwanamke

Adui wa Mwanamke

somoye

Member
Joined
Jun 4, 2010
Posts
61
Reaction score
24
jamani duniani pote kauli mbiu iliopo ukimwelimisha mwanamke umeelimisha jamii zima ndivyo tunavyo jua na pia ukitaka mapinduzi ya kweli anza na wanawake kwanza wana convicing power ya kutosha, pia ni wengi. lakini tatizo ni pale wanawake kwa wanawake huwa kupendana hakupo kila sehemu je nikwanini na wewe kama mdau tufanyaje ili wanawake wawe pamoja na kushirikiana. naamini wanawake wanaweza bila kuwezeshwa
 
Ndio mfumo wa dunia, kila mtu ni adui wa kila mtu linapokua suala la MASLAHI BINAFS!
 
Kasemo vitabu vya imani yako vmeeleza vzuri sana
 
Back
Top Bottom